Uraibu wa picha za ngono na kujichua

Uraibu wa picha za ngono na kujichua

Ila wengine wanaona ni suala la kawaida ingawa wengine kwao ni immoral
Immoral Unaipimaje na Tuna makabila Zaidi ya 120..
HUwezi kupima Moral kwa Kuangalia Mila za Upandw mmoja..
Umewahi kumuuliza Huyo unaesema Kuwa ni nje ya Maadili kama anajua Maadili ya Kabila lako au Race yako..

Tuko tofauti sana Kwenye Kila Kitu so Ni vigumu Kuwa na Universal Agreements on Moral na Immarality
 
Immoral Unaipimaje na Tuna makabila Zaidi ya 120..
HUwezi kupima Moral kwa Kuangalia Mila za Upandw mmoja..
Umewahi kumuuliza Huyo unaesema Kuwa ni nje ya Maadili kama anajua Maadili ya Kabila lako au Race yako..

Tuko tofauti sana Kwenye Kila Kitu so Ni vigumu Kuwa na Universal Agreements on Moral na Immarality
Nasikia kuna makabila kutiana nje watu wengine wakishuhudia sio kitu cha ajabu au kumkula Mwanamke kikundi cha wanaume sio kitu cha ajabu saana ila makabila mengine ni mwiko nyuma
 
Nyeto ina Athiri kwa Maswala mengine ila Sio kiafya labda kama Tukizungumza Kipsycholojia na Kiroho..

Wengi wanaohamasisha Vijana Kuacha wengi wao Ni Walioathrika na Nyeto wanahasira Kwanini hawaachi kwahyo Wanakuwa na Hasira kuwaambia watu waache wasije wakawa kama wao..

Kwa mfano Chukulia Mtu aliyevuta madawa ya Kulevya Akapata Athari ya Madawa hayo unajua Ushauri atakaomshauri Mtu anayetaka Kuanza kutumia Madawa?

Utakuwa Ushauri wa Ukali na ikuwezekanahata Kumpiga kwa sababu anajua Kipi kinaelekea Kumpata
Kuna hili jambo la nguvu za kiume , sifikiri kama ni sawa , hawa wanawake wenyewe wana stress za vikoba na marejesho, ila kuna mwamba ana tangatanga kuwarizisha eti🤔🤔 nakusingizia punyeto 🤔🤔
 
Back
Top Bottom