Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn membe na sio upinzani? Bado tuna hamu ya ccm kutawala?
Azam?Kwa sasa mtasababisha azam kwenye kampeni mapema maana si kwa presha yule baba japo hata sasa wenzetu wako kwenye kampeni tangu uchaguzi uishe.
Miaka zaidi ya 50 ccm imeshindwa kuleta maendeleo, ila bado tunahitaji iendelee kutawala? Kwa nn ccm na sio upinzani?? Hapo ndio seali langu lilipoKWA SISI TUSIOWEZA KUFAIDIMATUNDA YA NCHI YETU YOYOTE SAWA, TUMESHUHUDIADAB AKISAMEHEWA BILIONI HUKU SISIKUAGIZA TU IST USHURU UKICHELEWA KULIPA MZIGOUNAPIGWA MNADA
Hivi katiba ya chama chini ya mwenyekiti huyo huyo haiwezi kumuondoa mwenyekiti???Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.
Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.
Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.
Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
Hata Mimi binafsi napenda sana kubadili upepo Wa chama tuone inakuaje ila tatizo hakuna kiongozi upande Wa pili na wala hakuna mwenye nia ya kutaka kuongoza kweli tunajikuta tunarudi upande ule ule.Duh kwa hyo unamaanisha bora ccm iendelee kutawala? Mm nilitegemea ungemuelezea mgombea wa upinzani anayefaa na atayekuea raisi, lakini tunarudia makosa yaleyale ya kutaka ccm iendelee kutawala tena kupitia membe!
Hayo amefanya nn miaka mitatu... Nenda nkuruma hall 1 Nov.... Jpm ataongoza mjadala... Atasema yote yanayo onekana na yasiyo onekana....Kwa utaratibu wa CCM raisi aliyepo madarakani anakaa miaka 10 labda itokee kifo.Kwa raisi huyu hamna mtu wa kuchukua fomu 2020 sijui lakini yajayo.Ataendelea JPM ili andeleze yale aliyo yaanzisha.Tumuache JPM achape kazi,badala kuleta mada amefanya nini hii 3 years mnaleta mambo ya 2020.
Hayo amefanya nn miaka mitatu... Nenda nkuruma hall 1 Nov.... Jpm ataongoza mjadala... Atasema yote yanayo onekana na yasiyo onekana....Kwa utaratibu wa CCM raisi aliyepo madarakani anakaa miaka 10 labda itokee kifo.Kwa raisi huyu hamna mtu wa kuchukua fomu 2020 sijui lakini yajayo.Ataendelea JPM ili andeleze yale aliyo yaanzisha.Tumuache JPM achape kazi,badala kuleta mada amefanya nini hii 3 years mnaleta mambo ya 2020.
Viongozi wapo, tatizo ni sisi wananchi! Upinzan ukiona wengi mnaegemea ccm unafikiri wao watafanya nn? Hebu ona, pamoja na mapungufu yote ya ccm lakini bado watu wanataka ccm iendelee kutawala na kumpigia promo kubwa membe! Kwa nn asiwe lowassa, au lissu, au zitto?? Kwa nn membe?Hata Mimi binafsi napenda sana kubadili upepo Wa chama tuone inakuaje ila tatizo hakuna kiongozi upande Wa pili na wala hakuna mwenye nia ya kutaka kuongoza kweli tunajikuta tunarudi upande ule ule.
Nasikitika sana kwa hili. Yaani mijitu iko serious kabisa eti Membe na ccm.Viongozi wapo, tatizo ni sisi wananchi! Upinzan ukiona wengi mnaegemea ccm unafikiri wao watafanya nn? Hebu ona, pamoja na mapungufu yote ya ccm lakini bado watu wanataka ccm iendelee kutawala na kumpigia promo kubwa membe! Kwa nn asiwe lowassa, au lissu, au zitto?? Kwa nn membe?
I am looking forward to this great day!....View attachment 913562
Kila niionapo hii picha huwa nafarijika sana huku nikiwaza siku yake ya kuapishwa pale uwanja wa Taifa akinamama akina baba wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu watakavyozimia kwa furaha.
Upinzani hamna Tanzania, Amini usiamini watu wengi sana wanapenda upinzani ila upinzani hautupendi ,labda niseme hivo tu!Viongozi wapo, tatizo ni sisi wananchi! Upinzan ukiona wengi mnaegemea ccm unafikiri wao watafanya nn? Hebu ona, pamoja na mapungufu yote ya ccm lakini bado watu wanataka ccm iendelee kutawala na kumpigia promo kubwa membe! Kwa nn asiwe lowassa, au lissu, au zitto?? Kwa nn membe?
Badala ya kumtia moyo lissu ili ikiwezekana 2020 agombee watu wakiwashe upinzan uingie madarakani, wao wapo busy na ccm na membe! Pambaf kabisa, kwa mawazo hayo bora ccm itawale milele dadeki!Nasikitika sana kwa hili. Yaani mijitu iko serious kabisa eti Membe na ccm.
Kwa hyo bora ccm iendelee kutawala tu mpaka watapochoka wao?Upinzani hamna Tanzania, Amini usiamini watu wengi sana wanapenda upinzani ila upinzani hautupendi ,labda niseme hivo tu!
Something is wrong au wanatafuta maoni ya wananchi kimkakati?Angalia usitumbukie shimoni.Kiufupi nafarijika MaCCM yanapovurugana.
satire? or you really are serious..!View attachment 913562
Kila niionapo hii picha huwa nafarijika sana huku nikiwaza siku yake ya kuapishwa pale uwanja wa Taifa akinamama akina baba wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu watakavyozimia kwa furaha.