Urafiki wa Azam na Simba unaua soka letu

Urafiki wa Azam na Simba unaua soka letu

Hakuna swala la kuuza mechi wala nini wachezaji wa Azam huwa hawana ukomavu kwenye mechi inayobeba hatma yao.
1) utoto mwingi
2) ustaa mwingi kutaka kucheza mpira wa madoido
3) Nidhamu kwa mpinzani hawana hasa wakishaona timu inaimudu. Walivyocheza leo hawakuwa tofauti na walivyocheza na wale Wa Ethiopia.
Mpira ulivyoanza dakika 15 za kwanza tu unaona wana mapungufu makubwa sana kwenye eneo la ulinzi wakina hawana mipira, ni kama walijiona ni bora sana kuliko Simba.
Approach ya Simba ilikuwa ni nzuri sana waliingia kwa kuwaachia Azam wachezee mpira halafu wao wakipata mipira pasi kadhaa wapo golini kwa Azam ni mbinu iliyofanikiwa maana Azam walibaki wachache langoni kwao ila Chasambi na Balua wakawa wacheleweshaji wa move. Simba walikuwa na mpira objective huku Azam wao ni kujifanya mastaa.

Kipindi cha pili Azam mbele kwenye lango la Simba hawaonekani na pia golini kwao pia wakawa wachache yaani haijulikani wanachokifanya uwanjani ni kipi sio kushambulia wala kupaki bus vyote walishindwa kuonesha uwanjani.
Hii timu ina tatizo katika fikra.
Hijakutana na Azam wakicheza na Yanga wewe
 
Unazungumzia urafiki wa Simba na Azam vipi Ile timu yenye urafiki na Wauwaji wa kusini, wajera jera, waja leo waondoka leo,kuna timu imenunuliwa toka mbeya kuja Singida, Ile iliyotolewa Singida kwenda mwanza na timu ya pale katikati ya nchi kuna mshambuliaji wao wazamani alihojiwa kabla mahojiano hayajafutwa alisema walikuwa wanaenda uwajanja ila wanajua kabisa matokeo yatakuwaje.
 
Unazungumzia urafiki wa Simba na Azam vipi Ile timu yenye urafiki na Wauwaji wa kusini, wajera jera, waja leo waondoka leo,kuna timu imenunuliwa toka mbeya kuja Singida, Ile iliyotolewa Singida kwenda mwanza na timu ya pale katikati ya nchi kuna mshambuliaji wao wazamani alihojiwa kabla mahojiano hayajafutwa alisema walikuwa wanaenda uwajanja ila wanajua kabisa matokeo yatakuwaje.
Nataka ukatae kama Azam sio tawi la Simba
 
Unazungumzia urafiki wa Simba na Azam vipi Ile timu yenye urafiki na Wauwaji wa kusini, wajera jera, waja leo waondoka leo,kuna timu imenunuliwa toka mbeya kuja Singida, Ile iliyotolewa Singida kwenda mwanza na timu ya pale katikati ya nchi kuna mshambuliaji wao wazamani alihojiwa kabla mahojiano hayajafutwa alisema walikuwa wanaenda uwajanja ila wanajua kabisa matokeo yatakuwaje.
Nataka ukatae kama Azam sio tawi la
 
Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike.
Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba.
Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la Tanzania kwa miaka 4 mfululizo.
Azam aliwapa Ngasa Simba.
Leo ameuza mechi wachezaji wa Azam wamecheza kama wajawazito ili Simba ishinde na ichukue nafasi ya pili kushiriki kimataifa CAFCL.
Na mwakani wachezajo wa Azam akiwemo Feisal, kipre, silla na Msindo watajiunga na Simba.
Azam wanakera na kuhujumu mpira wetu maksudi.
acha kelele wewe, mpira mchezo wa wazi
 
Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike.
Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba.
Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la Tanzania kwa miaka 4 mfululizo.
Azam aliwapa Ngasa Simba.
Leo ameuza mechi wachezaji wa Azam wamecheza kama wajawazito ili Simba ishinde na ichukue nafasi ya pili kushiriki kimataifa CAFCL.
Na mwakani wachezajo wa Azam akiwemo Feisal, kipre, silla na Msindo watajiunga na Simba.
Azam wanakera na kuhujumu mpira wetu maksudi.
Kwa mawazo kama haya utegemee eti kwamba tutaendelea, haiwezekani kamwe.
 
Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike.
Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba.
Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la Tanzania kwa miaka 4 mfululizo.
Azam aliwapa Ngasa Simba.
Leo ameuza mechi wachezaji wa Azam wamecheza kama wajawazito ili Simba ishinde na ichukue nafasi ya pili kushiriki kimataifa CAFCL.
Na mwakani wachezajo wa Azam akiwemo Feisal, kipre, silla na Msindo watajiunga na Simba.
Azam wanakera na kuhujumu mpira wetu maksudi.
Ukimaliza utueleze na kuhusu urafiki wa Singida na Yanga

Ukimaliza pia utueleze kuhusu ufhamini wa GSM kwenye timu za Ligi kuu
 
Simba iko nafas ya 3, ila kama nyie mnaumia simba kua nafas ya 3...sjui hii tunaiitaje ..
 
Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike.
Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba.
Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la Tanzania kwa miaka 4 mfululizo.
Azam aliwapa Ngasa Simba.
Leo ameuza mechi wachezaji wa Azam wamecheza kama wajawazito ili Simba ishinde na ichukue nafasi ya pili kushiriki kimataifa CAFCL.
Na mwakani wachezajo wa Azam akiwemo Feisal, kipre, silla na Msindo watajiunga na Simba.
Azam wanakera na kuhujumu mpira wetu maksudi.
Haya mwiko nyuma
 
Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike.
Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba.
Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la Tanzania kwa miaka 4 mfululizo.
Azam aliwapa Ngasa Simba.
Leo ameuza mechi wachezaji wa Azam wamecheza kama wajawazito ili Simba ishinde na ichukue nafasi ya pili kushiriki kimataifa CAFCL.
Na mwakani wachezajo wa Azam akiwemo Feisal, kipre, silla na Msindo watajiunga na Simba.
Azam wanakera na kuhujumu mpira wetu maksudi.
Hata kama ni ushabiki ila tuwe wakweli

Azam leo mechi alikuwa anaihitaji ila hakuwa na uwezo

Hata refa alikuwa upande wao inaonekana alikula mlungula

Mtani leo kacheza kawaida tu ila matokeo yamekuwa upande wake


Sometimes hizi mechi zinaendeshwa na ushirikina zaidi
 
Ulichoandika ndicho niliwaza ninaapa mbele yake devil, nilipoona tu ni Feitoto anaenda kupiga nikajua penati itapigwa juu angani ikatue kwao mkunazini au itapigwa nje na ndo ilivyokuwa. Yani kamuonesha kabisa Ayoub kuwa anapiga kushoto kipa akaenda huko huko hata kama mpira usingegonga nguzo angeudaka!

Azam waliocheza leo sio wale wa Mwanza, yaani mpira ulipoanza Azam walionesha wazi kuizidi Simba uwezo ila muda ulivyoenda wakajiangusha wakajilegeza wakawa mdebwedo, wanacheza kama wamelazimishwa, hadi ikaboa, Manyama, Sopu, Amoah na Mwaikenda watu wa kazi wakawekwa nje nikajua tayari matokeo yamepangwa!!

Azam mmeboa sana Leo yaani mnaiachia mbumbumbu FC nafasi yenu na mjue hawatatoboa hata makundi tu timu mbovu mbovu tu Mamelodi walitupoka uto ushindi wakapigwa nje ndani.

Kweli nimeamini soka la bongo linachezwa nje ya uwanja, yaani Putin hakukabwa aliachwa tu apige shuti afunge, kweli TFF makolo watupu, leo ligi imeharibika hakuna tena sijui mzizima derby my foot!! simba hii mbovu haina msuli wa kuibamiza Azam 3 - 0 ambayo gari limewaka!

Sidhani kama wanangu wataendelea kushabikia Azam lamba lamba tena baada ya kichapo cha mchongo cha Leo.

But anyway potelea mbali maisha mafupi raha jipe mwenyewe, bado point 4 tu Yanga bingwa inatosha!!
 
Back
Top Bottom