Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Mungu hawezi tangulia watu wanaotaka kurudi misri hata siku moja, zaidi sana, atawaadhibu zaidi kama alivyowaadhibu wana wa israel walivyotaka kurudi misri.
Kwa iyo ninaamuru ibilisi aliyekujaa, atoke!
 
Mungu hawezi tangulia watu wanaotaka kurudi misri hata siku moja, zaidi sana, atawaadhibu zaidi kama alivyowaadhibu wana wa israel walivyotaka kurudi misri.
Kwa iyo ninaamuru ibilisi aliyekujaa, atoke!
Au sio?
 
Hili shindano la timu mbili. kila timu pinzani inapopoteza point timu nyingine inanufaika. Upande wa Membe unanufaika upande mwingine unapopoteza pointi. Kubalance ni upande unaolalamikiwa kujisahihisha na si kupiga nyundo! Diplomatic means!
 
kwa hali ilivyo sasa hivi hata wewe mshana ukionesha kumpinga mzee wetu ndani ya chama 2020 utapata sapoti sana humu mtandaoni lakini kwenye box la kura hutapata kitu. hivi nikuulize kitu unajua 2020 zitatumika kadi gani kupigia kura
 
Wewe mwehu umesoma vizuri na kuelewa maelezo ya post niliyo ijibu na ya kwangu?
Au umezoea kurukia mambo ovyo ukiendeshwa na hisia binafsi?

Je unafikiri lugha kama hizi tutaelimishana kitu ktk mijadala?
 
Watanzania hawajui ni nini wanakitaka ..huo ndo ukweli
 
Mkuu umenena vyema,huyu jamaa alitakiwa awe na mtu Wa kumdhibiti maana huwa anaamini yeye ni zaidi ya malaika,nadhani malezi yake hayakuwa mazuri,urais ni taasisi sio Mali ya mtu mmoja,tumemwona miaka mitano,he doesn't deserve to be given another opportunity,
 
Wapinzani,jikiteni kwenye issue za maana kama 25% ya mafao ,Madawa hospitalini,Ajira na maisha duni ya raia wa vijijini,Issue za Membe kugombea Uraisi,sijui maandamano,mtapata kura na Waandamaji wa kimjinimjini kama wa humu JF, afu mwisho wa siku mseme tulishinda kura milioni sijui ngapi,ohh tulifanya polisi wakaandamana,acheni kuwaza maslahi yenu binafsi la sivyo mkiwa na bahati magogoni mtaishia kupiga picha tu.
 
Nikisoma maandishi yako yananipa tafakur juu ya uwezo wako mdogo wa kiuandishi na kimantiki,yaani unakoroga tu na hvyo kutoa picha halisi kwetu sis wasomaji kuwa wew ni mmoja kati ya mapopoma wanaoshabikia ujinga na ufedhuri wa jiwe kwakua tu mmepewa tuvyeo,mmesau mamilion yakiangamia kwa sera mbovu za kiimla!!!!
Masikini wanalalamika ambao wengi wao hawakuwai kushika vyeo vya kuiba lakini majibu mnayotoa yey na mapopoma wake ni mepesi mithili ya maneno mlevi wa pombe za kienyeji....!!!eti walizoea madili!!loh!!!The weakest defensive mechanism ever given by executive as leading organ!!!
 
Kuna mkorogano mkubwa sana mbele ccm asili wafia chama wasugua gaga vs ccm chotara wafia tumbo ccm maslai
 
Mshana huezi changanya tunguli hapo tukarudi kwenye mjadala wa mafao..25% haitoshi
 
Ishu inakuja hivi vipi mwenyekiti akimfukuza uanachama atapenyea wapi.
 
Kete kubwa atakayotumia ni kuwafuta uanachama kwa kigezo cha usaliti wote wanaowashwa washwa. Ndo madhara ya Kofia Mbili kwa hali ya sasa haifai kuwa na Kofia Mbili.Kila mmoja abaki na nafasi yake ili waweze kudhibitiana raisi abaki raisi na mwenyekiti abaki mwenyekiti kma ili ANC ya South Africa.
Mshana,Miaka tayari imeisha

Au miaka ina miguu au ugumu wa Maisha yaani tayari 2019

Manunuzi yamepita,Maigizo yamepita bado upinzani tena ndani ya chama

Wasiojulikana ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…