Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Wengine tayari mshawapa kesi sasa tuhamia second option
Huu ndo upuuzi sasa kwani tofauti na hao hakuna wengine wenye uwezo wa kutuongoza..au ndo mnaanza kutuaminisha kama ilivyokua kwa EL kabla ya kutimkia CDM
 
Wengine tayari mshawapa kesi sasa tuhamia second option
Sio kweli hata huyo aliepewa kesi ameshawahi kujaribu mara kadhaa na bado hakutosha..sio lazima tuongozwe na ccm wala chadema bali tuongozwe na mtu mwenye vision ya nini Dunia sahiv inataka
 
Naomba soma vizuri kilichoandikwa
Sio kweli hata huyo aliepewa kesi ameshawahi kujaribu mara kadhaa na bado hakutosha..sio lazima tuongozwe na ccm wala chadema bali tuongozwe na mtu mwenye vision ya nini Dunia sahiv inataka
 
Anapambana na akina Mbowe wakati wapinzani wake wako chumbani kwake uvunguni kwenye kitanda alichojaza mafaili
 
Ndiyo hapo sasa baba fulani atakapo tupiwa vilago mapeemaaa
Nasikia chama kipya kinakuja. 2020 kutawaka moto kwani wengi watakuwa ni ccm asilia dhidi ya ccm wahamiaji au waunga nkono au watia hasara wa taifa
 
Back
Top Bottom