Urafiki wa Azam na Simba unaua soka letu

Sahihi mkuu, jana wachezaji walikuwa kama watoto wanaotambaa kila wakiwa na mpira. Mechi hii ichunguzwe pana jambo. Inakera mnoooooo.
 
Mwaka Jana Azam kachukua point 4 Kwa Simba NBC
Azam kamtoa Simba FA kombe ambalo lilibaki mbadala Kwa Simba likaota mbawa
Akuna sehemu uto kulalamika zaidi furaha kwa Wana Uto na akuna maswala ya Tawi wala Bahasha wala maagizo
Leo Simba kashinda Tawi
Ohooo maagizo
Wamefanya kisudi ina maana Simba aingie kucheza na Azam akubli kufungwa kisa neno Tawi na kwann neno Tawi linakuja Simba anapo mfunga Azam na sio Azam anapo mfunga Simba? Dawa tatu tunazo ukiumia Sana njoo tukupe maumivu yapungue πŸ†—πŸ¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Azam ni Timu mbovu angalia kimataifa wamefanya nini .
Nafuu biashara United ya Mara au coastal union ya Tanga
 
Azam kufungwa na Simba ndo soka limekufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…