Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Boya atakaeleta fyoko fyoko ahera inamuhusu, JeiWii watampeleka kibla chap kwa haraka! Bongo hamna mwenye ubavu wa kukaza mnogopa sana kufa ila mnataka mabadiliko, haiwezekani ngojeeni huruma tu!

Wabongo nawafananisha na mtoto mwenye wazazi wakoloni ambao wanampelekesha kwa kuwa anaishi nyumbani japo ameshakomaa vya kutosha ila anabaki kulalamika kwa wadogo zake badala ya kujilipua kuukataa ubabe wa wazazi kwa kuanzisha mtiti na kutoa hoja zenye mashiko kwa hofu kwamba atafukuzwa akose sehemu ya kula na kulala! Ila anaendelea kunung'unika tu bila kuchukua hatua!

Huu ndio mfano halisi wa watanzania na hulka zao za kulalamika bila kuchukua hatua kila kukicha!
 
Haifa
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.
Shida ni kwamba kama vile unakimbizwa. Mkuu jambo zito kama hili ulilete ukiwa umetulia .

====
 
Kwa maagizo kutoka juu, nyuzi zote za Membe, zilinyonyolewa kama kuku anavyonyonyolewa kabla ya kukarangizwa!😀😀😀😛
 
Kikosi cha Membe kiko mafichoni. Wanafanya mambo yao kwa umakini mkubwa. 2020 Jiwe hana chake. Ni lazima arejee Chatou akalime viazi vitamu. Nchi haiwezi kuongozwa na kiongozi katili asiyejali utu kama huyu. Watanzania tumechoka kuonewa na huyu mporipori.
Hahahaha
Chadrama kwishney walahi
Drama zenu hizi zinawalipuwa Kila siku walahi
Pathetic DNA walahi
 
Membe ni Jasusi lililobobea, linaibuka mara moja linafanya operesheni, linapotea , linaibuka tena linapiga operesheni linapotea, mkija kustuka mwaka 2020 Chama kinamuweka Jiwe Pembeni, bendera anakamata Membe, mnabaki mnashangaa tu!
Alishindwa vip 2015 akiwa Waziri wa Mambo ya nje. Mjumbe CC ya CCM akiwa na sapoti ya kaka yake Mh. Rais.???
Kipindi hicho system nzima ilikuwa nyuma yake. King makers walikuwa nyuma yake. Alikuwa na mtandao mkubwa nyuma yake

Sembuse leo when he is almost a "nobody"
Yeyote anayempigia upatu Membe anataka kuonyesha upumbavu na ujinga alionao.


povu ruksa
 
Huyo mkonikoni a.k.a meku ameleta watu wasio na mizizi chamani
 
Rais ajae Atakuwa na Kazi kubwa sana kuirudisha nchi kwenye mstari huyu kainyosha hadi imepinda na kukatika kabisa,ajae ana Kazi kubwa sana ya kulipa madeni kupunguza deni la taifa,kuinua uchumi mfu, kurejesha tija na morali ya Kazi kwa Watumishi, kuwasukuma ndani wasiojulikana, kujenga demokrasia, kuvutia na kushawishi wawekezaji, kurejesha diplomasia ya kimataifa, kupunguza ttzo la ajira,kuimarisha shillings yetu, kuujenga upya umoja wa kitaifa,kurejesha imani ya vyombo vya dola kwa wananchi, kufukua makaburi yote na kuwasukuma ndani wote waluotumia vibaya Madaraka, vibaya kodi zetu,kukaa kimya juu ya upotevu wa watu,kuinua elimu,kurejesha mifumo ya haki ya kodi, kuifufua Bandari iwe bize kama zamani,nk.Kazi ni kubwa si ya kitoto.Ajae awe na nyota ya Pesa na mwenye BARAKA kila kitu kitakuwa sawa.
 
Back
Top Bottom