Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Mbona 2020 mbali sana!! Si tufanye kama Afrika kusini tu.... Tumtafute Ramaphosa wetu hapa tukiwashe ndani kwa ndani.


Na hili jua la Dar nenda kwa mangi pata juice ya Ceres sina neno nitalipa kabisa........ yaan tungeweza kuondokana na huyu mtu hata maisha ya watu wangekuwa marefu... maana na mpango wa kuua mpk wazee wetu
 
1543835547314.png
 
CHADEMA hakuna anayetosha kwani?

Kwa sasa wakati wa tume ya uchaguzi yenye meno hatunayo, basi angalau wenye nguvu ya ku-temper na demokrasia watuchagulie BINADAMU wenzetu na wenye afya njema ya akili watuongoze. Hayo maswali mengine tuyahifadhi hadi tutakapopata tume huru.
 
Chadrama mcharuko fanyeni kazi ondokeni mitandaoni uwiii
Mizee ya matukio kwishney
 
Member naye atakuja na yake....
Ni mdogo wake wa mama mmoja na "kicheka cheka"...
Sasa mwenye ubongo tutamjua na mwenye akili tutamfahamu hapo!
 
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.

====
 
Ni masikito yangu kuona watu tuliowengi humu bado tuna matuamaini na CCM.....Ndugu zangu wa Tanzania yatupusa tujue tunachokihitaji ni nini na sio kila siku kuwa wapiga kelele pasipo kuwa na tija yeyote,duh yani leo hii mnataka kutuaminisha Membe anatufaa....Tusisafishe uchafu kwa uchafu mwingine
 
Kumbe Magu amewalipa sio?!!!!!! Aaaaaaa ndio maana UKASUKU mwingi. Kazi kwenu ila sie twataka KATIBA ifatwe baada ya miaka 5 warudi ulingoni wachapane kwani shida iko wapi?
Kipaumbele chetu cyo katiba mpya ni kuua upinzani na kuwanunua wote hatutaki kupingwa ifikapo 2020 bungeni wote ni ndiyo mzee na hakuna wa kuibua hoja zaidi ya ndiyo kwa kila kitu[emoji2] [emoji2] [emoji10]
 
Tumia tu common sense , labda 2025 , na huenda tukaweka kiraka kwenye katiba cha kumruhusu JPM kuendelea . Mungu ibariki TZ
 
Back
Top Bottom