Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Naona kama mnajifurahisha, yaani naona kama Maigizo, watu na akili zenu mnakaa mnadanganyana Membe anaenda kuchukua nchi 2020.
Mimi na akili zangu za kuvukia barabara nauliza ATAPITIA NJIA GANI?
Ndani ya CCM , Mwenyekiti ndiye mgombea urais na ndiye mwenye sauti ya mwisho ,
Kupitia Upinzani ,ndio kabisa hawezi kushinda , Tuliona kwa LOWASSA,.
Labda kama ana hela za kuchezea,
Kupitia Uhaini, hapa atadakwa mapema sana..
NAWAULIZA NYIE MLIOKULA HELA ZAKE NA KUTUMWA MITANDAONI , MNAJUA ATAKUWA RAIS KWA NJIA GANI?
Mtuambie, sio mnasumbua mitandaoni lakini hamtuambii atapitia njia gani , ya golgotha au kaanani,
JIWE ameshajizatiti ana JESHI, TISS, UHAMIHAJI, POLIS , TUME YA UCHAGUZI,N.K
MEMBE ana nini? Au anataka kuliwa hela zake kama Lowassa?
Hata kama itabidi kupitia kwenye masaburi yako lazima kichaa afurushwe na jasusi Membe