Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

embu nipe summary mkuu,imekuwaje kwani,huku Bushi hatuelewi kinachoendelea?
Baada ya nchi kwenda Mrama na kukithiri kwa utekaji na mauaji Wazee wa ccm wameamua kwa dhati kwamba jiwe muda wake usizidi miaka mitano , hii ni piga ua galagaza ! Sasa imebidi wamrejeshe Membe , wamesema ni heri Chadema ibebe nchi kuliko huyu mtu , yako mengi sana lakini kwa uchache nikumegee haya .
 
Km hujapewa hela bc unaumwa yale magonjwa sugu ya watz ya choyo na unafiki na hata jk mlimponda hv hv ila sasa mnamkumbuka.....
 
Jiwe hana chake 2020,Membe atosha kuungurumisha bendera ya SISIEMU 2020.
 
Mkuu hebu dadavua vzuri hapo kiroho ilikuwaje wakakataliwa na kwanini hyo.combination ilikataa
Mkuu inatosha kuelezea haya.
fikiria mwenyewe
siyo Kila mambo ni ya kuweka public
japo tunaweza kutumia code language..
Yatosha kuelezea
 
Japo sijawahi kuona la ziada kwa Benard lakini kama kuna kampeni za kupata mtu mwingine hapo 2020 ntaunga mkono juhudi hizo kwa nguvu zoote. Chonde chonde jamani, tuwekeeni hata BATA DUME tutamvumilia maana upinzani tulioutegemea kashautia jela na hata tukifanyaje mtaiba kura tu.
#JIWE MUST GO.
 
Kwani mwenye mpini ni nani kwanza
Jk alishawahi sema ogopa madaraka ya rais
 
Sikuwahi kufikiria kama nitakuja sapoti sisiem lakini kwa huyu kichaa kuendelea kubaki ikulu... hakika nitakuwa nimeikosea sana akili yangu




#Membe for presidency
#2020
 
Membe kwanza CCM baadae,Mambo ya kusema kila rais chini ya CCM aongoze miaka 10 imepitwa na wakati,hii miaka mi3 tu inaonekana kama 100 ndio apewe mingine mi5? Hapana Membe ATOSHA.
Akipewa mitano au saba ingine itaonekana ni kama miaka 1000
 

Asante mkuu,huyu hata kumuachia miaka mitano ni kutuonea wananchi,Chato itakuwa kama Geneva wakati sehemu nyingine za nchi ziko underdeveloped...He must go!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…