Roman Israel Esq
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 2,024
- 3,281
Hahaha!True!Najua huko aliko anatamani atuue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha!True!Najua huko aliko anatamani atuue
Mtamfungia nani?Mnaanza kampeni kabla ya muda tutawafungia tena. Polisisiem ni watoto wa panya wote.
Mtamfungia nani?
Labda wa familia yenuHabari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
before itawezekanaje?Let us be realistic.Hahhha, naona kumekucha, team Membe tupooooo! !! Membe for presidency before 2020
Si bora jiwe awe rais wa maisha tujue moja ...Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Hujajibu swali. Umesema mtawafungia, nimekuuliza mtawafungia kina nani? Unajibu team Membe tumeanza kampeni. Bado either kwa makusudi umeacha kujibu, au pengine hukuelewa swali.Team Membe mnaanza kampeni kabla ya muda.
Kwasababu ni msukuma mwenzako basi ndo unaropoka tu. Taifa ni zaidi ya kabila moja. MTAZAMO wa hovyo kabisa huo.Si bora jiwe awe rais wa maisha tujue moja ...
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona tunae rais wetu mtukufu jiwe aka kichaa?
Bora mpiga dili lakini mwenye UTU na UBINADAMU.Membe naye mtu wa dili tu hana lolote lile la maana lakutupa unafuu.
Hujajibu swali. Umesema mtawafungia, nimekuuliza mtawafungia kina nani? Unajibu team Membe tumeanza kampeni. Bado either kwa makusudi umeacha kujibu, au pengine hukuelewa swali.
Mtawafungia kina nani wapi? kufanya kitu gani?
madaraka matamu mkuu.Kwani si alishasema hii kazi ni ngumu? Sasa kuna ubaya gani akipokelewa kijiti apumzike?
Huna unaitwa mpango wa kazi, Uvccm wakishapigwa na njaa kama kipindi hiki ndio huibuka na idea za ajabu ajabu ili wakupige pesa.Ni washabiki na wapenzi tu, sidhani kama yeye ana shida. Wenyewe(kambi jiwe) ndiyo wanahanyahanya wakisikia jina lake.
Yaani wewe badala ya kudai katiba iyakayokupa wewe power unataka kusaidiwa na mtu kukutoa hapo ulipoHabari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
🙂🙂🙂🙂🙂Huna unaitwa mpango wa kazi, Uvccm wakishapigwa na njaa kama kipindi hiki ndio huibuka na idea za ajabu ajabu ili wakupige pesa.
Kuna wengine saa hizi wanashawishiwa kugombea ubunge 2020 lazima uvccm wapige ela vocha na ya nauli hapo.
Lakini awe rais ksbla 2020. Jiwe akabidhi tu madaraka