Haya ni maneno tu.Yani ata kama atagombea mbuzi ntampa kura lkn siyo stone nimemkinai mpk basi
Mwenye CV ya Dr Bashuru atutupie hapa...
Je anaweza fikia CV ya BM?
Magufuli kasema mtu safi lowasa siku ya uzinduzi wa maktaba taasisi ya ikulu imesema hivyo wewe ni nani wa kupinga?huyu huyu membe wapinzani walisema ni fisadi leo wanamshika mkono same as lowasa
kwa style hii upinzani utasubiri sana maana ni vigeu geu
Kakojoe ukalaleNdugu zangu, huyu anayezungumzwa na kuandikwa kila chochoro, Hana jipya, wala hatakuwa na jipya.
Kukaa na kupoteza rasimali muda, huku ukimpigia "Promo za Kipuuzi" mtu ambaye hatakusaidia kwa lolote, huo nao ni upuuzi.
Ndugu zangu, huu ni Msimu wa "Maembe" Fanyeni biashara ya "Maembe"
Huyo "Membe" hatatusaidia chochote.
Sana sana atatuletea "Mende"
Asanteni, Ngoja nimpikie mume wangu kipenzi chakula cha lala salama.
Mkuu kuna chuma kirain(soft iron)kipo hapa.. unataka ugonngwe nacho..Unagongwa na chuma chakavu nini?
Hii inatokana na kudumisha kwanza katiba ya chama haikatazi kila mwanachama ana haki kuomba chama kumteua kugombea nafasi mbali mbali za kiserikali kama udiwani,ubunge,urais nk
Lakini pia kumuunga mkono mwenyekiti wetu Wa chama Taifa ambae anataka ccm mpya kwa maana kuondokana na utamadumi Wa kuminya demokrasia ndani ya ccm uliokuwa unafanywa na wenyeviti Wa ccm waliopita
Zaidi ya hapo ni kutaka kuleta ccm yenye demokrasia kwa kila mwanachama wake lakini pia kuwaonyesha wapinzani kuwa ccm kunademokrasia ya kweli
Maana lipumba anagombea peke yake huko cuf,maalim seif halikadhalika anagombea peke yake na huko chadema ndio hakusomiki kabisa hivyo ni wakati Wa ccm mpya kama tunavyo inadi
Lakini pia kama ambavyo viongozi wetu wakitaifa wanavyo nadi kwa wanaccm kuwa sasa ni ccm mpya
Ahsante
Mudhihiri Achimwene
Mjumbe Wa kamati ya ccm mkoa Wa Lindi
Kwaniaba ya wanaccm Wa mkoa Wa Lindi
Wewe unamjuajeWatu hamumjui membe nyie, Hafai hata chembe yule.
Hizi ni dalili za Chadema kuishiwa pumzi kabisa........ Hata mwenezi umekurupukia CCM!
Huyu aliepo hana kipaji?
Kha!Unajua ni heri asiyekusaidia chochote kuliko ambaye hata chochote ulichonacho anakivuruga!! Hii sheria ya 25% ni disaster thanks kwa wenye miaka mitano kustaafu PSSSF nmesikia haiwahusu.
Niulize mimi.Wewe unamjuaje
Ukiendelea kutubishia tunakuzibua tundu!Niulize mimi.
Sina chura mieeeee!Ukiendelea kutubishia tunakuzibua tundu!