Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Unaweza kutusaidia picha?[emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaweza kutusaidia picha?[emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
2369299_images_6.jpeg
 
Binafsi naona maamuzi ni ya kwao, kama kupigana mashine walipigana wao, Diva kaamua kuweka mambo hadharani ili Raia tusogeze maisha na Gossip.....ila namshauri Kiba asijibu chochote, kamwe huwezi shindana na mwanamke.
Kiba kashajibu uko
 
Wabongo bila unafiki hatuendi.
Kuna watu wana tabia za ovyo kuliko huyo Diva mwenye sura mia,sema ndo vile sio maarufu.Ila Diva ni mwanamke kama ana K na kiba ana mdudu wasilalane kwanini?
Kwanza wote akili zao zinaendana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Me mwenyewe nashangaa Kama kiba kamla gigy money unashangaa Nini akimla diva
 
AMEANDIKA;
“Me and Ally we came along way since his return in the music world and yes both as friends n lowkey lovers kwa muda mrefu saaaaaanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa .. i have evidence to Prove ndio @officialkilly_tz alikuwa ananiita mama na wengine wote ..since ninaona sasa story za ajabu zinazid maybe shuld be open so we end this drama ambayo mnatengeneza .. everyone huko tabata knows .. iv bin in tabata preny .. but with respect sijawahi ata onyesha anything … so this is more like drama za mahusiano and someone is truely hurt …

Sababu tu a woman make a decision to move on .. si sawa at all , everyone has a right to move on , and im sorry i hurt yo feelings but it is what it is … niliamua kuji distance kwa sababu zangu and take a break sababu zangu as well .. ndio maana huwa sifuti messages na evidence sababu ya vitu ka hizi .. by the way neither killy nor cheed is joining anywhere apo pia ntapaelezea ….by the way i end up kila kitu 16/2/2020 mwenyewe and i told Ali and i have evidence as well .. hakuna ugomvi or anything i end up everything peacefully,

Jus a woman ameamua to ku move on na maisha yake n fade up with on and off, so sielewi why natukanwa matusi kibao, i always love and respect him and his talent but have a life to live si kupost kila siku mambo or kuwa a puppet hell no i refuse … i want peace thats all and i have it all .. i just don’t like bully sababu no one knows anything zaid ya mimi na muhusika, so tuheshimiane … i respect him and wish him the best but nime move on na yeye pia na wengine naomba m move on .. vitu vinaisha maisha yanaendela no need ya drama or create vitu this is not healthy at all,

Everyone has a brand to protect, Sijalala, i did everything to protect him, nilisimama nae kwa everything nahisi yal need to put respect on my name ..hakuna mwanamke aliewahi simama nae vile , nimegombana na watu nimetukanwa or get all the bully for him, nahisi tema i deserve shukran sana maana mepambana kuliko mtu yoyote yule ..nimepitia mengi nyuma ya pazia but i was there for him, he was my ride or die ..but imetosha …naona sasa this is too much and sad part is … wanaofanya all this ni watu wanaojua a to z on what’s goin on .. si sawa!.
Anasema walikuwa wapenzi since way back hata kina killy walikuwa wanamuita mama... Swali kina killy wamejiungali lin kings music?

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
Chuki ya diva dhidi ya mtoto wa tandale kumbe ilikuwa chini ya udhamini wa bwana yuleee wa kariakoo! Ila diva ujue tu hakuna aliyepanda ubaya akavuna wema. Kuliwa umeliwa alafu bado unajichafua kwa umma ukidhani unatafuta public sympathy, shame on u fala!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanakuyata ndio mwanakupata [emoji23][emoji23]

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
Back
Top Bottom