jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Sasa mkuu badala ya kujibu swali nilokuuliza, ambalo pengine huna jibu lake ndiyo maana umekimbilia kwenye personalities again....kwa hiyo wewe na akili zako kabisa unaamini Membe anaweza kuwa rais wa nchi hii mzuri ?!!.....hizo nafasi alizobebwabebwa ndio kipimo mnachompimia..?
....hamko serious kabisa