Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Hata sasa mfanye awe rais wa familia yako. Ukishakunywa ukalewa unaanza kuongea mataka taka.... Yaani membe naye awe rais?mitanzania sijui imerogwa na nani...inakosa akili hata ndogo tu za uelewa... Mnataka kutuletea matakataka mengine ikulu? Mnaleta kichefu chefu kwenye mambo ya msingi...hovyo kabisa .. awe rais na mumeo kbisa.wewe na familia yako.umetutukana sana
Umepaniq, kakojoe ulale urais sio Mali ya bwana jiwe fullstop
 
Ninasema tena...mwacheni baba Jesca aongoze nchi jamani.. Nchi ipo kwenye mikono salama ya jembe letu mpaka 2025...tukifika 2024, Membe, team wama, baba moko,nape,kinan karibuni uwanjani na striker wetu wa kuaminiwa si mwingine ni jasusi wa kutukuka Camilus Membe...
Yani Jiwe mwenyekiti halafu amuache huyo? Mkuu hilo sahau,tena jiandae kusahau mapema.
 
Duh ! Kwa hiyo unaiombea kwa Mungu CCM iendelee kutawala JMTZ? Kweli chadema ni zaidi ya uwajuavyo kwa maana hata wanataka nini maishani hawajui!
Hahahaha
Hilo ni umempa la uso walahi uwiii
 
Mleta uzi wewe ni mpumbavu walahi
Na ptuuuuu la uso walahi
 
Yote tisa kumi ni CCM KIBOKO WALAHI
98567AC7-676D-44EB-9115-EBCF5662CFD8.png
 
Msifananishe Urais Na Korosho
Muda Huu Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Yupo.
Huyo Anakwenda Wapi
 
Dah.... Bora hata Wema Sepenga awe Rais....[emoji85] [emoji13]
 
Poleni. Mtapoteza muda na rasilimali bure! Ni Magufuli tu hata kwa udi na uvumba!
 
Back
Top Bottom