Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahUnajua kunajamaa anasura kama yako huko kijijini kwao Lufindo mkoa wa geita baada kupibwa X-ray ya kichwa madokta walipigwa na butwaa sana baada kugundua jamaa hana Ubongo mbaka leo anaishi na ni memba wa JF anajiita Roho mbaya sijui ana maana gani nadhadha ana maana rohonzuri,ila wale madokta wanastahili pongezi baada kuukosa ubongo wakashindilia ugali wa uwele.
Huyo barbarossa na mwanakijiji wote ni wachumia tumbo wenzetu huku CCM.....tunaenda na upepo kwa sasa tupo na Membe.mtoe mzee mwanakijiji hapo afu Barbarossa ni vuguvugu linapoluja swala la membo usimtegemee sana. hapo waweke kbst ifrs misuli misasa n.k
buku saba wamemchoka teuzi wanapewa wahamiaji.Duuh.....kwani jiwe amefanya nini? Mbona nyumbu wa buku saba saba siwaoni kumtetea.
We mwanaCCM mwenzetu humtaki?A
Akhhhh!!!!!!.......
Kweli kabisa, jiwe alishasema hapendi watu wawe matajiri. Anataka yeye tu ndo awe tajiriBora membe matajiri wataongezeka nchi itasonga mbele.
Upinzani yes unaweza bt wataiba kura so bora dereva mwingine tu wakijani ila hyu aliepo Mungu na atuepushie mbali.Kwa nn membe na sio upinzani? Bado tuna hamu ya ccm kutawala?
We mwanaCCM mwenzetu humtaki?
Hii habari sio ya kuamini..We mwanaCCM mwenzetu humtaki?
Wewe Dada ndoa yako na CCM ipo njiani kufa utakapotenguliwa U~DASMbona umesahau CCM? Ulipaswa uandike hata wewe ,,Membe + CCM jamani“ !