Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Ni mtazamo binafsi lakini wenye kuakisi ukweli... CCM inaandaliwa kuingia kwenye wakati mgumu tena, ni mtifuano wa ndani kwa ndani
. Urais 2020
. CCM asili dhidi ya CCM makinikia(mabaki)
. CCM kindakindaki dhidi ya CCM maslahi (wakuja)
Bernard Camilius Membe diplomat na jasusi wa muda mrefu, mshindwa wa kinyang'anyiro cha urais ngazi ya chama bado hajakubali kushindwa, bado ana ndoto ileile ya kukalia kiti kikubwa na amekamia hasa
Haiba ya Membe ni reincarnation ya haiba ya Kikwete (carefree) ni tofauti kabisa na haiba ya mzee baba KUKAZA hasa.... Membe ni expert mzuri sana kwenye mahusiano ya kimataifa, na pengine kwenye ushushushu lakini si kwenye siasa tena kukalia kiti kikubwa
Kipindi kile wakati wa kutafuta nafasi ya kuteuliwa, hakuonesha tofauti na wanaccm wengine, hakuongea cha ziada, wote walifanana... Hakutupa dira na maono ya tulipotoka, tulipo na tunapoelekea.. Wote katika ujumla wao ndani ya CCM walifanya mahubiri ya kisiasa
Akiwa shina moja na JK, ana sehemu kubwa ya lawama nchi ilipokuwa imefikia kipindi kile, kumpa usukani na kuendelea kuchanja mbuga kuelekea maporini

Sasa basi kwanini nasemwa asibezwe?! Huyu ni tarumbeta ya kupaza sauti ya wanaccm wengi wanaougulia kimyakimya na kushindwa kuongea kwa uwazi, kwa sauti
Huyu ni sauti ya manung'uniko ya wanaccm wengi ambao hawaridhishwi kabisa na mwenendo wa chama kwenye kila kitu lakini kubwa kuliko yote ni kule kuwapa wahamiaji (haramu) madaraka na nafasi za upendeleo... Wanapatwa na hisia kuwa kuna CCM mpya inaundwa taratibu ndani ya CCM halisi (CCM ya mwenyekiti dhidi ya CCM ya wote)
Ni kupitia hayo kwa uchache ndani ya mengi chamani, Membe ananijenga kwa kasi ya ajabu, na harakati zake hizo zilianza mara baada ya uchaguzi mkuu.... Membe ana kundi kubwa nyuma yake.. Ni vigumu kumdhibiti kama walivyodhibitiwa kina Makamba Jr, Lameck, Nape nk.. Huyu ni kada mzoefu chamani na wa muda mrefu... Ametumwa...!!

2019 hiyoo bado siku chache tu, Membe yuko nje ya nchi anakotuhumiwa kupanga mambo yasiyowapendeza watu fulani.. Huku wengine wakiona ni sawa... Hapa ni swala la mizania.. Nani ana wafuasi wengi zaidi wa hiari...
Membe anarudi kukanusha/kujibu tuhuma,.. Anajipanga kisawasawa, ameshaanza kusafishiwa njia na timu zake mitandaoni .... Ni yeye tu ndio anasikika na kujadiliwa... Na kwa sehemu kubwa akisemwa vizuri na akitabiriwa vema... Hivi vitu havifanyiki kwa bahati mbaya... Ni mipango inayosukwa kwa ustadi sana..

Hivyo basi pamoja na kwamba hatoshi kukalia kiti kikubwa, lakini ni tishio kubwa... Akiamua (kwa nguvu ya wapambe wake) ataiteka December yote.... Atavuruga hasa... Atawavuruga.... Na CCM itaingia 2019 ikiwa mapande makubwa matatu
. CCM mwenyekiti
. CCM Membe
. CCM wengine
Ujumbe huo wa Nape unabeba siri kubwa nyuma ya kinachoendelea sasa chamani... Muda utasema.. View attachment 952923


Siasa na drama za chama tawala.
Wanajua vizuri walifanyalo.
Sasa badala ya opposition wakomae na yao watakuwa taken away na haya matukio ya kutengeneza hata wajiingize huko wasahau yao.
 
Sawa mimi mpotishaji ila wewe ndiye mkweli ambaye unafanya kazi ktk moja ya mashirika ya pensheni hivyo unaona jinsi serikali inavyochukua hela kwenda wanunua wabunge na madiwani.
Ila kubali ukatae, bila sacrifice of any magnitude whether peaceful or hostile, hutokaa uone maendeleo.
Tuliza ubongo chini, fuatilia mambo duniani halafu fikiri pia uone kama hao wote unaowajua wameendelea kama walilala na kuamka matajiri. Ukiyang’amua hayo naamini utarudi hapa ili tujadiliane kwa kufikiri
Hawakupata maendeleo kwa kutumia usanii wa kujifanya unapiga vita ufisadi huku ukirundika kwenu "White elephant projects" ambazo kila unapohubiri maendeleo unaona aibu kuzitaja kama sehemu ya ufanisi wako.
 
Ni mtazamo binafsi lakini wenye kuakisi ukweli... CCM inaandaliwa kuingia kwenye wakati mgumu tena, ni mtifuano wa ndani kwa ndani
. Urais 2020
. CCM asili dhidi ya CCM makinikia(mabaki)
. CCM kindakindaki dhidi ya CCM maslahi (wakuja)
Bernard Camilius Membe diplomat na jasusi wa muda mrefu, mshindwa wa kinyang'anyiro cha urais ngazi ya chama bado hajakubali kushindwa, bado ana ndoto ileile ya kukalia kiti kikubwa na amekamia hasa
Haiba ya Membe ni reincarnation ya haiba ya Kikwete (carefree) ni tofauti kabisa na haiba ya mzee baba KUKAZA hasa.... Membe ni expert mzuri sana kwenye mahusiano ya kimataifa, na pengine kwenye ushushushu lakini si kwenye siasa tena kukalia kiti kikubwa
Kipindi kile wakati wa kutafuta nafasi ya kuteuliwa, hakuonesha tofauti na wanaccm wengine, hakuongea cha ziada, wote walifanana... Hakutupa dira na maono ya tulipotoka, tulipo na tunapoelekea.. Wote katika ujumla wao ndani ya CCM walifanya mahubiri ya kisiasa
Akiwa shina moja na JK, ana sehemu kubwa ya lawama nchi ilipokuwa imefikia kipindi kile, kumpa usukani na kuendelea kuchanja mbuga kuelekea maporini

Sasa basi kwanini nasemwa asibezwe?! Huyu ni tarumbeta ya kupaza sauti ya wanaccm wengi wanaougulia kimyakimya na kushindwa kuongea kwa uwazi, kwa sauti
Huyu ni sauti ya manung'uniko ya wanaccm wengi ambao hawaridhishwi kabisa na mwenendo wa chama kwenye kila kitu lakini kubwa kuliko yote ni kule kuwapa wahamiaji (haramu) madaraka na nafasi za upendeleo... Wanapatwa na hisia kuwa kuna CCM mpya inaundwa taratibu ndani ya CCM halisi (CCM ya mwenyekiti dhidi ya CCM ya wote)
Ni kupitia hayo kwa uchache ndani ya mengi chamani, Membe ananijenga kwa kasi ya ajabu, na harakati zake hizo zilianza mara baada ya uchaguzi mkuu.... Membe ana kundi kubwa nyuma yake.. Ni vigumu kumdhibiti kama walivyodhibitiwa kina Makamba Jr, Lameck, Nape nk.. Huyu ni kada mzoefu chamani na wa muda mrefu... Ametumwa...!!

2019 hiyoo bado siku chache tu, Membe yuko nje ya nchi anakotuhumiwa kupanga mambo yasiyowapendeza watu fulani.. Huku wengine wakiona ni sawa... Hapa ni swala la mizania.. Nani ana wafuasi wengi zaidi wa hiari...
Membe anarudi kukanusha/kujibu tuhuma,.. Anajipanga kisawasawa, ameshaanza kusafishiwa njia na timu zake mitandaoni .... Ni yeye tu ndio anasikika na kujadiliwa... Na kwa sehemu kubwa akisemwa vizuri na akitabiriwa vema... Hivi vitu havifanyiki kwa bahati mbaya... Ni mipango inayosukwa kwa ustadi sana..

Hivyo basi pamoja na kwamba hatoshi kukalia kiti kikubwa, lakini ni tishio kubwa... Akiamua (kwa nguvu ya wapambe wake) ataiteka December yote.... Atavuruga hasa... Atawavuruga.... Na CCM itaingia 2019 ikiwa mapande makubwa matatu
. CCM mwenyekiti
. CCM Membe
. CCM wengine
Ujumbe huo wa Nape unabeba siri kubwa nyuma ya kinachoendelea sasa chamani... Muda utasema.. View attachment 952923

Eti CCM asili dhidi ya CCM makinikia(mabaki)... Nimecheka sanaaaa ha ha ha ..
Nakukubali sana mtoa mada, Membe ndio rais ajaye
 
**YEYOTE ANAYETAKA KUAMINISHA WATU MAZURI KALETA YEYE, ASICHUKIE ANAPOAMBIWA MABAYA PIA KASABABISHA YEYE**

🤔🤔🤔

Embu kwanza niambie mabaya gani haswa unaona uchaguzi ungekuwa leo hasingeshinda.. maana hayo matatu kwangu naona hayafuniki mazuri ambayo wananchi wengi wapiga kura nchini wanaona anafanya.. wala kumshusha kiungozi..

Pia uliyosema wananchi wengi... wewe umeamua tu kusema hauna proof ya hilo.. kwa sababu mfano kama ni viongozi hao wabunge kura zao haziwezi badili kitu.. wakulima pesa wanalipwa zaidi ya walizokuwa wanajua watapata.. hao utawaambia nini lingine now..
Ya pensheni nijuavyo mimi kuna nchi waliostaafu wanaishi kwa kupokea malipo kila mwezi..
Nikisoma maandishi yako yananipa tafakur juu ya uwezo wako mdogo wa kiuandishi na kimantiki,yaani unakoroga tu na hvyo kutoa picha halisi kwetu sis wasomaji kuwa wew ni mmoja kati ya mapopoma wanaoshabikia ujinga na ufedhuri wa jiwe kwakua tu mmepewa tuvyeo,mmesau mamilion yakiangamia kwa sera mbovu za kiimla!!!!
Masikini wanalalamika ambao wengi wao hawakuwai kushika vyeo vya kuiba lakini majibu mnayotoa yey na mapopoma wake ni mepesi mithili ya maneno mlevi wa pombe za kienyeji....!!!eti walizoea madili!!loh!!!The weakest defensive mechanism ever given by executive as leading organ!!!

Ha ha haaaaaaaa
Naona umepokea dozi ingine

Unaandika kutaka kunishusha.. hata sijui nini kinakuwasha washa juu ya Cocochanel

Hii ni forum.. nitaandika nitakavyo.. na uandishi wangu humu umekufanya upende kunisoma..

Weww tabu yako ni ulishaanza kyisoma namba tangu.. so lolote unalobwabwaja kwangu wewe ni pupwuu mjaa upupwu.

Acha wivu juu yangu.. huniwezi.. jiandikie jisome

Ukinisoma tegemea 💉💉💉💉💉💉 zaidi na zaidi..

Ulitaka nikufundishe juu ya kuandika ukiwa umefikiria dk 5 mbele.. karibu.. bila kusahau luchungulia nyuma pia..

Huniwezi kabisaaaaaaa.. halafu lazima unaandikaga upupwu kisa wataka kuona upinzani ukipaaa.. unajua haiwezekani.. never.. kaa tu CCM ulipokuwepo tangu uisome namba.. na segerea uende jambwazi.
 
Neno
Vijisenti alivyo navyo ndio hivyo amewapa chadrama mcharuko kwa ajili ya mitandao na nikikwambia visenti ni visenti haswa
Kuna watu aliwafanyisha kazi na ameshindwa kuwalipa, kwa kuwa uzee unamjia kwa kasi na watu walio mzunguka wanachukua kile kidogo alicho nacho
Mdhungu sio mjinga akisha ona unashindwa huwa ana kudrop kama hot potato,
Hata kama mpango ulikuwepo lakini huo mpango umekufa kifo cha milele, yaani amejimaliza kisiasa kabisa, self- elimination
Chadrama mcharuko watapiga debe kama kawaida yao, na watazimwa kama kawaida yao!
Hii ni drama ambayo ni predictable kabisa walahi

Duh
Kumbe
Wanaisoma namba na kuwashwa washwa..
JPM oyeeeee
 
Acha watu wajadili kwa maana wameamua kumjadili membe
 
Naamini si membe na Magufuli tu watakaochukuwa fomu - kwa nchi yenye watu takribani 50M lzm idadi ndogo ya watakaochukuwa fomu itazidi 3
 
Membe hatoshi kweli maana 2020 utaratibu wa CCM vipindi viwili hawezi kuubadili halafu 2025 kiumri atakuwa na miaka 72.
 
🤔🤔🤔

Embu kwanza niambie mabaya gani haswa unaona uchaguzi ungekuwa leo hasingeshinda.. maana hayo matatu kwangu naona hayafuniki mazuri ambayo wananchi wengi wapiga kura nchini wanaona anafanya.. wala kumshusha kiungozi..

Pia uliyosema wananchi wengi... wewe umeamua tu kusema hauna proof ya hilo.. kwa sababu mfano kama ni viongozi hao wabunge kura zao haziwezi badili kitu.. wakulima pesa wanalipwa zaidi ya walizokuwa wanajua watapata.. hao utawaambia nini lingine now..
Ya pensheni nijuavyo mimi kuna nchi waliostaafu wanaishi kwa kupokea malipo kila mwezi..


Ha ha haaaaaaaa
Naona umepokea dozi ingine

Unaandika kutaka kunishusha.. hata sijui nini kinakuwasha washa juu ya Cocochanel

Hii ni forum.. nitaandika nitakavyo.. na uandishi wangu humu umekufanya upende kunisoma..

Weww tabu yako ni ulishaanza kyisoma namba tangu.. so lolote unalobwabwaja kwangu wewe ni pupwuu mjaa upupwu.

Acha wivu juu yangu.. huniwezi.. jiandikie jisome

Ukinisoma tegemea 💉💉💉💉💉💉 zaidi na zaidi..

Ulitaka nikufundishe juu ya kuandika ukiwa umefikiria dk 5 mbele.. karibu.. bila kusahau luchungulia nyuma pia..

Huniwezi kabisaaaaaaa.. halafu lazima unaandikaga upupwu kisa wataka kuona upinzani ukipaaa.. unajua haiwezekani.. never.. kaa tu CCM ulipokuwepo tangu uisome namba.. na segerea uende jambwazi.
You're such a shameless woman with guttered mind!!!Foolish fool!!
 
tusimlishe maneno.
CCM ni chama imara chenye mfumo madhubuti, mihula miwili ya urais ni sehemu ya utaratibu wa kudumu na unaheshimiwa na kila mwanachama mtiifu wa ccm akiwemo BM kamwe hawezi kuwa muuasi labda awe nje ya ccm lkn sio ndani ya ccm
Unazungumzia utaratibu badala ya katiba? Halafu bado huoni kuna shida hapo?
 
Back
Top Bottom