Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
😅😅Sikuiz wadogo zako wanataka Gentlemen tu ,bila hivo hawatoi namba🤣🤣🤣Wawe wanapita sehemu zote.... wanaume wapo ila wakubali kupata ghaka au sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Sikuiz wadogo zako wanataka Gentlemen tu ,bila hivo hawatoi namba🤣🤣🤣Wawe wanapita sehemu zote.... wanaume wapo ila wakubali kupata ghaka au sahihi
Kumbe anajua analolitaka anasumbua watu aende tra posta awape namba wenye vitamin kama sio mfanyakaz atapata wafanyabiashara waliokuja kulipia mizigo au gari zaoHaya basi mpe namba huyo mwenye kitambi
🤣🤣🤣Kazi mnayo kwa kweli 🤭😅😅Sikuiz wadogo zako wanataka Gentlemen tu ,bila hivo hawatoi namba
Kwani ukiwa na grid lazima uambukize jameni
Kwa style hii upweke itakuwa ngumu kuondoa mwilini mwako😁Mh hapa hapa panafaa bhna
Unaonekana umebadili ID wewe🤣Kikongwe mimi
Pole sana kamanda.Kwenye harakati tulikula mzinga wa haja na wenzangu wawili waka fariki dunia.
Mungu aliniokoa ingawa nilipoteza faham kwa masaa kadhaa, lakini matokeo ya pale nilipata fracture kwenye mguu na mfupa wa bega ulivunjika na kutoka eneo lake mnaita "clavicle"
Nilipata matibabu kwenye hospital moja ya rufaa yenye bingwa wa mifupa, kwasasa natumia "figure of 8 bandage" pia "hand sling bandage".
I'm doing good mkuu na asante kwa kujali pia...🙏
Afanye tour? Hivi unafikiri kwenda tour ni kama kwenda kitambaa cheupe Sinza?😁---------
Wengi wanadhani upweke unaondolewa kwa kuwa na uhusiano kumbe ndiyo chanzo cha kuongeza upweke na stress.
Kwa kipindi hicho cha upweke afanye tour za kwenda kuona wanyama -safari
Kushiriki shughuli za kijamii kwa sana ,kujichanganya sana.
Narudia aachane kabisa na uhusiano kwasasa.
Eheee ajilipue tu ,zipo zile za kushare coaster naona Malisa GJ anazitangaza facebook za elfu 60 tu.Afanye tour? Hivi unafikiri kwenda tour ni kama kwenda kitambaa cheupe Sinza?😁
Kama wewe ni wa kike tafuta mwanaume wa kukuchezea ili uchangamke ila kama wewe ni wakiume tafuta mwanamke pisi kali ta-co kubwa wa kukupiga mizinga ili akili ipate moto hiyo ndo tiba pekee ya upwekeHEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
Hahahahah tour ni Arusha huko na Moshi. Unaenda Dar Zoo au Mbweni JKT unasema tour ile 😁?Eheee ajilipue tu ,zipo zile za kushare coaster naona Malisa GJ anazitangaza facebook za elfu 60 tu.
Asante sana chief, hii kushinda hapa ndani ni faraja sababu napitia big pain...😖Pole sana kamanda.
Dah kweli mkuu, una roho ya Lissu kabisa wewe mtu wa maana kabisa. Hio mbung'aa inaonekana ilikuwa sio masihara.Asante sana chief, hii kushinda hapa ndani ni faraja sababu napitia big pain...😖
Una uhakika!Cc: Leejay49 logout forever?
Kaenda na maji upweke unamsumbua sana signed out forever ndio maana kafungua mpaka PMUna uhakika!