Urafiki wa Azam na Simba unaua soka letu

Urafiki wa Azam na Simba unaua soka letu

Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike.
Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba.
Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la Tanzania kwa miaka 4 mfululizo.
Azam aliwapa Ngasa Simba.
Leo ameuza mechi wachezaji wa Azam wamecheza kama wajawazito ili Simba ishinde na ichukue nafasi ya pili kushiriki kimataifa CAFCL.
Na mwakani wachezajo wa Azam akiwemo Feisal, kipre, silla na Msindo watajiunga na Simba.
Azam wanakera na kuhujumu mpira wetu maksudi.
Sahihi mkuu, jana wachezaji walikuwa kama watoto wanaotambaa kila wakiwa na mpira. Mechi hii ichunguzwe pana jambo. Inakera mnoooooo.
 
Mwaka Jana Azam kachukua point 4 Kwa Simba NBC
Azam kamtoa Simba FA kombe ambalo lilibaki mbadala Kwa Simba likaota mbawa
Akuna sehemu uto kulalamika zaidi furaha kwa Wana Uto na akuna maswala ya Tawi wala Bahasha wala maagizo
Leo Simba kashinda Tawi
Ohooo maagizo
Wamefanya kisudi ina maana Simba aingie kucheza na Azam akubli kufungwa kisa neno Tawi na kwann neno Tawi linakuja Simba anapo mfunga Azam na sio Azam anapo mfunga Simba? Dawa tatu tunazo ukiumia Sana njoo tukupe maumivu yapungue 🆗🦁😆😆😆
 
Azam ni Timu mbovu angalia kimataifa wamefanya nini .
Nafuu biashara United ya Mara au coastal union ya Tanga
 
Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike.
Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba.
Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la Tanzania kwa miaka 4 mfululizo.
Azam aliwapa Ngasa Simba.
Leo ameuza mechi wachezaji wa Azam wamecheza kama wajawazito ili Simba ishinde na ichukue nafasi ya pili kushiriki kimataifa CAFCL.
Na mwakani wachezajo wa Azam akiwemo Feisal, kipre, silla na Msindo watajiunga na Simba.
Azam wanakera na kuhujumu mpira wetu maksudi.
Azam kufungwa na Simba ndo soka limekufa?
 
Back
Top Bottom