Uraia Pacha Tanzania: Siasa ya Bernard Membe na hatma yake

Uraia Pacha Tanzania: Siasa ya Bernard Membe na hatma yake

Sijasema Watanzania wote walioko nje warudi nyumbani,lahasha.Ninalosema ni kwamba, kama unaona huko uliko ni kuzuri kuliko hapa nyumbani,basi chukua uraia wa huko,or else rudi nyumbani.Na kama wewe ni mwanamke Mtanzania na umekubali kuolewa na mgeni,basi chukua uraia wa nchi ya mumeo,forget about Tanzania.Ukipenda boga,penda na ua,

GREAT MINDS HAVE PURPOSE, LITTLE MINDS HAVE WISHES

Sasa nimeanza kuelewa kwanini Tanzania, kwanini kuunyanyua uchumi tumeshindwa, soka hatuwezi, mbio hatuwezi,basket hatupo,ngumi hatuwezi, flights hatuna, meli hatuna hata National express bus hatuna. Sasa nimelewa kwa undani zaidi.

Niliulizwa na jamaa mmoja, kwamba mchezo unaopendwa na watanzania, nikakuna kichwa maana nikaona nikitaja moja wapo hadi mbio za riadhaa jamaa ataniluliza medali, nikataka kutamka ndondi mhh. Ikabidi nimwambie mchezo unaopendwa Tanzania ni KARATA na BAO.

Failure in every single aspect. Hii, failure chanzo chake ni mawazo ya namna ama yanayosharabiana namna hii.
 
GREAT MINDS HAVE PURPOSE, LITTLE MINDS HAVE WISHES

Sasa nimeanza kuelewa kwanini Tanzania, kwanini kuunyanyua uchumi tumeshindwa, soka hatuwezi, mbio hatuwezi,basket hatupo,ngumi hatuwezi, flights hatuna, meli hatuna hata National express bus hatuna. Sasa nimelewa kwa undani zaidi.

Niliulizwa na jamaa mmoja, kwamba mchezo unaopendwa na watanzania, nikakuna kichwa maana nikaona nikitaja moja wapo hadi mbio za riadhaa jamaa ataniluliza medali, nikataka kutamka ndondi mhh. Ikabidi nimwambie mchezo unaopendwa Tanzania ni KARATA na BAO.

Failure in every single expect. Hii, failure chanzo chake ni mawazo ya namna ama yanayosharabiana namna hii.

Hata ukitukana vipi, UKWELI ndio huo, Hatutaki na hatuoni faida yenu na sijuhi mmetumwa na nani!
 
Hata ukitukana vipi, UKWELI ndio huo, Hatutaki na hatuoni faida yenu na sijuhi mmetumwa na nani!

Sijatukana, ninachoandika ni findings zangu binafsi, kwanini kuna failures za kutisha wakati kila kitu kipo ON for progressing forward. Chukulie kitu kidogo kabisa, barabara za changarawe zipo lakini hata riadhaa hatuwezi kukimbia, lazima hapo kuwe na sources nyingine kwakweli, kwanini tunafeli catastrophically.

Ni kweli tumetumwa, na aliyetutuma ni dhamira njema ambayo inatusukuma ili kupata kujumuisha watanzania wote kwa pamoja kuweza kusukuma hili gurudumu la failures na kuli-momonyoa hadi kulitokomeza kabisa.
 
Huo ndio ukweli , mimi sijuhi nani kawatuma hawa watu waje na mipango hii, ila naamini hawati fanikiwa, kwanza waje watuambie faida yake ni nini? Na wamechangia nini mpaka sasa?

To be honest, wewe kodi kwa mwaka unalipa ngapi ? maana ndilo pato lako unaloingiza ktk mzunguko wa fwedha ktk soko la tanzania. ukizidi sana itakuwa milioni 6. Lakini mie naingiza zaidi ya milioni 30 kwa mwaka kwenye mzunguko wa soko la Tanzania. Umeelewa na unaona tofauti?
 
Mapenda nikujibu kwa kiswahili kama utaniruhusu.

1. Katika swala lako la vita kama vikitokea kati ya marekani na Tanzania, jibu lako ni kwamba vivyo vita haviwezi kutokea. Umeuliza "hypothetical queston" kwa hivyo hakuna jibu lake thabiti.

2. Kuhusu "allegiance" au "loyalty" nadhani unatakiwa uelewe kwamba kuna tofauti kati ya uraia na utaifa. Katika hivi viwili utaifa ni muhimu kuliko uraia. Mtanzania anayechukua uraia wa Marekani au Uingereza, utaifa wake unabakia kuwa utanzania. Kwa mfano, Zimbabwe: Wazungu wa Zimbabwe ni raia wa Zimbabwe lakini utaifa wao ni uingereza, "british nationals". Na ndiyo maana wao wanaweza kuingia na kutoka Uingereza kama wanavyotaka, lakini wazimbabwe weusi hawana haki hiyo. Hivyo basi, Watanzania wenye uraia wa Ulaya watakuwa "loyal" to Tanzania.

3. Hivi tunayozungumza, mimi nawajua watanzania kadhaa wenye pasipoti za Tanzania na nchi nyingine. Hili ni swala nyeti kwa sababu linawanufaisha Watanzania hawa. Serikali yetu kama ikiweza kuruhusu uraia wa nchi mbili na kuweka sheria ngumu kwa wageni (wazungu/waarabu n.k) wasiokuwa watanzania wasiweze kuupata uraia wa Tanzania; hapo uraia wa nchi mbili utawanufaisha Watanzania ambao tayari wameshautwaa uraia wa nchi zingine. Lakini kama Waingereza na Waarabu nao wakiweza kuutwaa uraia wa Tanzania, basi miaka ijayo vizazi vyetu watapigana na wazungu ndani ya Tanzania kama vile Zimbabwe au South Afrika.

wewe ni muongo na unapotosha, Mzimbabwe au MSA anaweza tu kuingia Uingereza bila viza kama ana uraia wa nchi zote mbili na haijalishi kama ni Mzungu au Mwafrika, kwa hiyo hata kama ni Mzungu lakini amechagua kubakisha Uraia wa Zimbabwe basi na yeye lazima aombe viza kama wengine na ndio maana Bw.Mugabe aliondoa Uraia wa nchi mbili,na ilikuwa ishu kubwa, na hivyo hivyo kwa SA, kwa Wazungu ambao wana uraia wa Afrika Kusini pekee yake ni lazima waombe viza kama wengine na watimize masharti ya uombaji viza kama wengine, hilo nalielewa vizuri sana , hivyo acha kuandika mambo usiyajua na kutaka tu kuaminisha kila unachotaka watu wakiamini!
 
Failure doesn't come from falling down. Failure comes from not getting up.
 
GREAT MINDS HAVE PURPOSE, LITTLE MINDS HAVE WISHES

Sasa nimeanza kuelewa kwanini Tanzania, kwanini kuunyanyua uchumi tumeshindwa, soka hatuwezi, mbio hatuwezi,basket hatupo,ngumi hatuwezi, flights hatuna, meli hatuna hata National express bus hatuna. Sasa nimelewa kwa undani zaidi.

Niliulizwa na jamaa mmoja, kwamba mchezo unaopendwa na watanzania, nikakuna kichwa maana nikaona nikitaja moja wapo hadi mbio za riadhaa jamaa ataniluliza medali, nikataka kutamka ndondi mhh. Ikabidi nimwambie mchezo unaopendwa Tanzania ni KARATA na BAO.

Failure in every single expect. Hii, failure chanzo chake ni mawazo ya namna ama yanayosharabiana namna hii.

Naomba nikuulize, embu niambie sababu kubwa moja au ukiweza zaidi za kutufanya sisi turuhusu Uraia wa nchi 2, nikiimanisha Mtanzania wa kawaida(anayeishi TZ) atanufaika vipi kama huo Uraia wa nchi 2 ukiruhusiwa?

 
Naomba nikuulize, embu niambie sababu kubwa moja au ukiweza zaidi za kutufanya sisi turuhusu Uraia wa nchi 2, nikiimanisha Mtanzania wa kawaida(anayeishi TZ) atanufaika vipi kama huo Uraia wa nchi 2 ukiruhusiwa?


Unapofanya jambo usiangalie sana wewe directly unanufaika je, bali jaribu kufukunyua zaidi kuona taifa litanufaika je? Kimsingi wengi walio ndani wanalipiga taifa loss, maana hata mishahara wanayopata wanainyonya serikali wakati serikali haina mbinu ya kuongeza mzunguko wa fwedha.

Naomba nirudie mfano ule wa awali, ukiwa na sh milioni moja, ukaenda kijijini ukawagawia milioni na ukawakataza kutoka nje ya kijiji hicho, wataifanyia hiyo milioni biashara, wataizungusha hapa na pale ktk kijiji hicho, lakini ukirudi baada ya miaka utakuta hiyo pesa iko chini ya milioni, maana nyingine zitakuwa zimechanika na kupotea. ili hiyo pesa iongezeke lazima mtu wa-nje aingize pesa ktk kijiji hicho kwa namna yoyote, either kwa kununua kondoo kutoka kijiji hicho ama nk.

Ndivyo ilivyo kwa nyie mlio ndani, hata mkipiga kazi vipi, kama serikali haina uwezo wa kuingiza fwedha kutoka nje ya nchi na kuzitumbikiza ndani, hakuna cha kuendelea, badala yake mtakuwa mnaona viwanda vinakufa, mashirika yanakufa nk, kwa akili nyepesi mnakimbilia mafisadi. Lakini sababu kubwa ni kuwa serikali haiingizi fwedha kutoka nje ili kustimulate ulaji uliopo.

Mie nikiwa nje nikatuma euro 1000 ni fwedha clean, ambayo nimeiingiza ktk mzunguko, ni tofauti na wewe unayefanya kazi serikalini maana kodi unayolipa serikali imetoka serikalini humo humo, kimsingi hujaongeza kitu chochote. Ukibalance equation vizuri, unakuta umeinyonya serikali, maana umelipa kodi na una demand serikali ukitengenezee umeme,maji na hospitali nk, wakati mie naingiza fwedha for free with no demand.

Sasa basi, ili nchi iendelee, na mazao yenu yapate walaji kwa bei inayotakika, ili ku-weka maisha sawia, lazima serikali yenu iwe na uwezo wa kuleta fwedha kutoka nje ya nchi, na serikali haina mbinu ya kuleta hizo fwedha, inategemea watalii na madini, na watalii nao ndo hivo, madini nayo ndo hivo, maana wote hao hasa wa madini wanawaibieni na wanakuja na demand zao, kimsingi hapo ni loss tu.

Kilichobaki ni Disapora, wao wanaleta pesa bure, bila makubaliano na serikali na ndiyo njia pekee ya msingi ya serikali kuingiza fwedha clean zisizo na mawaa, hivyo basi ili serikali iweze kufua hizi fwedha lazima iwajengee wana disapora mazingira bora huko waliko ili wazichume zaidi, maana wanavyochuma huko ndivyo zinavyoongezeka kumiminika Tanzania. Wewe utanufaika je wakati huna ndugu nje ni hivi? mie nikimtumia ndugu yangu atayanunua mazao yako kwa bei nzuri, na kama wewe ni mwalimu basi huyu ndugu atakuja kusoma kwenye shule yako na kulipa fee ya utakayokenua.

Kwa msingi, huo ndo maana serikali bajeti yake haiwezi kujitegemea na badala inabidi iingie kuomba the so called donors, ili waingize fwedha ndani kwenye bajeti, na hawa donors kazi yao huwa wanategeshea chansi kama hizo ili wawape fwedha za karanga waje kuchimba hadi mchanga uhamishwe na kuwatilia sumu kwenye maji ya mito, ili wananchi wafe kwa wingi.


Kimsingi mnachoogopa ni baseless, mkumbuke hawa watanzania walio nje wana dada,kaka, wajomba,shangazi hivo kama ana jambo ambalo amenuia fanya ili kuliumiza taifa hakuna kinachomuzuia hadi hapo either ana dual ama hana.
 
Unapofanya jambo asiangalie sana wewe directly unanufaika je, bali jaribu kufukunyua zaidi kuona taifa litanufaika je? Kimsingi wengi walio ndani wanalipiga taifa loss, maana hata mishahara wanayopata wanainyonya serikali wakati serikali haina mbinu ya kuongoza mzunguko wa fwedha.

Naomba nirudie mfano ule wa awali, ukiwa na sh milioni moja, ukaenda kijijini ukawagawaia milioni na ukawakataza kutoka nje ya kijiji hicho, wataifanyia hiyo milioni biashara, wataizungusha hapa na pale ktk kijiji hicho, lakini ukirudi baada ya miaka utakuta hiyo pesa iko chini ya milioni, maana nyingine zitakuwa zimechanika na kupotea. ili hiyo pesa iongezeke lazima mtu wainje aingize pesa ktk kijiji hicho kwa namna yoyote, either kwa kununua kondoo kutoka kijiji hicho ama nk.

Ndivyo ilivyo kwa nyie mlio ndani, hata mkipiga kazi vipi, kama serikali haina uwezo wa kuingiza fwedha kutoka nje ya nchi na kuzitumbikiza ndani, hakuna cha kuendelea, badala yake mtakuwa mnaona viwanda vinakufa, mashirika yanakufa nk, kwa akili nyepesi mnakimbilia mafisadi. Lakini sababu kubwa ni kuwa serikali haiingizi fwedha kutoka nje ili kustimulate ulaji uliopo.

Mie nikiwa nje nikatuma euro 1000 ni fwedha clean, ambayo nimeiingiza ktk mzunguko, ni tofauti na wewe unayefanya kazi serikalini maana kodi unayolipa serikali imetoka serikalini humo humo, kimsingi hujaongeza kitu chochote. Ukibalance equation vizuri, unakuta umeinyonya serikali, maana umelipa kodi na una demand serikali ukitengenezee umeme,maji na hospitali nk, wakati mie naingiza fwedha for free with no demand.

Sasa basi, ili nchi iendelee, na mazao yenu yapate walaji kwa bei inayotakika, ili ku-weka maisha sawia, lazima serikali yenu iwe na uwezo wa kuleta fwedha kutoka nje ya nchi, na serikali haina mbinu ya kuleta hizo fwedha, inategemea watalii na madini, na watalii nao ndo hivo, madini nayo ndo hivo, maana wote hao hasa wa madini wanawaibieni na wanakuja na demand zao, kimsingi hapo ni loss tu.

Kilichobaki ni Disapora, wao wanaleta pesa bure, bila makubaliano na serikali na ndiyo njia pekee ya msingi ya serikali kuingiza fwedha clean zisizo na mawaa, hivyo basi ili serikali iweze kufua hizi fwedha lazima iwajengee wana disapora mazingira bora huko waliko ili wazichume zaidi, maana wanavyochuma huko ndivyo zinavyoongezeka kumiminika Tanzania. Wewe utanufaika je wakati huna ndugu nje ni hivi? mie nikimtumia ndugu yangu atayanunua mazao yako kwa bei nzuri, na kama wewe ni mwalimu basi huyu ndugu atakuja kusoma kwenye shule yako na kulipa fee ya utakayokenua.

Labda swali langu halikueleweka vizuri, sikusema mimi binafsi bali niliuliza Mtanzania wa kawaida nikiimanisha Watz wanaoishi Tz!

Turudi kwenye jibu lako, sasa kuhusu huko kutuma hela TZ ambako sikatai kama kuna faida zake, sasa kwani hamuwezi kuendelea kutuma kama mkiwa bado raia wa hizo nchi mnazoishi?

Hapa hoja ni kwamba unataka tubadili mfumo wetu na kuleta mfumo mwingine ambao hatuujui, sasa basi ni lazima uweze pia kuleta sababu ambazo zinashawishi kwa nini tuukubali huo uraia wa nchi mbili, Je kama swala ni kutuma hela kama ulivyosema, ina maana mtatuma hela nyingi zaidi ya sasa kama mkipewa Uraia wa nchi mbili? namaanisha ni nini kinamkwaza au mzuia Mtanzania aliyenje kutuma hela TZ kama siyo tena raia TZ? na maswali mengi naomba ufunguke kuhusu hasa faida kwetu sisi kama Watz ya kubadilisha mfumo wetu na kuleta mfumo mpya!
 
Mkamap, huna hoja nakushahuri kajipange tena. Kama ni kutuma hela amewazuia nani? Je kuna limit ambayo itatoweka ikiwa utapewa uraia?
 
To be honest, wewe kodi kwa mwaka unalipa ngapi ? maana ndilo pato lako unaloingiza ktk mzunguko wa fwedha ktk soko la tanzania. ukizidi sana itakuwa milioni 6. Lakini mie naingiza zaidi ya milioni 30 kwa mwaka kwenye mzunguko wa soko la Tanzania. Umeelewa na unaona tofauti?

popopompo wewe navyo ongea hapa najiandaa kesho kwenda exim kulipa kodi zaidi ya hiyo unayotuma wewe kwa mwaka, tena ni kwa mzigo wa mwezi huu tu. Umengangania mfano mfu usio na manufaa. Naamini huu mmoja wa ma looser walio ukana uraia wa tanzania. Poor u.
 
Failure doesn't come from falling down. Failure comes from not getting up.

ndiyo misemo ya mabosi wako? Vibarua utawajua tu. Unaleta mifano ya michezo kama hujuhi alhyeua michezo ni ccm? Wakati wa nyerere tulikuwa wapi? Je watanzania wangaph walileta hela wakati huo?
 
Labda swali langu halikueleweka vizuri, sikusema mimi binafsi bali niliuliza Mtanzania wa kawaida nikiimanisha Watz wanaoishi Tz!

Turudi kwenye jibu lako, sasa kuhusu huko kutuma hela TZ ambako sikatai kama kuna faida zake, sasa kwani hamuwezi kuendelea kutuma kama mkiwa bado raia wa hizo nchi mnazoishi?

Hapa hoja ni kwamba unataka tubadili mfumo wetu na kuleta mfumo mwingine ambao hatuujui, sasa basi ni lazima uweze pia kuleta sababu ambazo zinashawishi kwa nini tuukubali huo uraia wa nchi mbili, Je kama swala ni kutuma hela kama ulivyosema, ina maana mtatuma hela nyingi zaidi ya sasa kama mkipewa Uraia wa nchi mbili? namaanisha ni nini kinamkwaza au mzuia Mtanzania aliyenje kutuma hela TZ kama siyo tena raia TZ? na maswali mengi naomba ufunguke kuhusu hasa faida kwetu sisi kama Watz ya kubadilisha mfumo wetu na kuleta mfumo mpya!

huyu jamaa ni looser!
 
Labda swali langu halikueleweka vizuri, sikusema mimi binafsi bali niliuliza Mtanzania wa kawaida nikiimanisha Watz wanaoishi Tz!

Turudi kwenye jibu lako, sasa kuhusu huko kutuma hela TZ ambako sikatai kama kuna faida zake, sasa kwani hamuwezi kuendelea kutuma kama mkiwa bado raia wa hizo nchi mnazoishi?

Hapa hoja ni kwamba unataka tubadili mfumo wetu na kuleta mfumo mwingine ambao hatuujui, sasa basi ni lazima uweze pia kuleta sababu ambazo zinashawishi kwa nini tuukubali huo uraia wa nchi mbili, Je kama swala ni kutuma hela kama ulivyosema, ina maana mtatuma hela nyingi zaidi ya sasa kama mkipewa Uraia wa nchi mbili? namaanisha ni nini kinamkwaza au mzuia Mtanzania aliyenje kutuma hela TZ kama siyo tena raia TZ? na maswali mengi naomba ufunguke kuhusu hasa faida kwetu sisi kama Watz ya kubadilisha mfumo wetu na kuleta mfumo mpya!

Mkuu
Nimekujibu, labda hujaelewa tu kwa jinsi nilivyokujibu, ili kuendelea lazima wananchi wawe na purchasing power ni moja kwa moja, mtu anapomtumia ndugu ye ammewezeshea purchasing power ambayo kama wewe una hotel yako atakuja kula ugali na samaki wako. Hivyo mwananchi wa kawaida ananufaika directly kabisa tofauti na fedha za wahisani ambazo nyingi zinapitia kwa mafisadi na wanazirudisha uswizi na wahisani wanachimba mashimo.

Dunia ya leo imegeuka, wengi wa watanzania hawana huo uraia wa nchi hizo husika na kupata kwao kazi za maana inakuwa vigumu sana, sahizi ni vigumu kupata kazi kama vile kupita kwenye tundu la sindano kama huna uraia hasa europe. Hivyo, kwa kukosa uraia kuna depict mambo mawili.
1. kurudi bongo wote wabanane humo humo kwenye box moja
2. Kunakosesha serikali fwedha kutoka nje, na hata purchasing power ya wananchi wake.

Na ndiyo maana kama hujasituka ngoja nikusitue, ikifika mavuno ya viazi vingi vinaozea shambani, ikifika kipindi cha machungwa na maembe mengi yanaozea shambani kwa sababu hakuna purchasing power. Lakini serikali ikiruhusu huo uraia, huko waliko watapata kazi nzuri na kuwawezesha ndugu zao na ndugu watavinunua hivyo viazi na kuvipeleka kenya kuliko na soko na kuleta fwedha zingine za kingeni kutoka kenya.

Kukosekana kwa purchasing power, na ndiyo maana maviwanda na mashirika mengi yalikufa ni vigumu hata kuliendesha shirika la reli, maana watu hawasafiri, kutokana na mzunguko wa fwedha na wakisafiri basi bei yake iko below std, isiyo na tija.

Mfano bei ya kupanda daladala iko chini mno haina tija kwa bongo, iko chini kwa sababu purchasing power ya wananchi ni ndogo, na pucharsing power iko determined na uwezo wa ku import fwedha kutoka nje. bei ya daladala bongo ni sawa na cent 25 za euro. Wakati bei ya mafuta bongo iko juu kuliko europe. We unategemea nini hapo?
Kama hakuna DUAL, watanzania walio nje, hawatapata kazi za maana na na implicity yake hawata tuma fwedha na mwisho wa siku watarudi mikono mitupu kubanana hukohuko na kuiongezea serikali mzigo, wakati watanzania wakiwacheka unamuona huyo alikuwa majuu karudi kachokaaa. na in retun, uchumi unadidimia maana serikali haina mbinu siyo wapinzani wala watawala.

Mbinu ya kutokomeza umasikini, ni serikali ambayo itakuja na mbinu ya kuweza kuongeza kuleta fwedha ndani, kuhusu madini 4get about that, hiyo ni mali ya wana-magharibi japo ipo ktk ardhi yetu, hapo hata aje nani mikataba hiyo itaendelea kuingiwa hivyohivyo, kama unabisha kamuulize Gadafi huko aliko. Njia rahisi kwa serikali ni kama hivyo kuwawezesha watanzania huko waliko ili wapate kazi nzuri na pia wachote uchuzi hata wakirudi wanarudi kweli wanamaujuzi yakulikwamua taifa na sio ujuzi wa kubeba box.
 
ndiyo misemo ya mabosi wako? Vibarua utawajua tu. Unaleta mifano ya michezo kama hujuhi alhyeua michezo ni ccm? Wakati wa nyerere tulikuwa wapi? Je watanzania wangaph walileta hela wakati huo?

Wakati wa Nyerere tulikuwa wapi, wakati huo tuliogea hadi majani ya miti ama magwanj. Ulikuwa ukivaa vile viatu vya laizon basi wewe bosi hebu tuache kuzugana. Kupang mstari kununua sukari ktk maduka ya ujamaa kwenye mfuko wa kaki

Angalia hii GDP per capital toka enzi za Nyerere kutoka IMF, tuwe tunaongea na fact ee
http://www.econstats.com/weo/V006.htm

Kifupi Tanzania imedumaa, kwa vile bado haijapata kiongozi wa kuweza kuingiza fwedha ndani, Kenya wanatuzidi japo hawana kitu kwa sababu wao wana source ya kuwaletea fwedha ndani kama Kenya airways na wana watu nje disapora wanaomimina fwedha ndani. Wanamakampuni ambayo yako nje ya Kenya, kwa mfano kuna baadhi ya makapuni yapo Tz kama vile bank nk Na ndiyo, maana sie tunaachwa na kila nchi, wakitoka vitani hao wametuacha.

Nakuhakikishia leo wasomali wakiacha vita, nakupa miaka 2 wanatupita haooo, kwa sababu wana disapora la kutosha.
 
Back
Top Bottom