Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania


Huu ni uchochezi nani kwa kwambia Membe anataka uraisi 2020. Mnataka kumzubaisha baba Jesca a-concentrate na upuuzi huu ache fanya mambo ya msingi. Jamaa yupo yupo mpaka 2025.Mtapata tabu sana.
 
Hakuna mwana CCM wa kumpindua Magufuli,,, tusipoteze muda kujadili hili lipo wazi,,, REJEA MABADILIKO ALIYOYAFANYA ,,,,anamejipanga kwa ubabe,,ameshajenga territory yake,,
 
Umekunywa maji ya wapi siku hizi mkuu,,,
Huyo waitara kahogwa fedha na wenzake walio wengi mimi ULAGHAI WA CCM umenichosha kiasisi cha kuwalaani double standards NAPE KAFUKUZWA KAZI BILA YA SABABU HUYU MAKONDA ALIYESHIKWA AKIKWEPA KODI ANAKENULIWA HALAFU TUENDELEE KUMUHESHIMU MYU ANAYEJIITA CHIZI WAKATI ANAMSIMIKA CHIZA HUKO BUYUNGU WANANCHI CHOZI LILIWATOKA.
 
Kuna watu wanajidanganya sana. Membe atafute kitu kingine cha kufanya...
Mpaka 2025 labda
 

Naona mumetumwa naona nyuzi kibao kuhusu Membe. Mmekubariana isipite week bila kutupia uzi unamuhusu Membe na uraisi. Baada ya kufatilia post zenu za nyuma hakuna hata mmoja mwenye nasaba na CCM. Ni uchochezi wa kutaka kumzubaisha Magufuri akomae na kulinda uraisi wake 2020 ili mpate nafasi ya kufanya yenu. Mnataka kufarakanisha Watu ili yenu yatimie. Magu amesha wastukia.
 
Hivi mnafikiri kwa safu aliyoipanga JPM ndani ya utawala wake kuna ambae anaweza kushindana nae,

Kwanza kapangua pangua wakuu wote wa idara ya jeshi, na ile ya ulinzi na usalama kaweka watu wake ambao wanamtii kwa kila kitu,

Pili upande wa mahakama kaweka watu wake ambao kwa hakika hakuna anaeweza kwenda kinyume nae,

Tatu kapanga safu yake tupu pale meza kuu ya CCM na pia kaweka vilaza ambao anajua watampigania kwa hali na mali ili nao wasikose ulaji mfano;Bashite, pole pole,gambo na yule RC wa iringa,


Wewe kama mwanaccm kindaki ndaki usitegemee maajabu yeyote kutoka kwa membe kwamba anaweza kushinda tiketi ya kuwania Uraisi kwa bendera ya chama cha mapinduzi,

JPM ni Man Action anajua kipi anafanya maneno na chokochoko zenu siyo kwamba hazisikii ila anajua haziwezi kumtisha yeye kunywa maji.

Cc Zero IQ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…