Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Umepaniq, kakojoe ulale urais sio Mali ya bwana jiwe fullstop
 
Yani Jiwe mwenyekiti halafu amuache huyo? Mkuu hilo sahau,tena jiandae kusahau mapema.
 
Duh ! Kwa hiyo unaiombea kwa Mungu CCM iendelee kutawala JMTZ? Kweli chadema ni zaidi ya uwajuavyo kwa maana hata wanataka nini maishani hawajui!
Hahahaha
Hilo ni umempa la uso walahi uwiii
 
Mleta uzi wewe ni mpumbavu walahi
Na ptuuuuu la uso walahi
 
Yote tisa kumi ni CCM KIBOKO WALAHI
 
Msifananishe Urais Na Korosho
Muda Huu Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Yupo.
Huyo Anakwenda Wapi
 
Dah.... Bora hata Wema Sepenga awe Rais....[emoji85] [emoji13]
 
Poleni. Mtapoteza muda na rasilimali bure! Ni Magufuli tu hata kwa udi na uvumba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…