Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Nimecheka Sana hii combination ya Chadema na ccm haijawahi tokea kweli Membe for presidence

Nini kimetokea kwa elimu yangu hapa nimetoka kapa kabisa labda ikifika kesho Jtatu nitajua maana Leo Jpili

Kweli siasa ya science Huu upendo na kupendana kwa ccm na Chadema nini kimetokea?
 
Jasusi mbobezi na mwanadiplomasia aliyetukuka rais ajaye kabla 2020 ndugu Bernard Kamillus Membe kama angekuwa leo rais Swala la kuuwawa Khashoggi angeingilia kati na kutuliza mambo kwa njia ya upatanishi na diplomasia.

Akiwa waziri wa mambo ya nje awamu ya 4 Membe aliweza kuiweka karibu sana Tanzania na mataifa ya uturuki na Saudi Arabia.

Pia Membe angekuwa rais angeenda mbali zaidi kwa kuwaleta karibu Saudi Arabia na Qatar kwa kuwafanya ku "extend an olive branch" katika mustakabali mzima wa mashariki ya kati.

Chini ni picha Rais Membe akimwaga balozi wa Saudi Arabia aliyemaliza muda wake ndugu Hani Abdullah alipokuwa waziri wa mambo ya nje awamu ya 4

View attachment 914182
A very limpy handy shake from the so called the prezzo wa 2020.
20181028_213515.png
 
Bernard Kamilius Membe akifanya mazoezi makali sana ya kukimbia. Nikawaida yake kujiweka fiti kimwili na kiakili kwa kula kiafya na kufanya mazoezi hili awatumikie watanzania walioshakata tamaa kwa itawala mbovu wenye choyo ufusidi na wakuwagawanya wananchi kwa matabaka.

View attachment 914322
Mmmmh!! Hizi habari kaanzisha nani jamani?
 
Kichaa akiingia ulingoni na Membe anatolewa asubuhi na mapema
Ningekuwa CCM ndani ya chama lazima tufanye kura ya maoni tena,maana kichaa alibebwa na jahcarhire,na uhakika ccm wakifanya sawia kwenye kura za maoni JIWE hapiti labda atumie UBABE kama anaotumia sasa kwa kuwapitisha "WATUMWA" kugombea tena kupitia sisiemu baada ya kununuliwa na kuacha uongozi walipotoka UPINZANI.
 
Membe 2020,

Tumechoka wote, sio ccm wala chadema wala wasio na chama
Nimecheka Sana hii combination ya Chadema na ccm haijawahi tokea kweli Membe for presidence

Nini kimetokea kwa elimu yangu hapa nimetoka kapa kabisa labda ikifika kesho Jtatu nitajua maana Leo Jpili

Kweli siasa ya science Huu upendo na kupendana kwa ccm na Chadema nini kimetokea?
 
Habari zimfikie Jiwe huko aliko,

Ajiandae kuachia nchi kwa amani,

#Membeforpresidency
Ningekuwa CCM ndani ya chama lazima tufanye kura ya maoni tena,maana kichaa alibebwa na jahcarhire,na uhakika ccm wakifanya sawia kwenye kura za maoni JIWE hapiti labda atumie UBABE kama anaotumia sasa kwa kuwapitisha "WATUMWA" kugombea tena kupitia sisiemu baada ya kununuliwa na kuacha uongozi walipotoka UPINZANI.
 
Tunajua jukumu tunalompa ni kubwa, lkn tunaimani tutashinda na Tanzania itashinda
Membe tuko chini ya miguu yako. Tumeamua kupaza sauti nakukupigia debe bila hata wewe kututuma. Tumechoka tusaidie meanadiplomasia wetu uliyetukuka. Toka na utamke neno vijana tuko nyuma yako.

Tusaidie Membe. Saidia taifa letu ni wewe tuuu
 
muda utasema
Haina haja ya kungoja muda mambo yako hadharani nani wa kumkoromea Jpm ndani ya ccm wote ni mbwa tu mbele ya chatu tunaona wakubwa wanapishana ikulu kwenda kumpigia magoti asitibue zaidi hata waliomuweka madarakani wanaufyata
 
Hii CCM manunuzi ya Rais Magufuli imebuma baada ya kujielekeza kwenye kuichafua taswira ya nchi kimataifa. Mambo hayaendi ila propaganda. Wamejaa ubinafsi, chuki dhidi ya waiso upande wao.

CCM Membe inaonekana kama kutakiwa sana ili iokoe jahazi. Sisi kwetu macho kodo.

Waeule wa Rais wameharibu, wameharibu mpaka wakaharibu. CCM Membe imeitwa kwa sauti yenye mpazo wa kishindo. Siku ikiitika Magufuli atasahau mpaka usajili. Tuvute subira mwanzoni mwa 2019 nyeti za kuku hadharani. Mzee Membe anajiweka rasmi hadharani. Nyuma ana wastaafu kibao, wasomi na wenye kuitakia mema nchi hii.

Mimi Chadema hayo hayanihusu. Ninachofanya ni kuhakikisha 2020 jiwe hakatizi.
 
sio hilo tu hata penati aliyokosa samatta majuzi angekua membe angefunga goli zuri la kimataifa.
 
Nimecheka Sana hii combination ya Chadema na ccm haijawahi tokea kweli Membe for presidence

Nini kimetokea kwa elimu yangu hapa nimetoka kapa kabisa labda ikifika kesho Jtatu nitajua maana Leo Jpili

Kweli siasa ya science Huu upendo na kupendana kwa ccm na Chadema nini kimetokea?
Hao wanacheza tu kwani.leo hii wameshamkana Lissu wanaona hafai
 
Back
Top Bottom