Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kwa Mara ya Kwanza historia inaenda kugeuka,
Mwisho miaka 5 tu.

Magufuli Must Go.
Naunga mkono HOJA jamaa hafai,katika UTAWALA wake Watu wengi WAMETEKWA na KUUAWA DHAHIRI,Yaani Ben Saanane Kichwa Olevo Point 7(AAAAAAA) ,Advance Point 3(AAA),Chuo G.P.A >4.5 na alikuwa anasomea Phd unampoteza kisa kuhoji Phd ya maganda ya Korosho? Lissu ameweka wazi kuhusu kuzuiliwa Bombadier na kushauri mambo ya madini eti anaitwa msaliti waziwazi na mtu anatamka hadharani dawa ya msaliti hatakiwi kusurvive kisha baada ya wiki mtu anapigwa risasi 38,kwani siasa ni uadui? kama hautaki kukosolewa achia ngazi.

Kila siku unalalamika tu ohoo tulikuwa tunaibiwa na bla bla kibao wakati kwenye awamu hii ndio wizi mkubwa sana unafanyika.

Wewe umechaguliwa na Lubuva lakini dhana ya kuomba uongozi ili uwatumikie wananchi kwahiyo unatakiwa kufanya mambo yanayomgusa mwananchi,Jiwe alivyoondoa Service charge ya Tanesco kweli amefanya kitu kizuri,nampongeza kwa hilo,Kuondoa road license nalo nampongeza sana.....Atafute washauri wa kiuchumi wamshauri vizuri,achukue ushauri wanaompa kina zitto/upinzani,sio zitto akitaka kufanya press askari wanamzuia huo ni upuuzi.

CCM mshaurini huyo boss wenu afanye mambo yanayom_touch mwananchi moja kwa moja,mambo ya kunnuua bombadia na kujenga Stiglaz gorge ni Ufisadi tu,fanyeni uwekezaji unaobakisha hela nchini(Zitto akili kubwa ameshauri),sio mnafanya miradi inayopeleka fedha nje....Chuma cha kujenga SGR kingetumika CHuma cha kwetu hapa unafikiri tungetengeneza ajira ngapi? Zitto alishauri sana hili swala lakini mmeliacha ona sasa tumeenda kutengeneza ajira nchi za watu.
 
Membe ataliunganisha taifa
Naunga mkono HOJA jamaa hafai,katika UTAWALA wake Watu wengi WAMETEKWA na KUUAWA DHAHIRI,Yaani Ben Saanane Kichwa Olevo Point 7(AAAAAAA) ,Advance Point 3(AAA),Chuo G.P.A >4.5 na alikuwa anasomea Phd unampoteza kisa kuhoji Phd ya maganda ya Korosho? Lissu ameweka wazi kuhusu kuzuiliwa Bombadier na kushari mambo ya madini eti anaitwa msaliti waziwazi na mtu anatamka hadharani dawa ya msaliti hatakiwi kusurvive kisha baada ya wiki mtu anapigwa risasi 38,kwani siasa ni uadui? kama hautaki kukosolewa achia ngazi.

Kila siku unalalamika tu ohoo tulikuwa tunaibiwa na bla bla kibao wakati kwenye awamu hii ndio wizi mkubwa sana unafanyika.

Wewe umechaguliwa na Lubuva lakini dhana ya kuomba uongozi ii uwatumikie wananchi kwahiyo unatakaiwa kufanya mambo yanayomgusa mwananchi,Jiwe alivyoondoa Service charge ya Tanesco kweli amefanya kitu kizuri,nampongeza kwa hilo,Kuondoa road license nalo nampongeza sana.....Atafute washauri wa kiuchumi wamshauri vizuri,achukue ushauri wanaompa kina zitto/upinzani,sio zitto akitaka kufanya press askari wanamzuia huo ni upuuzi.

CCM mshaurini huyo boss wenu afanye mambo yanayom_touch mwananchi moja kwa moja,mambo ya kunua bombadia na kujenga Stiglaz gorge ni Ufisadi tu,fanyeni uwekezaji unaobakisha hela nchini(Zitto akili kubwa ameshauri),sio mnafanya miradi inayopeleka fedha nje....Chuma cha kujenga SGR kingetumika CHuma cha kwetu hapa unafikiri tungetengeneza ajira ngapi? Zitto lishauri sana hili swala lakini mmeliacha ona sasa tumeende kutengeneza ajira nchi za watu.
 
Back
Top Bottom