Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.

Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.

Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.

Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
Hivi katiba ya chama chini ya mwenyekiti huyo huyo haiwezi kumuondoa mwenyekiti???

Ungekuwa pia una muelewa Membe vizuri kindaki ndaki ungeona kuwa membe ni zaidi magu. Missions zake ni za hatari... Viongozi wenyewe wana fahamu... Magu Ana fahamu... Ni mkimya mwenye hatari ndani yake...

Nisimuongee Sana... Subirini kamati kuu ya wana pwani na kusini... Ndipo utajua msukuma Ana nguvu... Au Kama maneno yasemayo msukuma msukume arudi kwao mwanza...

Stay there bro... Usiwe na haraka... Hakuna linalo shindikana chini ya jua...
 
Duh kwa hyo unamaanisha bora ccm iendelee kutawala? Mm nilitegemea ungemuelezea mgombea wa upinzani anayefaa na atayekuea raisi, lakini tunarudia makosa yaleyale ya kutaka ccm iendelee kutawala tena kupitia membe!
Hata Mimi binafsi napenda sana kubadili upepo Wa chama tuone inakuaje ila tatizo hakuna kiongozi upande Wa pili na wala hakuna mwenye nia ya kutaka kuongoza kweli tunajikuta tunarudi upande ule ule.
 
Kwa utaratibu wa CCM raisi aliyepo madarakani anakaa miaka 10 labda itokee kifo.Kwa raisi huyu hamna mtu wa kuchukua fomu 2020 sijui lakini yajayo.Ataendelea JPM ili andeleze yale aliyo yaanzisha.Tumuache JPM achape kazi,badala kuleta mada amefanya nini hii 3 years mnaleta mambo ya 2020.
Hayo amefanya nn miaka mitatu... Nenda nkuruma hall 1 Nov.... Jpm ataongoza mjadala... Atasema yote yanayo onekana na yasiyo onekana....
 
Wakimpitisha tu membe mzee magu nae anamwaga mboga kwa kutumia wakurugenzi na polisi wake afu nchi ileee kwa upinzani. Kumbuka hata magu akikatwa kwenye kura za maoni ataendelea kuwa kitini kipindi cha uchaguzi mkuu hadi rais atakayechaguliwa aapishwe
 
Kwa utaratibu wa CCM raisi aliyepo madarakani anakaa miaka 10 labda itokee kifo.Kwa raisi huyu hamna mtu wa kuchukua fomu 2020 sijui lakini yajayo.Ataendelea JPM ili andeleze yale aliyo yaanzisha.Tumuache JPM achape kazi,badala kuleta mada amefanya nini hii 3 years mnaleta mambo ya 2020.
Hayo amefanya nn miaka mitatu... Nenda nkuruma hall 1 Nov.... Jpm ataongoza mjadala... Atasema yote yanayo onekana na yasiyo onekana....
 
Hata Mimi binafsi napenda sana kubadili upepo Wa chama tuone inakuaje ila tatizo hakuna kiongozi upande Wa pili na wala hakuna mwenye nia ya kutaka kuongoza kweli tunajikuta tunarudi upande ule ule.
Viongozi wapo, tatizo ni sisi wananchi! Upinzan ukiona wengi mnaegemea ccm unafikiri wao watafanya nn? Hebu ona, pamoja na mapungufu yote ya ccm lakini bado watu wanataka ccm iendelee kutawala na kumpigia promo kubwa membe! Kwa nn asiwe lowassa, au lissu, au zitto?? Kwa nn membe?
 
Ndio maana ccm itatawala milele. Kama upinzani wenyewe ndio huu tena uko bize humu eti ccm iendelee kutawala kupitia Membe. Nasikitika nasoma comments kisha naona watu ambao nilidhani wako ktk mapambano ya kuitoa ccm madarakani eti wanasapoti huu ujinga.
Bloody fucking, mnaboa sana washenzi nyie.
 
Viongozi wapo, tatizo ni sisi wananchi! Upinzan ukiona wengi mnaegemea ccm unafikiri wao watafanya nn? Hebu ona, pamoja na mapungufu yote ya ccm lakini bado watu wanataka ccm iendelee kutawala na kumpigia promo kubwa membe! Kwa nn asiwe lowassa, au lissu, au zitto?? Kwa nn membe?
Nasikitika sana kwa hili. Yaani mijitu iko serious kabisa eti Membe na ccm.
 
Viongozi wapo, tatizo ni sisi wananchi! Upinzan ukiona wengi mnaegemea ccm unafikiri wao watafanya nn? Hebu ona, pamoja na mapungufu yote ya ccm lakini bado watu wanataka ccm iendelee kutawala na kumpigia promo kubwa membe! Kwa nn asiwe lowassa, au lissu, au zitto?? Kwa nn membe?
Upinzani hamna Tanzania, Amini usiamini watu wengi sana wanapenda upinzani ila upinzani hautupendi ,labda niseme hivo tu!
 
Rais Magufuli hata kura za Maoni hawezi kutoboa kama ngoma itasimama kwa haki na usawa! Na pia kuna watu wengi mtaani wanamsema vibaya sana Magufuli. Na ndiyo maana wakati mwingine kujiandaa kuingia kwenye siasa za Kidikteta Nchini au CCM ikubali kubadilisha utaratibu wake wa kihafidhina ili Chama kimtose kabisa Uchaguzi mkuu 2020. We don't need Rais Magufuli anymore.
 
Back
Top Bottom