Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania


Sawa mimi mpotishaji ila wewe ndiye mkweli ambaye unafanya kazi ktk moja ya mashirika ya pensheni hivyo unaona jinsi serikali inavyochukua hela kwenda wanunua wabunge na madiwani.
Ila kubali ukatae, bila sacrifice of any magnitude whether peaceful or hostile, hutokaa uone maendeleo.
Tuliza ubongo chini, fuatilia mambo duniani halafu fikiri pia uone kama hao wote unaowajua wameendelea kama walilala na kuamka matajiri. Ukiyang’amua hayo naamini utarudi hapa ili tujadiliane kwa kufikiri
 
Itategemea na mtazamo wa wabangua korosho je watakubali kutumika au wataheshimu mikataba ya viapo vyao
 
Mi nampenda rais magufuli, naipenda ccm, nampenda membe
 
Naamini hili no wazo zuri si kwa Membe tu Bali kwa yeyote atakaefanikiwa kuchaguliwa kuwa rais wa jmt!..
 
UKO SAHIHI KABISA ILA SIYO KWA MEMBE TU KWA YOYOTE ATAKACHUKUA NCHI 2020!!!!
NAJUA JIWE ANASOMA HUU UZI KAMA VIPI ABADILI GIA ANGANI!!!!!
 
Now days we're going crazy....Hali ni mbaya mpaka tumebaki kujifariji na ndoto
 
Naona wanajitekenya na kucheka wenyewe, ndio raha ya ujinga.
 


Huo ndio uboya na siasa za matukio.
Vyama mbadala haviwezi kuongeza lolote kwa kukomaa na hilo kwani kura za watumishi huwa wanazo tangia hapo. Chunguza vizuri,watumishi wengi wa umma hawapigii chama tawala.
Kuna kundu kubwa la wakuda wa mjini/ masela na makachaa Ambao huwa hawapi kura- hilo ndio eneo potential la vyama mbadala kuinvest nguvu na mbinu zao kuwafanya wapige kura regadless wabampigia nani?.
 
2020 JPM atavunja rekodi atashinda kwa 98%.
Tusubirie tukutane 2020, kwa sasa tusipoteze muda na nguvu zetu kulumbana , tuchape kazi kwa maendeleo yetu na taifa


Ongelea mengine lakini Magufuli hawezi siasa za ushindani na hiyo 2020 kitakachofanyika sio uchaguzi bali ni kupoteza pesa za wananchi ili Magufuli na genge lake watangazwe washindi.
 
Wengi wana undermine serikali wanafikiri ni Rais kukalia kiti kile, sio rahisi hivyo kama wanajidanganya, lakini serikali hii inafanya kazi nzuri sana ni ngumu kuwabadili watu wanaopenda maisha rahisi na kuongea ongea sana badala ya kyfanya kazi.
 
Wakuu kwa jinsi nilivyosikia mkakati uliopangwa wa kumng'oa Jiwe madarakani.

Nimeamini 2020 Membe ndio Rais,hakuna namna.

Na hata wakimuua bado kuna mbadala wake wapo wawili .

Yani kumbe ni serious,Jiwe lazima ang'oke 2020
 
Nchi hii tangu uhuru imefilisiwa na makundi mawili... kundi la wafanyabiashara ambao miongoni mwao sio Watanzania na kundi la Wanasiasa wazito ambao karibu wote ni Watanzania wenzetu!! Majizi haya kutoka kundi la wanasiasa walifanya ufedhuli huu wakati wanafahamu fika Watanzania tuliwapa kazi ya kulinda maslahi yetu!

Nitajie jizi moja tu kutoka kwenye kundi la hawa wanasiasa wezi na mafisadi ambae amefanywa chochote na huyo Magufuli wenu mnayetaka kutudanganya kwamba anapambana na mafisadi... ONLY ONE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…