Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Membe oyeeeee
 
Membe oyeeee
 
BENARD MEMBE NDIYE ALIKUWA MGOMBEA SAHIHI 2015 .ISINGEKUWA CHUKI YA MKAPA LEO MEMBE ANGEKUWA RAIS WA TZ.AJIPANGE TU 2020
Suala siyo leo angekuwa ni rais, angekuwa ni raisi wa aina gani? Huyo mtu ambaye alishindwa kupata uzoefu wa kazi yake kwa miaka yote hiyo, ulitegemea awe rais wa maana?

Pesa yetu ya Gagafi iko wapi? Chenji ya rada iko wapi? to hell with that uselessness.
 
Atagombea kupitia chama gani? Maana kwa CCM wana utaratibu wa kumwachia Rais aliyepo madarakani, labda kama utaratibu utabadilishwa. Membe asijitafutie mabalaa.
Membe ana uwezo na udhubutu wa kubadilisha meza kabla ya 2020..
 
Kwani katiba ya ccm ilibadilishwa tena?maana kama mwenyekiti akichukuwa fomu ya kugombea urais basi hakuna nyang'au anayechukuwa fomu..kwahiyo ya membe msahau kabisa
Nzee Nkapa anaweza kumwambia aache kuchukua fomu
 
Hili litawezekanaje? Wakati Mzee Baba kashawahi ktk katiba ya chama kapiga pin. Wajumbe wa Halmashauri kuu na NEC kapunguza kwahiyo kwa jinsi muundo ulivyo kwa sasa anaweza kuwamudu waliopo, sioni sehemu Membe atakayopenyea.

Ingekuwa muundo bado upo uleule wa zamani hapo sawa. Labda sielewi nieleweshwe.
 
kwa kweli kama ingewezekana hata kesho membe angeingia tu ikulu. yaani kwa sasa Tunaongozwa kwa hulka za watu na sio katiba na sheria tena.
 
hao Wazanzibar feki wasahau urais. baada ya Magu tunaingiza Mtanganyika tena. na ikiwezekana hata membe. huyo mbalawa kabebwa tu huku bara mara baada ya kupigwa chini ubunge Pemba hatumtaki.
 
mkuu tatizo wa sasa aliingia bila rushwa lakini ndo anashangilia rushwa ya kununua wabunge dah
 
jamani hizi topics za Membe leo kulikoni?
Sijui nini kinaendelea aisee ila mimi kwa tathmini yangu naona kama hii ni move yake basi ndio anajimaliza kama ni move wameanzisha maadui zake kisiasa naona wanataka kum expose ili watu wamchambue, wanaomsifia wafanye hivyo na wanaompinga wamchafue

Kwa siasa za kiafrika hili litakua na negative impact kwa BCM. Kwa mataifa yaliyoendelea ni suala zuri sana mtu kuonyesha mapema nia yake ya kuitaka Ofisi Kuu iliwatu wamfanyie tathmini ya kina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…