Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Binafsi naona maamuzi ni ya kwao, kama kupigana mashine walipigana wao, Diva kaamua kuweka mambo hadharani ili Raia tusogeze maisha na Gossip.....ila namshauri Kiba asijibu chochote, kamwe huwezi shindana na mwanamke.
Kiba kashajibu uko
 
Me mwenyewe nashangaa Kama kiba kamla gigy money unashangaa Nini akimla diva
 
Anasema walikuwa wapenzi since way back hata kina killy walikuwa wanamuita mama... Swali kina killy wamejiungali lin kings music?

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
Mwanakuyata ndio mwanakupata [emoji23][emoji23]

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
Anasema walikuwa wapenzi since way back hata kina killy walikuwa wanamuita mama... Swali kina killy wamejiungali lin kings music?

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
2018
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…