Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kweli Bernard Membe anawapa pressure Lumumba...

TataMadiba, ina maana ACT hatimae watapata Wabunge wengi kuzidi hata Wabunge wote wa CUF hususani watakaotokea Zanzibar, au?! Kama ndivyo, una maana Wabunge wa upinzani wa kuchaguliwa watakuwa angalau 50, au sio?! Au unaota hizi kelele za CCM Bara zina mashiko kule Zanzibar?!

Sio mbaya lakini... hilo likitokea litamzuia Dikteta Uchwara kubadilisha katiba manake bado watu hatuna imani!!
 
Lengo ni moja kuu, kuiangusha CCM 2020. Iwe kwa uongo, kuungana, kuomba msaada kwa mabepari, kuwafitinisha au hata KUROGA n.k.

Watu wameichoka CCM, wana LUMUMBA wanalijua vizuri hili, ila yenyewe na viongozi wake ni walafi wa madaraka. 2020 kuna kila dalili/sababu CCM haichukui nchi, wameshawekwa pazuri sana NJE YA NCHI (Wafadhili) na NDANI YA NCHI (Wafanyakazi/Wafanyabiashara/Wakulima/Wanafunzi/Makapuku/Kufunga viongozi wa Upinzani na Wanachama wake).

Na kuna kila dalili wagomombea wa CCM kukimbizwa mbio kwenye majukwaa ya kampeni na wananchi wenye hasira kali, katika baadhi ya mikoa/vijiji kwa waliokua wanawafanyia 2015-2018 (Chato sehemu moja wapo kwa walichofanyiwa juzi mahakamani wanachama wa Upinzani).

Na wewe weka kumbukumbu hili.

KaziNaBata 2020
 
Siasa ni mchezo mchafu na uchafu huu hauishii tu kukamilisha ule usemi wa wanasiasa kwamba Kwenye Siasa hakuna Rafiki/Adui wa Kudumu bali hata kufanya siasa za uongo.

Zitto ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa kutumia vizuri Siasa zake kuwalaghalai Wananchi na hivyo kumpenda.

Siku za hivi Karibuni Zitto ameonekana kusema uongo uongo Mwiiiingi ili mradi tu aonekane ni mwiba kwa Serikali(Kama ingekuwa ile Serikali walioiita legelege bila shaka angefaulu)

Miongoni Mwa Uongo wake ni yale Madai yake kwamba Ndege yetu kubwa eti ilikuwa Mtumba, Kwamba Serikali ilitumia Tr.1.5 bila kuidhinishwa na Bunge, Masuala ya Korosho za Mtwara, Kwamba tumekopa Fedha Urusi kwa ajili ya kununua Mataruma ya Reli wakati yanatengenezwa humu humu nchini yooote Yoote haya ni Mchezo mchafu wa Siasa, hayana ukweli wowote.

Hata hivyo kwasababu Maneno ya Wanasiasa kwa Mtanzania wa Kawaida ni Kama Maandiko ya Kitabu Kitakatifu cha Mungu (Biblia au QURÁN), nadhani atakuwa amejijenga na kukijenga vizuri Chama chake cha ACT-WAZALENDO. Ndiyo Siasa zetu hizo , uongo uongo, ulaghai laghai,, Nyota ikikuwakia unakua Juu.

Kuna mchezo Wapinzani wanaucheza wa Kumfagilia Benard Membe ili ahamie Upinzani. nimeshajiridhisha kwamba Membe atahamia Upinzani na ni ACT-WAZALENDO. Endapo hili litafanikiwa, 2020 ACT-Wazalendo ni Chama Kikuu cha Upinzani.
Hii Mada iwe kama kumbukumbu 2020 tutafanya rejea.

Nawatakia Ijumaa Njema.
No even single 'like' this means your words are extremly super pumba
 
Kwa sasa kuna mvutano ndani ya CCM kuhusu uhalali wa watu wengine kugombea nafasi ya uraisi wakati aliyekalia kiti bado anaruhusiwa kugombea tena kwa mujibu wa katiba. Lakini huu ni mtazamo usio sahihi kwa sababu zifuatazo

1. Iwapo muda wa uchaguzi utafika, halafu mazingira ya kisiasa yakafika ikaonekana chama kitapoteza uchaguzi kwa kumsimamisha tena Magufuli, itakuwa ni suicidal kulazimisha agombee ( Labda kama kina Plan B ya ushindi nje ya sanduku la kura). Katika muktadha huu, ni muhimu chama kikawa na mtu au watu wenye uwezo wa kusimama na kuuzika na kukubalika. Kwa hiyo ni muhimu sana kwa watu kama Kammilius Bernad Membe kuendelea kupiga Jaramba ili Chama kitakapoamua basi aweze kubeba bendera kwa weledi zaidi na kukipa chama ushindi

2. Duniani hakuna anayejua ya kesho, Mungu pekee ndiye anayejua ya kesho, Uzima na afya zetu ziko mikononi mwa Mungu, kutokana na ukweli huu lazima kila Taasisi na siyo CCM tu bali hata vyama vya upinzani, lazima viwe na plan B ikitokea emergency!. Naambiwa hata kwenye mambo ya kiserikali, protokali zinataka chain of command ilindwe, ili ikitokea dharura basi mtu ambaye yupo katika chain of command anatake over smoothly!. Je CCM plan B ni nini?, Nani ameandaliwa na chama kushika nafasi iwapo mgombea anayetegemewa hatokuwa katika nafasi ya kugombea?.Au mnataka kuzima moto na kulipualipua kumleta mtu ambaye hajajiandaa kushika usukani kwa tiketi ya chama?. Swali hilihili linapaswa kuulizwa kwa vyama vya upinzani pia

Kwa hiyo kwa mujibu wa sababu hizo kubwa mbili. Ni muhimu sana kwa Kammilius Membe kuendelea kupiga Jaramba mdogomdogo.Wahafidhina wa CCM wanaonufaika leo watamchukia, lakini kuendelea kujinoa na kuwa tayari ni muhimu si kwa chama chake tu, bali kwa Taifa zima!. Taifa halihitaji mtu aliyekurupuliwa from nowhere na kupewa urais, Taifa linahitaji Mtu aliyejiandaa vyema, mwenye malengo kuja kuwa raisi

Nadhani Kammilius Membe atakuwa rais mzuri kwa sababu

1. Ana exposure, yuko sophisticated, hana mambo ya kilugaluga

2. Ana Akili nyingi sana, reflection ya I.Q yake ni Diplomasia iliyoenda shule. Ana first class huyu chuo kikuu maana yake ni kwamba hahitaji kutumia misuli mingi kung'amua kilicho bora na sahihi kwa nchi ukilinganisha na wale wenye shule za kuunga unga hadi kuwa madoctor au Maprofesa

3. Ni Jasusi aliyebobea, anaijua nchi nje ndani, amefanya kazi "kitengo" ofisi ya rais tangu akiwa kijana mbichi, anaijua Ikulu, anajua power za Ikulu. anajua afanye nini ili kuweka mambo sawa

4. Ana ajenda kabambe ya uchumi, anajua kuwa elimu yetu inahitaji restructuring, kuwekeza kwenye vyuo vya ufundi etc

5. Siyo Mdini, hawezi kufanya teuzi za ubaguzi wa waziwazi wa kidini, Siyo mkanda, siyo mkabila

CCM mwacheni Membe apige Jalamba!
 
Bernard+Membe+Secretary+State+Clinton+Travels+TOjFpRcwqgwl.jpg

Sisi ndio tuliojichanganya kwenda Chato unaona Stateman anavyotakiwa kuwa anamcontrol mgeni wake
Kama angekuwa huyu wa sasa jaasho lingeanza kumtoka halafu angeaza na kupanik.
 
Huyu maembe wa mtama, hebu mleta mada tuambie kwa muda woote aliokuwa madarakani alilisaidia nini jimbo lake na wapiga kura wake, acheni unafiki nyinyi wanamtandao msitulishe ujinga wenu humu
 
Kwa sasa kuna mvutano ndani ya CCM kuhusu uhalali wa watu wengine kugombea nafasi ya uraisi wakati aliyekalia kiti bado anaruhusiwa kugombea tena kwa mujibu wa katiba. Lakini huu ni mtazamo usio sahihi
Mkuu MoN, kwanza asante kwa bandiko hili,
Ukisema Membe aendelee kujiandaa kama ndio kibaraka wa US na EU anayeandaliwa kumreplace Magufuli, hapo tutakuelewa, lakini kwa sisi tunaomfahamu Membe, huyu huyu... bado sana kwa sababu, japo mimi sio CCM, lakini sii kweli kuwa CCM kuna mvutano wowote kuhusu uhalali wa watu wengine kugombea wakati the sitting president amemaliza term moja tuu, kwa sababu huo ndio utaratibu wao CCM, hakuna mwana CCM mwingine yoyote sio tuu kugombea, bali hata kufikiria kugombea.

1. Iwapo muda wa uchaguzi utafika, halafu mazingira ya kisiasa yakafika ikaonekana chama kitapoteza uchaguzi kwa kumsimamisha tena Magufuli, itakuwa ni suicidal kulazimisha agombee ( Labda kama kina Plan B ya ushindi nje ya sanduku la kura).
Kwa Tanzania hii, kwa uchaguzi wa 2020, hakuna mazingira yoyote kumfanya Magufuli asidhinde unless kama ni yale ya EU na US kutuleta vibaraka wao, ila pia imeisha zungumzwa sana kuwa CCM itatawala milele.
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. - JamiiForums

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!. - JamiiForums

CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali? - JamiiForums


2. Duniani hakuna anayejua ya kesho, Mungu pekee ndiye anayejua ya kesho, Uzima na afya zetu ziko mikononi mwa Mungu, kutokana na ukweli huu lazima kila Taasisi na siyo CCM tu bali hata vyama vya upinzani, lazima viwe na plan B ikitokea emergency!. Naambiwa hata kwenye mambo ya kiserikali, protokali zinataka chain of command ilindwe, ili ikitokea dharura basi mtu ambaye yupo katika chain of command anatake over smoothly!. Je CCM plan B ni nini?, Nani ameandaliwa na chama kushika nafasi iwapo mgombea anayetegemewa hatokuwa katika nafasi ya kugombea?.Au mnataka kuzima moto na kulipualipua kumleta mtu ambaye hajajiandaa kushika usukani kwa tiketi ya chama?. Swali hilihili linapaswa kuulizwa kwa vyama vya upinzani pia
This is very valid point, hakuna ajuaye, hivyo hata ile ndoto ya Lema inaweza kutimia, ni muhimu vyama vikawa na succession plan, hii huwa inafanywa na the inner core, kisirisiri, CCM hii kitu ipo, angalia tarehe ya bandiko hili
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
hivyo wenye CCM yao, siku nyingi wameishaijua in an event of eventuality, who is who, lakini kiserikali, just in case of anything, kabla ya uchaguzi ni VP ndie ana take over.

Hili la succession plan, kwa Chadema, niliwahi kulizungumza na Dr. Slaa,
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! - JamiiForums
Ila kwenye succession plan ki nchi, kiserikali na kiusalama, hakuna maandalizi yoyote ya mind set or change of arms kwa vyombo vyetu wa serikali, ulinzi na usalama kumtumikia CnC kutoka nje ya CCM.
Nadhani Kammilius Membe atakuwa rais mzuri kwa sababu

1. Ana exposure, yuko sophisticated, hana mambo ya kilugaluga

2. Ana Akili nyingi sana, reflection ya I.Q yake ni Diplomasia iliyoenda shule. Ana first class huyu chuo kikuu maana yake ni kwamba hahitaji kutumia misuli mingi kung'amua kilicho bora na sahihi kwa nchi ukilinganisha na wale wenye shule za kuunga unga hadi kuwa madoctor au Maprofesa

3. Ni Jasusi aliyebobea, anaijua nchi nje ndani, amefanya kazi "kitengo" ofisi ya rais tangu akiwa kijana mbichi, anaijua Ikulu, anajua power za Ikulu. anajua afanye nini ili kuweka mambo sawa

4. Ana ajenda kabambe ya uchumi, anajua kuwa elimu yetu inahitaji restructuring, kuwekeza kwenye vyuo vya ufundi etc

5. Siyo Mdini, hawezi kufanya teuzi za ubaguzi wa waziwazi wa kidini, Siyo mkanda, siyo mkabila

CCM mwacheni Membe apige Jalamba!
Kwa upande wa sifa za Membe ni kweli anazo, ila hili likitokea, kuna akina sisi wengine, itatubidi tutafute pa kuhamia

Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!". - JamiiForums

Mimi mwenzenu nilikuwemo kwenye list hii
Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya! - JamiiForums
P.
 
Huyu maembe wa mtama, hebu mleta mada tuambie kwa muda woote aliokuwa madarakani alilisaidia nini jimbo lake na wapiga kura wake, acheni unafiki nyinyi wanamtandao msitulishe ujinga wenu humu
Ww ushawai kufika mtama b4 n after membe,?
Nenda mkoa wa lindi na mtwara yote uliza ilikuwa inasifika kwa sifa gan kabla ya membe, na sasa kukoje..
Au ulitaka ajenge uwanja wa ndege na taa barabarani wapite punda
 
Maji yakimwagika haya zoleki.
Iliyo Baki ni nusra ya Mola.
Mnajua ninayo yajua.
Na tunajuwa wapi tuna kwenda.
Na hatutaki kwenda tunapo kweda.
Tunajaribu kuambiana laki sikio LA kufa halisikii dawa.

Dalili za mvua ni mawingu.
Sasa hivi Tanzania iko njia panda inako kwenda ita fanana na nchi zingine. Kama
1. Tunisia
2. Libya.
3. Zimbabwe.
 
Hapa naona mnalazimisha visivyolazimishika...

Membe hana uwezo wa kuwa Rais wa JMT hana huo uwezo na hata kaa aupate. Naona wapinzani wanawa provoke nanyi mnaingia wazimawazima... Wapinzani wanachochea kuni tu wala hawana nia yoyote juu ya Membe.

Membe ameandaliwa kuwa Rais na Jk kwa kipindi cha almost miaka 8 lakini alishindwa kutoboa hata kwenye tatu bora.. yaani alishindwa na kijana mdogo kama January leo aje kupiga jaramba kutaka Urais na mizizi yake ilishakatiliwa mbali kwa kipi alichonacho ambacho pengine hakutuonyesha kwa kipindi chote alichokuwa akiandaliwa kuwa Rais.

Acheni kupamba majalala.. Mtu alishajichokea mwacheni ajipumzikie for good..

BACK TANGANYIKA
 
Kwa sasa kuna mvutano ndani ya CCM kuhusu uhalali wa watu wengine kugombea nafasi ya uraisi wakati aliyekalia kiti bado anaruhusiwa kugombea tena kwa mujibu wa katiba. Lakini huu ni mtazamo usio sahihi kwa sababu zifuatazo

1. Iwapo muda wa uchaguzi utafika, halafu mazingira ya kisiasa yakafika ikaonekana chama kitapoteza uchaguzi kwa kumsimamisha tena Magufuli, itakuwa ni suicidal kulazimisha agombee ( Labda kama kina Plan B ya ushindi nje ya sanduku la kura). Katika muktadha huu, ni muhimu chama kikawa na mtu au watu wenye uwezo wa kusimama na kuuzika na kukubalika. Kwa hiyo ni muhimu sana kwa watu kama Kammilius Bernad Membe kuendelea kupiga Jaramba ili Chama kitakapoamua basi aweze kubeba bendera kwa weledi zaidi na kukipa chama ushindi

2. Duniani hakuna anayejua ya kesho, Mungu pekee ndiye anayejua ya kesho, Uzima na afya zetu ziko mikononi mwa Mungu, kutokana na ukweli huu lazima kila Taasisi na siyo CCM tu bali hata vyama vya upinzani, lazima viwe na plan B ikitokea emergency!. Naambiwa hata kwenye mambo ya kiserikali, protokali zinataka chain of command ilindwe, ili ikitokea dharura basi mtu ambaye yupo katika chain of command anatake over smoothly!. Je CCM plan B ni nini?, Nani ameandaliwa na chama kushika nafasi iwapo mgombea anayetegemewa hatokuwa katika nafasi ya kugombea?.Au mnataka kuzima moto na kulipualipua kumleta mtu ambaye hajajiandaa kushika usukani kwa tiketi ya chama?. Swali hilihili linapaswa kuulizwa kwa vyama vya upinzani pia

Kwa hiyo kwa mujibu wa sababu hizo kubwa mbili. Ni muhimu sana kwa Kammilius Membe kuendelea kupiga Jaramba mdogomdogo.Wahafidhina wa CCM wanaonufaika leo watamchukia, lakini kuendelea kujinoa na kuwa tayari ni muhimu si kwa chama chake tu, bali kwa Taifa zima!. Taifa halihitaji mtu aliyekurupuliwa from nowhere na kupewa urais, Taifa linahitaji Mtu aliyejiandaa vyema, mwenye malengo kuja kuwa raisi

Nadhani Kammilius Membe atakuwa rais mzuri kwa sababu

1. Ana exposure, yuko sophisticated, hana mambo ya kilugaluga

2. Ana Akili nyingi sana, reflection ya I.Q yake ni Diplomasia iliyoenda shule. Ana first class huyu chuo kikuu maana yake ni kwamba hahitaji kutumia misuli mingi kung'amua kilicho bora na sahihi kwa nchi ukilinganisha na wale wenye shule za kuunga unga hadi kuwa madoctor au Maprofesa

3. Ni Jasusi aliyebobea, anaijua nchi nje ndani, amefanya kazi "kitengo" ofisi ya rais tangu akiwa kijana mbichi, anaijua Ikulu, anajua power za Ikulu. anajua afanye nini ili kuweka mambo sawa

4. Ana ajenda kabambe ya uchumi, anajua kuwa elimu yetu inahitaji restructuring, kuwekeza kwenye vyuo vya ufundi etc

5. Siyo Mdini, hawezi kufanya teuzi za ubaguzi wa waziwazi wa kidini, Siyo mkanda, siyo mkabila

CCM mwacheni Membe apige Jalamba!
CCM wana akili timamu, ndio maana wakaweka utaratibu wa kutokuwa na ushindani baada ya miaka 5.
Je unajua kwa nini...?
Jibu ni rahisi kama unafahamu mchakato wa kumpata mteule wa CCM.
unaijua kamati ya maadili ya CCM
unaijua kamati kuu ya CCM
anaijua halmashauri kuu ya CCM
Wajumbe wa kamati ya maadili na kamati kuu ni kinanani na wanapatikana vip?
Katika ucjaguzi wa CCM mwaka 2017 je Mh. Magu hakupanga safu yake?
Kama Mwaka 2015 JK alimkata Lowasa kumlinda Membe aliyekuwa chaguo lake je mwaka 2020 JPM atashindwa kumkata Membe ili kujilinda?
niwaambie tu kwamba kamati ya maadili ni ya Jiwe
kamati kuu kaiteua jiwe sioni vipi Membe asikatwe kama Lowasa ikizingatiwa kuwa tayari sababu kawapa (kuañza kampeni mapema ni sababu tosha ya kumuengua Membe kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi CCM.)

Kifupi ni kwamba hakuna uwanja sawa wa ushindaani baina ya mgombea anaetetea kiti chake ndani ya CCM- Raisi na huyo Membe. Ndio maana CCM waliweka utaratibu wa raisi kuachwa amalize miaka 10 maana akijipendekeza mtu atajisumbua bure. wafanya maamuzi wengi wanakula fadhila za Raisi aliyepo madarakani

Kama mnamtaka membe mchukueniakagombee kwa mlango wa pili... Upinzani. sio CCM.
 
Mkuu pambana Genta kasema hali yako ni mbaya sasa hivi umeacha uandishi umekuwa mlamba miguu magogoni

Usiwasikilize njaa ni yako na ili usife ni bora uhamie kwa kafiri
Ukisema Membe aendelee kujiandaa kama ndio kibaraka wa US na EU anayeandaliwa kumreplace Magufuli, hapo tutakuelewa, lakini kwa sisi tunaomfahamu Membe, huyu huyu... bado sana!.
P.
 
Kwa sasa kuna mvutano ndani ya CCM kuhusu uhalali wa watu wengine kugombea nafasi ya uraisi wakati aliyekalia kiti bado anaruhusiwa kugombea tena kwa mujibu wa katiba. Lakini huu ni mtazamo usio sahihi kwa sababu zifuatazo

1. Iwapo muda wa uchaguzi utafika, halafu mazingira ya kisiasa yakafika ikaonekana chama kitapoteza uchaguzi kwa kumsimamisha tena Magufuli, itakuwa ni suicidal kulazimisha agombee ( Labda kama kina Plan B ya ushindi nje ya sanduku la kura). Katika muktadha huu, ni muhimu chama kikawa na mtu au watu wenye uwezo wa kusimama na kuuzika na kukubalika. Kwa hiyo ni muhimu sana kwa watu kama Kammilius Bernad Membe kuendelea kupiga Jaramba ili Chama kitakapoamua basi aweze kubeba bendera kwa weledi zaidi na kukipa chama ushindi

2. Duniani hakuna anayejua ya kesho, Mungu pekee ndiye anayejua ya kesho, Uzima na afya zetu ziko mikononi mwa Mungu, kutokana na ukweli huu lazima kila Taasisi na siyo CCM tu bali hata vyama vya upinzani, lazima viwe na plan B ikitokea emergency!. Naambiwa hata kwenye mambo ya kiserikali, protokali zinataka chain of command ilindwe, ili ikitokea dharura basi mtu ambaye yupo katika chain of command anatake over smoothly!. Je CCM plan B ni nini?, Nani ameandaliwa na chama kushika nafasi iwapo mgombea anayetegemewa hatokuwa katika nafasi ya kugombea?.Au mnataka kuzima moto na kulipualipua kumleta mtu ambaye hajajiandaa kushika usukani kwa tiketi ya chama?. Swali hilihili linapaswa kuulizwa kwa vyama vya upinzani pia

Kwa hiyo kwa mujibu wa sababu hizo kubwa mbili. Ni muhimu sana kwa Kammilius Membe kuendelea kupiga Jaramba mdogomdogo.Wahafidhina wa CCM wanaonufaika leo watamchukia, lakini kuendelea kujinoa na kuwa tayari ni muhimu si kwa chama chake tu, bali kwa Taifa zima!. Taifa halihitaji mtu aliyekurupuliwa from nowhere na kupewa urais, Taifa linahitaji Mtu aliyejiandaa vyema, mwenye malengo kuja kuwa raisi

Nadhani Kammilius Membe atakuwa rais mzuri kwa sababu

1. Ana exposure, yuko sophisticated, hana mambo ya kilugaluga

2. Ana Akili nyingi sana, reflection ya I.Q yake ni Diplomasia iliyoenda shule. Ana first class huyu chuo kikuu maana yake ni kwamba hahitaji kutumia misuli mingi kung'amua kilicho bora na sahihi kwa nchi ukilinganisha na wale wenye shule za kuunga unga hadi kuwa madoctor au Maprofesa

3. Ni Jasusi aliyebobea, anaijua nchi nje ndani, amefanya kazi "kitengo" ofisi ya rais tangu akiwa kijana mbichi, anaijua Ikulu, anajua power za Ikulu. anajua afanye nini ili kuweka mambo sawa

4. Ana ajenda kabambe ya uchumi, anajua kuwa elimu yetu inahitaji restructuring, kuwekeza kwenye vyuo vya ufundi etc

5. Siyo Mdini, hawezi kufanya teuzi za ubaguzi wa waziwazi wa kidini, Siyo mkanda, siyo mkabila

CCM mwacheni Membe apige Jalamba!
1545027168177.png

#2020 FOR MEMBE
 
Back
Top Bottom