Upweke unauma, natafuta mwenza

Upweke unauma, natafuta mwenza

Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.

Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.

Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.

Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.

Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.

NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
Haaaaa sipati picha atakavyounguruma ndani.
 
Msukuma
Mhaya
&
Mnyamwezi
Watakufrahisha zaidi!!
[emoji137][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji106]
 
HUNA MASHARTI KABISA AISEE NJOO PM TUYAJENGE SEMA KABILA NDO NIMEFELI
 
Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani.

Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani.

Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila lolote akiwa Msukuma, Muhaya na Mnyamwezi nitafurahi zaidi.

Awe anajishughulisha kwa chochote, sitaki wanafunzi wa chuo ni wasumbufu aisee. Nahitaji mahusiano ya kudumu aliye serious ani PM.

Ninaishi Mbezi Msakuzi nyumba yangu kubwa nahitaji mwanaume wa kuunguruma jamani.

NB: Muonekano wowote, kilema si ugonjwa
"wanachuo ni wasumbufu sana aisee", naomba ufafanuzi tafadhali
 
Kweli Mungu hamtupi mja wake, ngoja niwahi mapema kabla hii pension ya Coroshow haijaisha.
Na cha kufurahisha zaidi mimi ni chotara wa Kisukuma, Kihaya na Kinyamwezi.
Kubwa zaidi nina uzoefu mkubwa kwenye kukoroma wakati nimelala , hata mbu hawatokusogelea.
Karibu my future wife.
Kwetu mwanza nye....
 
Back
Top Bottom