baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,129
- 4,028
Mkuu watu wanajidanganya sana , Magufuli ana madhaifu yake lakini madhaifu ya Membe hapana hayabebeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara 100 ya Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watu wanajidanganya sana , Magufuli ana madhaifu yake lakini madhaifu ya Membe hapana hayabebeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tofautisha milele na milembe.CCM oyee, milele, Membe bado ni CCM!
Nimeogopa sana niliposoma hapo11-Askari wa Rwanda nchini watapungua
"Moto na moto abongisa"Team Membe at work wakifanya callable na Ufipa.
Ina maana amechokwa kiasi hicho?Magu ukuje huku,wazee wa fitna wanataka kutia mchanga kitumbua chako.
Mkuu Membe anaweza kuwa Rais wa TZ kweli? Ameandaliwa na mfumo kweli???!Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Naona unaota huko ulipo mkuu!! Ndoto njema mkuu!!Iwe giza iwe nuru. Iwe usiku iwe mchana Membe LAZIMA awe rais kabla 2020
Dogo mambo vipi??Nasikia hata wakubwa wenyewe siku za hivi karibuni hawaongei lugha moja na wanajutaHabari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Kwa nyinyi mlioolewa huu muda muafaka kwenu kuwapikia wanaume zenuCCM oyee, milele, Membe bado ni CCM!
Membe ndo habari ya mujiThis week humu JF Membe ametrend sana for no reason mpaka thread za zamani watu wanafukua makaburi.
Kulikoni??
Hilo liko wazi jamaa lazima awe Rais kupitia ccm ama upinzani...Iwe giza iwe nuru. Iwe usiku iwe mchana Membe LAZIMA awe rais kabla 2020
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu watu wanajidanganya sana , Magufuli ana madhaifu yake lakini madhaifu ya Membe hapana hayabebeki
Mara 100 ya Magufuli
Na huyu tuliyenaye tulidhani ndo alikuwa wa kutufikisha huko huko.Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Mwanzo nliona kama mzaha hivi, lkn kidogo kidogo naona kama kuna mision plan, ambayo ina impeach kwa utaratibu..Naona project MEMBE ina test mitambo....thread zimekuwa nyingi kweli juu ya membe......MEMBE AWE RAISI KWA LIPI..MNAMUWEKA MATATIZONI MZEE WA WATU ana machafu yake mengi tu
Ulimaanisha "collabo"? mtu wa akili nyingi?Team Membe at work wakifanya callable na Ufipa.