Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Watanzania ni wanafiki sana,eti wanajifanya kuwa hawajui kuwa mtu mwenye maamuzi nani awe rais kwenye nchi hii ni CcCM na wala siyo wao!!
 
Watanzania ni wanafiki sana,eti wanajifanya kuwa hawajui kuwa mtu mwenye maamuzi nani awe rais kwenye nchi hii ni CcCM na wala siyo wao!!
 
Naona project MEMBE ina test mitambo....thread zimekuwa nyingi kweli juu ya membe......MEMBE AWE RAISI KWA LIPI..MNAMUWEKA MATATIZONI MZEE WA WATU ana machafu yake mengi tu
Mwanzo nliona kama mzaha hivi, lkn kidogo kidogo naona kama kuna mision plan, ambayo ina impeach kwa utaratibu..

Kunauwezekano wanataka kutengeneza mission ya kumfelisha ngosha ilj 2020 awe mtu mwingine, kama plan hii itafanikiwa basi upinzani unakuja kuchukua nchi kirahis mno... Na ndyo itakuwa mwisho wa chama kinaitwa ccm..

Maana leo toka asb membe membe membe, kwa mtazamo wa kawaida kabisa kuna plan mission around the corner
 
Back
Top Bottom