Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Nawapenda sana watanzania wenzangu kwa unafiki. Hata wewe mtoa mada ni mnafiki namba moja.
Unafiki ni upi au sabb unajua magufuli peke yake chaguo la mungu basi na membe pia chaguo la mungu
 
chaguo la mungu alikupigia simu kukwambia amemchagua.msipende kumsingia mungu.ndo maana hatokei kwa sababu ya ujinga wetu
 
Mpakwa mafuta wa Mungu
Haki ya Mungu,mnajua kumchezesha ngoma jiwe,na yeye anacheza bila kupenda
 
Kwa hizi nondo mnazotoa hapa , mzee baba atashindwa hata kwenda kwa mshauri wake kumsalimia.
 
Ndoto Za alinacha .
Ila wabongo sijui ni unafiki au bendera fuata upepo. Kazi ipo .
 
hivi kwanini watu mnapenda kumshake JIWE!? alishasema hakuna mtu aliwahi KUMTINGISA AKATINGISIKA. Acheni kumpa stress
 
Wameshaanza huko Instagram eti Kati ya Tunda ma Pombe 2020unapenda nn
 
ila kiukweli huyu jamaa ANAZO SWAGGA za kua rais ila sio bwana yule.
 
Membe ndiye Rais ajaye. Kwanini CCM wanataka kumfunga miguu? Acheni roho mbaya zenu.
 
Naona Membe anaendelea kujenga team kama za Lowasa mitandaoni. Wazalendo watamshangaza...
 
Jaman mkumbuke chairman wenu bado anasota jela msijisahaulishe na membe

Uidharau Nazi embe tunda la msimu bavicha oyeeeee
 
Mnatuchanganya, si alisema ni wa mizimu ya kwao? Pia CCM mgombea uraisi 2020 atagombea bila kupingwa, msije mkawa mnashadadia hili kumbe ni mbinu ya kuua upinzani 2020.
 
Back
Top Bottom