Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

huyo membe anàgombea kuptia chama gani?
Kama Ni ccm.je,.katiba imebadilika?
 
View attachment 913562
Kila niionapo hii picha huwa nafarijika sana huku nikiwaza siku yake ya kuapishwa pale uwanja wa Taifa akinamama akina baba wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu watakavyozimia kwa furaha.

Huyu Jamaa siku ikotokea kama unavyowaza wengi wa vingongozi na wateule wata "SUKUMWA NDANI" kisheria bila uonevu
 
Duuh.....kwani jiwe amefanya nini? Mbona nyumbu wa buku saba saba siwaoni kumtetea.
wata mtetea vipi wakati wao wenyew wamesha gawanyika makundi"... mbaya zaidi waliopo upande wake ana wafanya mbuzi wa kafara
 
Maada kama hizi ndio zinaamsha watesi wapange mikakati ya kummaliza, kuna vitu vingine vina hitaji ambush
 
ngoja na mm nianzishe thread ya kumuunga mkono mheshimiwa membe
 
Sisi wanaCCM kindakindaki wote tukiongozwa na Lizaboni jingalao Magonjwa Mtambuka Barbarosa MTAZAMO Mzee Mwanakijiji TUNAMTAKA MEMBE AWE RAIS WA TANZANIA KABLA YA 2020.
usiniambie mara hii mmemgeuka Jiwe " amekuwa hafai tena '.... !!! bila shaka katika vitu ambavyo vimeibua hili fukuto ni baada ya suala la kutekwa kwa Mo kujiri .. jiwe alifanya mistake kubwa sana katika hili na halito muacha salama lazima litamtafuna tu " though hata kama atashinda uchaguzi ujao ", lakini hatokuwa na makali ya makucha tena kama haya aliyonayo sasa "..
kwa sababu itakuwa ameshaonjeshwa " maumivu yaliyotokana na mistake zake " na wapinzani wake watakuwa wana mchezea tu watakavyo ...

suala la kutekwa kwa mo lilikuwa nitukio la kishamba sana " maana jiwe alishindwa kutambua nguvu ya ushawishi aliyonayo huyo mtu " Mo ana marafiki wengi sana wa kisiasa na wakibiashara ambao wana nguvu mnoo " naweza kusema hata wengine wanalitumia jina lake kwa kufanya biashara zao " kumgusa Mo nikugusa maslahi ya watu wengi sana ambao ni washirika wa Mo "

hapa ndio unapokuja kubaini kuwa jiwe aliijaribu sumu kwa kuilamba "... kitendo cha makamba kuitwa police na kuhojiwa ndio kimekwenda kugongelea msumari wa mwisho kabisa . na kuwashtua wale washirika wa Mo na makamba wote wapate kutambua kuwa hawako salama "..
. sasa naona nguvu ya pesa inakwenda kutumika na jiwe asipokuwa makini ata sagwa sagwa na kuwa unga ili atumike kama cement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…