bado hujaeleza kwanini membe hafai unesema tu ni bomu sababu?
Kwa watanzania wanaomtaka membe Kwa itaratibu uliopo wa chama na wazee kuwa na nguvu ya kupendekeza na kupitisha nani awe raisi chini ya katiba hii, Mtasubiri sana Membe kuwa raisi. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu.
Itashangaza kuona magufuli akikauka koo majukwaani kujinadi ilhali alisema huko ikuluni alisukumizwa tu nakazi ya uraisi ni ngumu!
Nailedbado hujaeleza kwanini membe hafai unesema tu ni bomu sababu?
Kwa watanzania wanaomtaka membe Kwa itaratibu uliopo wa chama na wazee kuwa na nguvu ya kupendekeza na kupitisha nani awe raisi chini ya katiba hii, Mtasubiri sana Membe kuwa raisi. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu.
Itashangaza kuona magufuli akikauka koo majukwaani kujinadi ilhali alisema huko ikuluni alisukumizwa tu nakazi ya uraisi ni ngumu!
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.
Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.
Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.
Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.
Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.
Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.
Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.
To hell na huyo Membe wenu.
Ngojq na mimi nikae karibu yako waiter akitoka kwako azungukee kwangu ....Ngoja niweke kambi kwa muda hapa, "waiter leta wanzuki moja ya baridi"
Neno la siku!No Maembe 2020!
Membe ni bomu lile hata uwezo wake wa kung'amua mambo una mashaka makubwa
Kwa membe ni bora magufuli abaki hata miaka ya 20
Huyo alishasema akiingia madarakani atahakikisha watu 15 watahama kutoka Tanzania. Hatutaki Rais wa aina hiyo.Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.
Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.
Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.
Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.
Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.
Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.
Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.
To hell na huyo Membe wenu.
Membe ni bomu lile hata uwezo wake wa kung'amua mambo una mashaka makubwa
Kwa membe ni bora magufuli abaki hata miaka ya 20
Hatumtaki MaembeHuyo alishasema akiingia madarakani atahakikisha watu 15 watahama kutoka Tanzania. Hatutaki Rais wa aina hiyo.
Anatua saa ngapi airport?Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.
Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.
Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.
Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.
Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.
Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.
Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.
To hell na huyo Membe wenu.
ni haki yao kupapatikia wanachokipenda mkuu usiwapangie.
Ila siku ya Mwisho mimi kumkubali huyo mkuu ni siku alipotoa hotuba kwa nini anataka awe rais 2015.
aliishia kuongelea mambo ya wapinzani, mara anajichanganyachanganya. Nikashangaa mbona jamaa anasifika sana kuliko anachokiongea?
Sijamkubali tangunsiku ile, labda aje tena tumsikilize upya.