nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Umepaniq, kakojoe ulale urais sio Mali ya bwana jiwe fullstopHata sasa mfanye awe rais wa familia yako. Ukishakunywa ukalewa unaanza kuongea mataka taka.... Yaani membe naye awe rais?mitanzania sijui imerogwa na nani...inakosa akili hata ndogo tu za uelewa... Mnataka kutuletea matakataka mengine ikulu? Mnaleta kichefu chefu kwenye mambo ya msingi...hovyo kabisa .. awe rais na mumeo kbisa.wewe na familia yako.umetutukana sana