Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Nimecheka Sana hii combination ya Chadema na ccm haijawahi tokea kweli Membe for presidence

Nini kimetokea kwa elimu yangu hapa nimetoka kapa kabisa labda ikifika kesho Jtatu nitajua maana Leo Jpili

Kweli siasa ya science Huu upendo na kupendana kwa ccm na Chadema nini kimetokea?
 
A very limpy handy shake from the so called the prezzo wa 2020.
 
Mmmmh!! Hizi habari kaanzisha nani jamani?
 
Kichaa akiingia ulingoni na Membe anatolewa asubuhi na mapema
Ningekuwa CCM ndani ya chama lazima tufanye kura ya maoni tena,maana kichaa alibebwa na jahcarhire,na uhakika ccm wakifanya sawia kwenye kura za maoni JIWE hapiti labda atumie UBABE kama anaotumia sasa kwa kuwapitisha "WATUMWA" kugombea tena kupitia sisiemu baada ya kununuliwa na kuacha uongozi walipotoka UPINZANI.
 
Membe 2020,

Tumechoka wote, sio ccm wala chadema wala wasio na chama
 
Habari zimfikie Jiwe huko aliko,

Ajiandae kuachia nchi kwa amani,

#Membeforpresidency
 
Tunajua jukumu tunalompa ni kubwa, lkn tunaimani tutashinda na Tanzania itashinda
Membe tuko chini ya miguu yako. Tumeamua kupaza sauti nakukupigia debe bila hata wewe kututuma. Tumechoka tusaidie meanadiplomasia wetu uliyetukuka. Toka na utamke neno vijana tuko nyuma yako.

Tusaidie Membe. Saidia taifa letu ni wewe tuuu
 
muda utasema
Haina haja ya kungoja muda mambo yako hadharani nani wa kumkoromea Jpm ndani ya ccm wote ni mbwa tu mbele ya chatu tunaona wakubwa wanapishana ikulu kwenda kumpigia magoti asitibue zaidi hata waliomuweka madarakani wanaufyata
 
Hii CCM manunuzi ya Rais Magufuli imebuma baada ya kujielekeza kwenye kuichafua taswira ya nchi kimataifa. Mambo hayaendi ila propaganda. Wamejaa ubinafsi, chuki dhidi ya waiso upande wao.

CCM Membe inaonekana kama kutakiwa sana ili iokoe jahazi. Sisi kwetu macho kodo.

Waeule wa Rais wameharibu, wameharibu mpaka wakaharibu. CCM Membe imeitwa kwa sauti yenye mpazo wa kishindo. Siku ikiitika Magufuli atasahau mpaka usajili. Tuvute subira mwanzoni mwa 2019 nyeti za kuku hadharani. Mzee Membe anajiweka rasmi hadharani. Nyuma ana wastaafu kibao, wasomi na wenye kuitakia mema nchi hii.

Mimi Chadema hayo hayanihusu. Ninachofanya ni kuhakikisha 2020 jiwe hakatizi.
 
sio hilo tu hata penati aliyokosa samatta majuzi angekua membe angefunga goli zuri la kimataifa.
 
Hao wanacheza tu kwani.leo hii wameshamkana Lissu wanaona hafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…