Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Siasa ni Science, Kwa science hii inayotumika Sasa nimeweka mikono chini

Kinachonishangaza watu wameweka uvyama pembeni humu wakimtaka Mzee wa International Relations akamate nchi

Kuna mambo yanaendelea lakini mpaka Sasa hatuna taarifa, Wengine kwanza ndio weekend, Perhaps from Monday watu tukifika kwenye mafaili tutapata hints

Huu muunganiko wa Chadema na ccm plus wasio na vyama umeanza lini hapa JF
 
Kwa hiyo Lowasa mmemuacha?
Membe labda 2025 ila kwa 2020 yeye mwenyewe anajua hawezi kushinda
 
Hakika ni tumaini jipya kwa watanzania anapaswa kuungwa mkono na kila mpenda maendeleo hii ni kutokana na ukweli kwamba ni mtu mwenye mtazamo wa kimataifa na mwenye uwezo wa kurudisha heshima ya nchi yetu kidiplomasia.
Ina maana anamzidi hata Balozi Mahiga?
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Yupo Ofisini Tayari
Labda Atangazwe Nia Ya Mfungo
 
Jasusi mbobezi na mwanadiplomasia aliyetukuka rais ajaye kabla 2020 ndugu Bernard Kamillus Membe kama angekuwa leo rais Swala la kuuwawa Khashoggi angeingilia kati na kutuliza mambo kwa njia ya upatanishi na diplomasia.

Akiwa waziri wa mambo ya nje awamu ya 4 Membe aliweza kuiweka karibu sana Tanzania na mataifa ya uturuki na Saudi Arabia.

Pia Membe angekuwa rais angeenda mbali zaidi kwa kuwaleta karibu Saudi Arabia na Qatar kwa kuwafanya ku "extend an olive branch" katika mustakabali mzima wa mashariki ya kati.

Chini ni picha Rais Membe akimwaga balozi wa Saudi Arabia aliyemaliza muda wake ndugu Hani Abdullah alipokuwa waziri wa mambo ya nje awamu ya 4

 
Alirudisha lini hela ya marehemu Ghaddafi?

Nyie mlieni tu hela zake na Rais ni JPM 2020!
 
...huo u_best wa Membe over Magufuri ni UPI mkuu...just curious to know !
Hata kwa akili za kuazima tu mkuu,unamwona Magufuli anafaa kabisa kutuvusha?
Kaharibu kila kitu kwa muda mfupi tu,watu wanateseka mitaani na ugumu wa maisha mnawaita wapiga dili mirija imefungwa,can't you be serious?
Mama lishe,muuza mchicha nao walikuwa serikalini wakipiga dili?
Acheni utani na mambo mazito ya nchi,Magufuli hafai kabisa

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Nyerere hakuokotwa alipita shule na kusoma mambo mazuri ya kuendesha nchi sasa huyu President stone ambaye ni kama tikikiti maji, nje ukiona kijani ndani jekundu hatufai kwakweli ingawa ana maneno matamu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…