Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

pumzi imewaishia
 
Hivi ulitegemea Membe ajilipuwe hata kabla ya 2019?Kwa siasa za Tanzania kuibuka au kujitangaza mapema ni kujitengenezea mikosi,na mwanzo wa kupambana na dola.Msipende kumuingiza mkenge kila jambo lina wakati wake.
 
Hivi ulitegemea Membe ajilipuwe hata kabla ya 2019?Kwa siasa za Tanzania kuibuka au kujitangaza mapema ni kujitengenezea mikosi,na mwanzo wa kupambana na dola.Msipende kumuingiza mkenge kila jambo lina wakati wake.
Makamanda wa Ufipa wachochezi sana!
 
Ulivyoandika Sasa,
 
Ulitaka akutangazie wewe ili iweje kwa mfano?
 
Membe anayaweza sana
Membe ni Jasusi lililobobea, linaibuka mara moja linafanya operesheni, linapotea , linaibuka tena linapiga operesheni linapotea, mkija kustuka mwaka 2020 Chama kinamuweka Jiwe Pembeni, bendera anakamata Membe, mnabaki mnashangaa tu!
 


Ni kwa sababu walishaona kuwa haka kajamaa kana chembe ya udhaifu fulani ulio karibu na JK....hatufai kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…