Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Haina haja ya kungoja muda mambo yako hadharani nani wa kumkoromea Jpm ndani ya ccm wote ni mbwa tu mbele ya chatu tunaona wakubwa wanapishana ikulu kwenda kumpigia magoti asitibue zaidi hata waliomuweka madarakani wanaufyata
yaani wanachekesha kweli, Membe amvimbie Magu wapi na wapi
 
Hapa lile "JIWE KUU" lazima lipondwe kokoto
 
Inabidi huyu Membe na yeye awekewe Microchip kwa ajili ya usalama wake maana kwa kasi hii kale kakikundi ka watu wasiojulikana wanaweza mteka akapotea jumla.
 
yaani wanachekesha kweli, Membe amvimbie Magu wapi na wapi
Mtu ambaye hana woga na Jpm ni makonda tu ambaye ni mtoto mtiifu ila hawa wengine ni mijusi tu eti adinde mbele ya aliyeshika nchi
 
Hivi Membe anaurais wa kuongoza nini
Kachaguliwa na nani
Au watu wametumwa kumpromoti
Kuna watu akili zao ndogo sana
Kama kazi mmekosa huko mjini rudie vijijini tuandae mashamba mvua zimekaribia
 
hata penati aliyokosa samatta angekua membe angefunga goli zuri la kimataifa huyu jamaa kila sehemu anaweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…