mtoe mzee mwanakijiji hapo afu Barbarossa ni vuguvugu linapoluja swala la membo usimtegemee sana. hapo waweke kbst ifrs misuli misasa n.kSisi wanaCCM kindakindaki wote tukiongozwa na Lizaboni jingalao Magonjwa Mtambuka Barbarosa MTAZAMO Mzee Mwanakijiji TUNAMTAKA MEMBE AWE RAIS WA TANZANIA KABLA YA 2020.
Akhhhh!!!!!!.......Sisi wanaCCM kindakindaki wote tukiongozwa na Lizaboni jingalao Magonjwa Mtambuka Barbarosa MTAZAMO Mzee Mwanakijiji TUNAMTAKA MEMBE AWE RAIS WA TANZANIA KABLA YA 2020.
Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
It will never happen through a ballot box unless for a civil disobedienceI am looking forward to this great day!....
Na huo ndio ukweliMnazan mabadiliko aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya yatamruhusu membe hata kuchukua fomu?.... MARK MY WORD MAGUFULI KWA UBABE ATAPITA BILA KUPINGWA NDANI YA CCM,, HAKUNA MWANA CMM ATAKAE CHUKUA FORM
.....Kwanini tusimweke Joti ama mchizi mox urais? Am sure utawala wao utakuwa na tija kuliko haya miphd Na mimaster holder ya kukariri iliyoshindwa kudeliver
Huyo waitara kahogwa fedha na wenzake walio wengi mimi ULAGHAI WA CCM umenichosha kiasisi cha kuwalaani double standards NAPE KAFUKUZWA KAZI BILA YA SABABU HUYU MAKONDA ALIYESHIKWA AKIKWEPA KODI ANAKENULIWA HALAFU TUENDELEE KUMUHESHIMU MYU ANAYEJIITA CHIZI WAKATI ANAMSIMIKA CHIZA HUKO BUYUNGU WANANCHI CHOZI LILIWATOKA.Umekunywa maji ya wapi siku hizi mkuu,,,
Kuna watu wanajidanganya sana. Membe atafute kitu kingine cha kufanya...Lowassa alitumia miaka 10 kujitangaza mitandaoni na kuwatumia viongozi wa dini eti wanamuomba kugombea urais na zaidi ya yote lowassa alikuwa kila mtu mwenye harambee lowassa anaomba awe mgeni rasmi na kutoa mafedha kedekede , akaanza kupanga safu yake ya uongozi kwenye jumuiya za ccm kuanzia vijana, UWT, jumuiya ya wazazi , wajumbe wa NEC , wajumbe Wa mkutano mkuu.
Kikwete akiwa rais akawa anamchora tu akijua wapi atakapomfyekelea mbali, kikwete yeye akaanza kupanga safu ndogo sana ya kamati ya maadili Kwa kuwaweka watu wake na kuhakikisha watu wenye damu ya lowassa hawapo,ilipofika muda kikwete akiwa na kamati isiyozidi watu 10 akamfyekelea mbali.
Shikamoo kikwete
Naomba niwaambieni kwa wale wambao mnafikiri ndani ya CCM hapawezi kua na mabadiliko yeyote ni kujidanganya kwa ssbabu ya mazoea ya nyuma, kwa vijana mliokua juzi yawezekana hamjui kitu ndio maana mnajipa matumaini kwa msilolijua. Hamuelewi na hamwezi kujua.
Siasa sio ubabe wala vitisho bali ni ufundi wa mtu kulingana na utashi wake. Ndani ya CCM kuna wanachama wenye kadi na katiba ya chama, wameisoma katiba na wanaelewa yaliyomo ndani yake na yanayoendelea hivi sasa. Ili kuepusha mgogoro ndani ya CCM ya sasa ni bora watu waachwe wateme nyongo zao kiliko kutumia mabavu na kukaa na mambo nyoni.
Kwa msiojua ni kwamba haya ya utawala huu wa sasa ni kwa sababu ya siasa za Bernard Membe ndani ya CCM, anajua ni wapi alijisahau na aliteleza na sasa anajiweka sawa asirudie makosa. Katiba ya chama inamruhusu kufanya hivyo, hayo mengine ya mwenyekiti wa sasa kurudi kugombea tena ni taratibu ilizo nje ya katiba na sio lazima.Waliofikiri asingeweza sasa wameina ni bora ngekua yeye kuliko tulikofikia.
Vijana wenzagu mkae mkitafakari kua Bernard Membe haya mawazo ya kutaka kua kiongozi wa taifa hili 2020 sio yake peke yake,atakua ameshauriwa na wazalendo wakongwe ambao tayari hawaridhishwi na upepo wa siasa za sasa. Mtu wa aina hii kutajwa sana sio kitu kidogo, kutakua na msukumo Mkubwa sana tena wa watu wanaojua ni wapi tupo hivi sasa.
La sivyo akimbie nchi.Namuonea huruma MEMBE atapotezwa muda sio mrefu