Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Umeambiwa hiyo ni picha ya zaman kwa mantiki hii ni kwamba hizi ni propaganda tu.Hivi ushahama chadema?Au Membe ni chadema?Na unachukuliaje kauli ya ccm kutawala milele na ukizingatia saizi unamshabikia Membe ambaye ni ccm?
Kwi! Kwi! Kwi!
 
yaani wanachekesha kweli, Membe amvimbie Magu wapi na wapi

membe jasusi aliyekubuhu anaweza kumvimbia kupitia external force,be careful na majasusi unaweza kuta issue imesukwa na wanaotuibia madini so huyu mtu sio wa kubeza
 
Hakuna shida, hata kama mnamtaka Membe au Nape wote ni CCM hivyo inaonyesha hamjiamini na hamko tayari kushika dola kwani mnapenda CCM itawale.

Lkn habari ndo hiyo, Mbowe kafuta Uchaguzi mkuu chadema!
Kwaiyo tukusaidieje aunt
 
Hakuna la afadhali naona ni ufalme uliotaka kuwauza watanzania wao na ardhi yao unataka kurudi bora hata jiwe lisilotembea kuliko hao walioyafanya wote tuliyaona. Wala wasirudi , hakuna cha membe wala kinana wasepe zao huko!

bora wao walikula na sisi watumishi tukala kwa kupandishiwa mishahara,seminar, posho na kupandishwa madaraja, wanafunzi wala lamba boom na mikopo,jiwe lakotoka limeingia anaenjoy ni Alhaji DAB na genge lake ambaowanaingiza mizigobandalinibila kudaiwa kodi
AONDOKE, AONDOKE AONDOKE........ARUDISHE NCHI YETU
 
ccm ni ileile ndugu zanguni. hata aingie nana itabakia vilevuke...ccm ni mfumo na sio sura za watu.
 
Mungu ni wa ajabu sana ! anakutia kibri ili aje akuteketeze !
 
Tatizo jamaa kajiimarisha sana kanda ya ziwa na kaskazini, huko ndiko anakotegemea zaidi kama lolote litatokea. Wee huoni ziara mara kwa mara mikoa ya huko. Wakati kuna mikoa hajakanyaga kabisa tangu aingie madarakani
 
Sisi wana CCM tunamshauri sana tatizo hashauriki, sasa kama hataki kusikia na kutekeleza tunayo mshauri nyie timu membe chukueni hatua
 
Muda ni muamuzi mzuri sana, tuombe uhai tuone yatakayojiri..................................................................
 
Eeh Mungu tuokoee sisi waafrica wa pumbavu na tusiwe kama huyu general mangi tusiona mbele hivi kweli huoni kazi ya magu kwelii au ulitaka kuendelea na kazi yak ya madawa ujambazi mix biashara za ujanja ujanja acheni kununuliwa tufanye kazi boss wako mwambie kashashindwa na soon tunamtumbuaa na yy
 
Akipewa mitano au saba ingine itaonekana ni kama miaka 1000
Tutanyooka, si wakumpa tena miaka 5. Chondechonde jamani, mtaani hakuna ela ,watumishi huu mwaka wa 3 hakuna ongezeko la mshahara, kwani mwenzake kikwete alikuwa anaongeza mishahara ela alikuwa anatoa wapi hadi yeye ashindwe. Najua raisi hawezi tokea upinzani kamwe kwa hii pini aliyo weka. Dawa yake movement ianze hukohuko CCM. Ili kama mabadiliko yatokee huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…