Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Hii mbinu ya UPINZANI kumchokonoa Yohana na kufarakanyisha Chama Tawala kitoke katika malengo yao ni ya aina yake!
Chama tawala kilianza kuwafarakanyisha CHADEMA humu kwa nyimbo za kumtia Mbowe katika Kiti, na kushindwa jamaa nao wamejibu kwa njia ile ile kuwafarakanyisha CCM na Mwenyekiti.
Wanajua Chair hana uvumilivu, atajibu na wao watakula alama!
Siasa bwana!....piga nikupige
Chama tawala kilianza kuwafarakanyisha CHADEMA humu kwa nyimbo za kumtia Mbowe katika Kiti, na kushindwa jamaa nao wamejibu kwa njia ile ile kuwafarakanyisha CCM na Mwenyekiti.
Wanajua Chair hana uvumilivu, atajibu na wao watakula alama!
Siasa bwana!....piga nikupige