Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Unajua ni heri asiyekusaidia chochote kuliko ambaye hata chochote ulichonacho anakivuruga!! Hii sheria ya 25% ni disaster thanks kwa wenye miaka mitano kustaafu PSSSF nmesikia haiwahusu.
 
huyu huyu membe wapinzani walisema ni fisadi leo wanamshika mkono same as lowasa
kwa style hii upinzani utasubiri sana maana ni vigeu geu
Magufuli kasema mtu safi lowasa siku ya uzinduzi wa maktaba taasisi ya ikulu imesema hivyo wewe ni nani wa kupinga?
 
Kakojoe ukalale
 
Zwazwa wewe
 
Huyu aliopo mgonjwa wa akili msaidieni kabla nchi haijafyekelewa mbali
 
Unajua ni heri asiyekusaidia chochote kuliko ambaye hata chochote ulichonacho anakivuruga!! Hii sheria ya 25% ni disaster thanks kwa wenye miaka mitano kustaafu PSSSF nmesikia haiwahusu.
Kha!
Kwahiyo huyo "Maembe" ndiye atakurudishia hiyo Asilimia?
Tuacheni ujinga ndugu zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…