Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Naona hii habari ya Membe ni kama ya Mange Part II.

Anapigwa chini kishamba mno. Watu wanao anza kupiga kelele mitandaoni wana nia ya kumdhalilisha tu kama Mange alivyo dhalilika.
 
Membe ni mwana diplomasia hata Tundu Lissu angekaa nae meza moja wakayazubngumza
Angetafuta njia za kukabiliana na upinza si biashara ya nunua nunua rudia uchaguzi.
Mdada, forget about upinzani, they are just useless, huko upinzani kooote hakuna anayeweza kuwa Rais kwa sasa, Wajipange upya,
Mijitu gani inanunuliwa na kukubali kununulika na Bashite eti,
Wtf.
 
Naona hii habari ya Membe ni kama ya Mange Part II.

Anapigwa chini kishamba mno. Watu wanao anza kupiga kelele mitandaoni wana nia ya kumdhalilisha tu kama Mange alivyo dhalilika.
Hata mimi nimeliona hili, wanaenda kumdhalilisha tu,
 
Membe upepo unamwendea vizuri
Mpaka 5 inatosha
Labda upepo wa Bahari, ile generation ya JK yote ni corrupt, bora tubaki na hawa hawa vichwamaji ila mambo yanafanyika,
CCM hi mbovu ila upinzani ni Hovyo zaidi,
Very disappointed na hawa wapinzani,
Wakae Pembeni tujenge nchi kwanza. Their time will come when they are ready.
 
si ccm walishabadili katiba kwamba mwenyekiti pekee ndio anatakiwa kugombea uraisi? naomba kusahihishwa
 
Naona mnataka kupasua jiwe kwa kulimwagia maji ok ngoja tusubiri huu muujiza
 
Personally I didn't trust the Dude, sikumchagua,
But honestly anafanya kazi nzuri sana, kuliko marais wa awamu zote tatu waliopita,
Tunataka maendeleo sasa, siasa na ufala gani sijui not now.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mnaotoa hizi thread angalieni msiende maeneo ya gym.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…