Ndio hapo sasaHalafu hawataki kusema kuna nn?
Siku akipotea mmsaidie kumtafuta..Hakika ni tumaini jipya kwa watanzania anapaswa kuungwa mkono na kila mpenda maendeleo hii ni kutokana na ukweli kwamba ni mtu mwenye mtazamo wa kimataifa na mwenye uwezo wa kurudisha heshima ya nchi yetu kidiplomasia.
sasa huo utafiti umeufanya lini "!!? na mbona hauja orodhesha data zake ".... wataka kusema amemshinda jiwe na mamvi !?Akipendwa na majority, inatosha...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] naunga mkono hojaBaada ya Jana na Leo kufululiza thread za hiki kichwa adimu, aghalabu nyoyo za wadanganyika zimepata faraja, pengine faraja na neema tulizoziishi enzi za baba Ritz zinatarejea.
1. Mmefanana hulka
2. Umakini
3. Upole na kusikiliza maoni ya watu
4. Ubobezi wa kidiplomasia
5. Halafu wote mlianzia mambo ya nje
6. Marafaki wa mataifa
7. Very smart katika maamuzi
Twende na Membe 2020
Ni kweli kama Membe akiwa Rais siwafichi naingia ' Msituni ' rasmi na najua nitapata Ushirikiano wa nani au nchi gani ila nina uhakika kama akidumu sana basi itakuwa ni Wiki mbili tu au Mwezi ila ' nitamsumbua ' na ' nitamtesa ' mno kisha najua nitammudu na nikisha ikamata Tanzania yote bila hata Kinyongo naitisha Uchaguzi wa Haki na Halali na Mshindi yoyote atakayepatikana nitamkabidhi nchi yenu mara moja ili aongoze Kiustaarabu na Kidemokrasia kisha ' Mwanamume ' narudi zangu Nyumbani Kwangu ninakokupenda JamiiForums naendelea kuangalia ' Mpuuzi ' mwingine atakayeleta ' Fyoko Fyoko ' nimuendee tena Msituni.
NakubaliMembe ndie Rais 2020,
Inyeshe mvua, liwake Jua,
#JiweMustGo
Safiii 2020 membe for presidencyNchi imemshinda hakuna chochote anachofanya ikulu ahondoke tu kwa kiroho safi.
Membe for presidency before 2020
Membe hana impact yoyote ile ndani ya CCM au nje ya CCM, Magufuli ataendelea kuwa Rais mpaka 2025.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Halafu uzuri wa membe taarifa za kutekwa kwake anazipata mapema, spymaster.
RED CARD yake ni LISSU,subiri baada ya mwaka moja na nusuMagufuli anatosha
Acha kuota wwRED CARD yake ni LISSU,subiri baada ya mwaka moja na nusu
Asante kwa salamu.Habari wana jamvi.. Leo nimekutana na nguli wa diplomasia katika Mishe mishe za hapa na pale, nikapata walau lisaa La kupiga nae story.
Kasema amewamiss sana Watanzania. Amewakumbuka sana hivi karibuni na pia anawatakia jumapili njema.
Nawasilisha.