Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kwani huyo unayemtaka wewe ni kwa faida ya nani?
sijui kwako lakin, mm sijaona hii kama ni kawaida inakuaje mtu anapigiwa kampeni ya kuwa raisi wakati kama huu ambao ni mgumu kwake kuliko kipindi kile
 
Hamna kikundi..watu wanapima tu upepo mitandaoni
 
Ni presidential candidate wa Upinzani ifikapo 2020 endapo Zitto hatoeleweka..
 
Kikundi cha wananchi..!
 
Ma ~ Professor Wengine Ni Wa Hovyo Hawana Uzalendo
Mmoja Nikamfukuza Hapo Hapo
 
Kamwambie jiwe na wanalumumba wote kuwa Membe hajatuma kikundi chochote, sisi wananchi wa kawaida ndio tupo nyuma ya Membe. Na tutaendelea kuwatia joto kama nyie mnavyokandamiza. Mtamtuma Musiba atawatuhumu mpaka bibi na babu zenu. Ila ukweli utabaki pale pale Membe hajatuma mtu.

Wanancho wakiochoka na unafiki wenu ndio wanamtaka Membe. Atleast kuliko huyu jamaa yenu anaonge hiki anafanya kingine.

Kam mnampenda sana mtaenda kunywa naye chai tukishageuza meza pale chamwino na kumuweka Membe kidedea.


Hakuna mtakachofanya zaidi ya kutokwa na macho, nakuhakikishia mawaziri wote wapo nyuma ya Membe. Yani mpo wenyewe na bashite basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…