Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu abariki maneno yako maana umeongozwa na roho mtakatifuMtaua watu kwa presha[emoji23]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] me nacheka jinsi unavyoujua ukweli na kukumbatia uwongo..
Wazalendo ni soldier mkuu..... Hawa ni raia "wakakamavu" kama Mimi na wewe
Membe kwenye social media kashinda 100% ila kwenye kura za chama jpm kashinda 100%Kwa JF hili haliwezi kupita hivihivi. Ni nani anaweza kupeperusha kwa ufasaha bendera ya CCM 2020. Tusizingatie kigezo cha kuwa na dola. Tuzingatie uwezo wa kuongoza na vision ya Tanzania tunayoitaka
View attachment 954246
Dr.Membe anayepigiwa chapuo kuleta mabadiliko ya makubwa kwa chama
View attachment 954248
Rais Magufuli
Nimepita jkt Mafinga .... Only soldier ndo mzalendo wananchi kama Mimi na wewe ni wananchi wakakamavu tu na si kingine.Inaonyesha hata JKT hujapitia kama hujui ni ni maana ya uzalendo pole sana maana naona hujui unacho kiongea
Dah...kwani tunavuka kwenda wapi mkuu??Yamesemwa mengi sana juu ya hizi sura mbili na ukiona watu wanakusema sana basi ujuwe unakubalika.
Twende sasa na hawa viumbe watatuvusha salama.View attachment 954219
Nimepita jkt Mafinga .... Only soldier ndo mzalendo wananchi kama Mimi na wewe ni wananchi wakakamavu tu na si kingine.
Unamaanisha mdomo uumba? Basi sawa[emoji23]Mungu abariki maneno yako maana umeongozwa na roho mtakatifu
Dah...kwani tunavuka kwenda wapi mkuu??
Yale ni maneno tu ya kukuondoa mood ya mtaa na c uzalendo wenyewe..Wakati unaingia kambini ulala usingizi,kitu cha kwanza unapo ingia kambini unaambiwa kabla ya kuanza mafunzo unaondolewa kwanza maji magotini na uzalendo wa mitaani