Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Shukurani kwa maelezo maana wengine na mie ya haya ya chama chao na Membe tunayasoma tu.. kuwaelewa nini haswa kinawasukuma kupiga ramli sana siku hizi na ni wao kwa wao wa ndani ya chama chao.

Kingine ni zile pesa walizoea pia kutumbua hawazioni tena.. matumbo motoooo..

JPM labda nae anatimu humu na kwingine.. inabidi washambulie kuwashushua kwa kuwajibu inavyotakiwa kwa nondo.. maana wanayoandika timu Membe kuvutia watu.. yanaweza pingika kirahisiiiii na kufanya watu wasivutiwe nao.

Na kumpaisha JPM kwa sanaaaaaa
Kibuli cha mr. Solex kinakuja kumtokea puani, amekuta maisha yanaendelea atambue lazima akitaka kubadirisha maisha ya watu, hawezi simamisha maisha completely ili aanze mwanzo, hapo kwenye mahesabu tunafanya kitu kinaitea intersection lazima kuwepo na kitu tunasema (free zone.

Sasa yeye asitake kuangalia kila kitu na kutembea kigazani sababu tu kavaa bodyguard.
 
mimi si mfuasi wa siasa za Tz maana ndizo zimetufikisha hapa lakini lazma nitoe mtazamo wangu kwa hili.

Membe anaweza kuwa na haiba ya Kikwete ambaye kwa kipindi hicho naye alipwaya (japo anasafishwa kutokana na madhaifu ya aliyepo), lakini Membe hana uwezo ambao kikwete alikuwa nao.Wakati akiwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa hakuwa fanya kitu cha mshangao na alipokuwa akihojiwa sikuona substance na charisma ya kiuongozi simply alibebwa na mfumo ila alikuwa na uwezo hafifu..

Akheri kwa sasa tunabanwa lakini kuna projects zinafanyika ambazo unaona dhahiri kizazi kijacho kitanufaika ila kumpa nchi Membe ni risk iliyopo dhahiri..

Kwangu mimi Rais ambaye anatakiwa kumrithi Magufuli ni lazma awe mafia yaani aweze kuwa economical diplomat(sio mambo ya kutabasamu hovyo na kusema hawa ni marafiki zetu toka uhuru), Strategist, atakayekubali katiba mpya , visionary, mwenye upendo na uchungu na nchi hii na kadhalika..

Vigezo vyote hivyo Membe hana hata kimoja zaidi ya uswahiba na kufananishwa na Kikwete

Miss Kyenda, ni wanadamu wachache sana wanaokubali mabadiliko, haijalishi mabadiliko gani, ya aina yoyote ile..
Lakini pia ukiangalia katika mapinduzi ya jambo lolote lile duniani ni lazima pawepo na “sacrifice”. Ukiangalia historia ya mambo duniani, hakuna ukombozi uliowahi kutokea pasi na kuwa na wahanga.
JPM anaonekana ni mwiba mchungu, lakini ipo siku atafananishwa na lile jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi.
Nasema haya kwa maana kwamba Watanzania kama tunataka mabadiliko na kufikia maendeleo ya kweli, hatuna budi kukubali baadhi yetu kama sio wote kuwa sadaka kwa manufaa ya kizazi kijacho.
Hakuna nchi iliyowahi kuendelea hapa duniani bila ya kuwepo wahanga, watu waliopambana na hata kufa kwa ajili ya ukombozi wa nchi zao( haijalishi iwe ni kwa njia ya vita ama amani)
Mimi naichukulia hali hii tunayopitia kama taifa kuwa ndio “sacrifice” yetu kwa ajili ya mustakabali mwema wa Taifa hili. Naikumbuka historia ya safari ya wana Israel jangwani kuelekea nchi ya ahadi, mapinduzi ya viwanda Ulaya na Marekani kuelekea maendeleo, China na Asia katika ujenzi wa nchi zao, n.k. Ni safari zilizokuwa na taabu na machungu mengi lakini mwisho wa siku walizifikia ahadi na ndoto zao. Na hata sasa vizazi vyao vinakula mema ya nchi zao lakini vinawakumbuka majemedari hao walioumia/kufa kwa ajili ya kizazi kilichopo.
Watanzania tukubali tu, hatuwezi (kama kweli tunataka maendeleo) kuyafikia pasipo kuwa na watu watakaojitoa na hata kufa kwa ajili ya wengine.
Mimi ni mtumishi wa serikali na hata hili la 25% linanigusa na kuniumiza lakini najifariji kwamba hii ndio sacrifice yenyewe ili watoto na wajukuu zangu waje waikute Tanzania ya maziwa na asali huko siku za usoni.
Lakini pia hata maandiko yanatuambia kuwa safari ya mbinguni sio nyepesi, ni yenye tabu na mapito magumu na kwamba watakaostahimili mpaka mwisho ndio watavikwa taji ya uzima.
 
Hapo ndipo ataharibu kila kitu ujue sophia simba yupo kimya umewahi kujiuliza? Kuna bomu huko linakuja
Usitishe watu, Sophia hana lolote tena kamalizwa kisiasa ni vile alikuwa anaandika barua mia kwa mwaka kuomba asamehewe arudishwe chamani.
 
Usitishe watu, Sophia hana lolote tena kamalizwa kisiasa ni vile alikuwa anaandika barua mia kwa mwaka kuomba asamehewe arudishwe chamani.
Unajidanyanya mzee kuandika barua kurudishwa chamani kunaweza kuwa ni mtego sophia hajaisha kisiasa kakaa kimya hapend usumbuf wa mapema kama wakina membe kwa hiyo nae kinana kamalizwa kisiasa au nape?
 
Mafisadi au wanufaikaji wa kazi za mafisadi utawajua tu mwandiko wao.
Kibuli cha mr. Solex kinakuja kumtokea puani, amekuta maisha yanaendelea atambue lazima akitaka kubadirisha maisha ya watu, hawezi simamisha maisha completely ili aanze mwanzo, hapo kwenye mahesabu tunafanya kitu kinaitea intersection lazima kuwepo na kitu tunasema (free zone.

Sasa yeye asitake kuangalia kila kitu na kutembea kigazani sababu tu kavaa bodyguard.
 
Ni mtazamo binafsi lakini wenye kuakisi ukweli... CCM inaandaliwa kuingia kwenye wakati mgumu tena, ni mtifuano wa ndani kwa ndani
. Urais 2020
. CCM asili dhidi ya CCM makinikia(mabaki)
. CCM kindakindaki dhidi ya CCM maslahi (wakuja)
Bernard Camilius Membe diplomat na jasusi wa muda mrefu, mshindwa wa kinyang'anyiro cha urais ngazi ya chama bado hajakubali kushindwa, bado ana ndoto ileile ya kukalia kiti kikubwa na amekamia hasa
Haiba ya Membe ni reincarnation ya haiba ya Kikwete (carefree) ni tofauti kabisa na haiba ya mzee baba KUKAZA hasa.... Membe ni expert mzuri sana kwenye mahusiano ya kimataifa, na pengine kwenye ushushushu lakini si kwenye siasa tena kukalia kiti kikubwa
Kipindi kile wakati wa kutafuta nafasi ya kuteuliwa, hakuonesha tofauti na wanaccm wengine, hakuongea cha ziada, wote walifanana... Hakutupa dira na maono ya tulipotoka, tulipo na tunapoelekea.. Wote katika ujumla wao ndani ya CCM walifanya mahubiri ya kisiasa
Akiwa shina moja na JK, ana sehemu kubwa ya lawama nchi ilipokuwa imefikia kipindi kile, kumpa usukani na kuendelea kuchanja mbuga kuelekea maporini

Sasa basi kwanini nasemwa asibezwe?! Huyu ni tarumbeta ya kupaza sauti ya wanaccm wengi wanaougulia kimyakimya na kushindwa kuongea kwa uwazi, kwa sauti
Huyu ni sauti ya manung'uniko ya wanaccm wengi ambao hawaridhishwi kabisa na mwenendo wa chama kwenye kila kitu lakini kubwa kuliko yote ni kule kuwapa wahamiaji (haramu) madaraka na nafasi za upendeleo... Wanapatwa na hisia kuwa kuna CCM mpya inaundwa taratibu ndani ya CCM halisi (CCM ya mwenyekiti dhidi ya CCM ya wote)
Ni kupitia hayo kwa uchache ndani ya mengi chamani, Membe ananijenga kwa kasi ya ajabu, na harakati zake hizo zilianza mara baada ya uchaguzi mkuu.... Membe ana kundi kubwa nyuma yake.. Ni vigumu kumdhibiti kama walivyodhibitiwa kina Makamba Jr, Lameck, Nape nk.. Huyu ni kada mzoefu chamani na wa muda mrefu... Ametumwa...!!

2019 hiyoo bado siku chache tu, Membe yuko nje ya nchi anakotuhumiwa kupanga mambo yasiyowapendeza watu fulani.. Huku wengine wakiona ni sawa... Hapa ni swala la mizania.. Nani ana wafuasi wengi zaidi wa hiari...
Membe anarudi kukanusha/kujibu tuhuma,.. Anajipanga kisawasawa, ameshaanza kusafishiwa njia na timu zake mitandaoni .... Ni yeye tu ndio anasikika na kujadiliwa... Na kwa sehemu kubwa akisemwa vizuri na akitabiriwa vema... Hivi vitu havifanyiki kwa bahati mbaya... Ni mipango inayosukwa kwa ustadi sana..

Hivyo basi pamoja na kwamba hatoshi kukalia kiti kikubwa, lakini ni tishio kubwa... Akiamua (kwa nguvu ya wapambe wake) ataiteka December yote.... Atavuruga hasa... Atawavuruga.... Na CCM itaingia 2019 ikiwa mapande makubwa matatu
. CCM mwenyekiti
. CCM Membe
. CCM wengine
Ujumbe huo wa Nape unabeba siri kubwa nyuma ya kinachoendelea sasa chamani... Muda utasema.. View attachment 952923
Dkt.Membe atarudisha utawala wa sheria na demokrasia.Atarudishwa uhuru wa habari.Ataacha mihimili ya dola ifanye kazi bila kuingiliana.Ataondoa siasa za upendeleo kwa watu wachache.Na pia ata boresha maslahi na mafao ya wafanya kazi wa umma.
 
Miss Kyenda, ni wanadamu wachache sana wanaokubali mabadiliko, haijalishi mabadiliko gani, ya aina yoyote ile..
Lakini pia ukiangalia katika mapinduzi ya jambo lolote lile duniani ni lazima pawepo na “sacrifice”. Ukiangalia historia ya mambo duniani, hakuna ukombozi uliowahi kutokea pasi na kuwa na wahanga.
JPM anaonekana ni mwiba mchungu, lakini ipo siku atafananishwa na lile jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi.
Nasema haya kwa maana kwamba Watanzania kama tunataka mabadiliko na kufikia maendeleo ya kweli, hatuna budi kukubali baadhi yetu kama sio wote kuwa sadaka kwa manufaa ya kizazi kijacho.
Hakuna nchi iliyowahi kuendelea hapa duniani bila ya kuwepo wahanga, watu waliopambana na hata kufa kwa ajili ya ukombozi wa nchi zao( haijalishi iwe ni kwa njia ya vita ama amani)
Mimi naichukulia hali hii tunayopitia kama taifa kuwa ndio “sacrifice” yetu kwa ajili ya mustakabali mwema wa Taifa hili. Naikumbuka historia ya safari ya wana Israel jangwani kuelekea nchi ya ahadi, mapinduzi ya viwanda Ulaya na Marekani kuelekea maendeleo, China na Asia katika ujenzi wa nchi zao, n.k. Ni safari zilizokuwa na taabu na machungu mengi lakini mwisho wa siku walizifikia ahadi na ndoto zao. Na hata sasa vizazi vyao vinakula mema ya nchi zao lakini vinawakumbuka majemedari hao walioumia/kufa kwa ajili ya kizazi kilichopo.
Watanzania tukubali tu, hatuwezi (kama kweli tunataka maendeleo) kuyafikia pasipo kuwa na watu watakaojitoa na hata kufa kwa ajili ya wengine.
Mimi ni mtumishi wa serikali na hata hili la 25% linanigusa na kuniumiza lakini najifariji kwamba hii ndio sacrifice yenyewe ili watoto na wajukuu zangu waje waikute Tanzania ya maziwa na asali huko siku za usoni.
Lakini pia hata maandiko yanatuambia kuwa safari ya mbinguni sio nyepesi, ni yenye tabu na mapito magumu na kwamba watakaostahimili mpaka mwisho ndio watavikwa taji ya uzima.
Mkuu, unachokisema kwa kiasi kikubwa ni sahihi. Katika mabadiliko lazima patokee wahanga, machungu na bei ili kuyafanikisha. Wapo watakaoumia na wapo watakaonufaika. Ila kikubwa ni kuangalia gharama dhidi ya faida za mabadiliko tajwa.

Tuna misingi yetu kama nchi ambayo tumejiwekea na bila shaka tunapaswa kuiimarisha. Umoja, amani na mshikamano. Tujipime kama misingi hii inaimarika au kobomoka kuendana na mabadiliko.
 
Ni mtazamo binafsi lakini wenye kuakisi ukweli... CCM inaandaliwa kuingia kwenye wakati mgumu tena, ni mtifuano wa ndani kwa ndani
. Urais 2020
. CCM asili dhidi ya CCM makinikia(mabaki)
. CCM kindakindaki dhidi ya CCM maslahi (wakuja)
Bernard Camilius Membe diplomat na jasusi wa muda mrefu, mshindwa wa kinyang'anyiro cha urais ngazi ya chama bado hajakubali kushindwa, bado ana ndoto ileile ya kukalia kiti kikubwa na amekamia hasa
Haiba ya Membe ni reincarnation ya haiba ya Kikwete (carefree) ni tofauti kabisa na haiba ya mzee baba KUKAZA hasa.... Membe ni expert mzuri sana kwenye mahusiano ya kimataifa, na pengine kwenye ushushushu lakini si kwenye siasa tena kukalia kiti kikubwa
Kipindi kile wakati wa kutafuta nafasi ya kuteuliwa, hakuonesha tofauti na wanaccm wengine, hakuongea cha ziada, wote walifanana... Hakutupa dira na maono ya tulipotoka, tulipo na tunapoelekea.. Wote katika ujumla wao ndani ya CCM walifanya mahubiri ya kisiasa
Akiwa shina moja na JK, ana sehemu kubwa ya lawama nchi ilipokuwa imefikia kipindi kile, kumpa usukani na kuendelea kuchanja mbuga kuelekea maporini

Sasa basi kwanini nasemwa asibezwe?! Huyu ni tarumbeta ya kupaza sauti ya wanaccm wengi wanaougulia kimyakimya na kushindwa kuongea kwa uwazi, kwa sauti
Huyu ni sauti ya manung'uniko ya wanaccm wengi ambao hawaridhishwi kabisa na mwenendo wa chama kwenye kila kitu lakini kubwa kuliko yote ni kule kuwapa wahamiaji (haramu) madaraka na nafasi za upendeleo... Wanapatwa na hisia kuwa kuna CCM mpya inaundwa taratibu ndani ya CCM halisi (CCM ya mwenyekiti dhidi ya CCM ya wote)
Ni kupitia hayo kwa uchache ndani ya mengi chamani, Membe ananijenga kwa kasi ya ajabu, na harakati zake hizo zilianza mara baada ya uchaguzi mkuu.... Membe ana kundi kubwa nyuma yake.. Ni vigumu kumdhibiti kama walivyodhibitiwa kina Makamba Jr, Lameck, Nape nk.. Huyu ni kada mzoefu chamani na wa muda mrefu... Ametumwa...!!

2019 hiyoo bado siku chache tu, Membe yuko nje ya nchi anakotuhumiwa kupanga mambo yasiyowapendeza watu fulani.. Huku wengine wakiona ni sawa... Hapa ni swala la mizania.. Nani ana wafuasi wengi zaidi wa hiari...
Membe anarudi kukanusha/kujibu tuhuma,.. Anajipanga kisawasawa, ameshaanza kusafishiwa njia na timu zake mitandaoni .... Ni yeye tu ndio anasikika na kujadiliwa... Na kwa sehemu kubwa akisemwa vizuri na akitabiriwa vema... Hivi vitu havifanyiki kwa bahati mbaya... Ni mipango inayosukwa kwa ustadi sana..

Hivyo basi pamoja na kwamba hatoshi kukalia kiti kikubwa, lakini ni tishio kubwa... Akiamua (kwa nguvu ya wapambe wake) ataiteka December yote.... Atavuruga hasa... Atawavuruga.... Na CCM itaingia 2019 ikiwa mapande makubwa matatu
. CCM mwenyekiti
. CCM Membe
. CCM wengine
Ujumbe huo wa Nape unabeba siri kubwa nyuma ya kinachoendelea sasa chamani... Muda utasema.. View attachment 952923


Rangi ya picha imejibu maswali yote
 
Dkt.Membe atarudisha utawala wa sheria na demokrasia.Atarudishwa uhuru wa habari.Ataacha mihimili ya dola ifanye kazi bila kuingiliana.Ataondoa siasa za upendeleo kwa watu wachache.Na pia ata boresha maslahi na mafao ya wafanya kazi wa umma.
Mmh ok sawa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Miss Kyenda, ni wanadamu wachache sana wanaokubali mabadiliko, haijalishi mabadiliko gani, ya aina yoyote ile..
Lakini pia ukiangalia katika mapinduzi ya jambo lolote lile duniani ni lazima pawepo na “sacrifice”. Ukiangalia historia ya mambo duniani, hakuna ukombozi uliowahi kutokea pasi na kuwa na wahanga.
JPM anaonekana ni mwiba mchungu, lakini ipo siku atafananishwa na lile jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi.
Nasema haya kwa maana kwamba Watanzania kama tunataka mabadiliko na kufikia maendeleo ya kweli, hatuna budi kukubali baadhi yetu kama sio wote kuwa sadaka kwa manufaa ya kizazi kijacho.
Hakuna nchi iliyowahi kuendelea hapa duniani bila ya kuwepo wahanga, watu waliopambana na hata kufa kwa ajili ya ukombozi wa nchi zao( haijalishi iwe ni kwa njia ya vita ama amani)
Mimi naichukulia hali hii tunayopitia kama taifa kuwa ndio “sacrifice” yetu kwa ajili ya mustakabali mwema wa Taifa hili. Naikumbuka historia ya safari ya wana Israel jangwani kuelekea nchi ya ahadi, mapinduzi ya viwanda Ulaya na Marekani kuelekea maendeleo, China na Asia katika ujenzi wa nchi zao, n.k. Ni safari zilizokuwa na taabu na machungu mengi lakini mwisho wa siku walizifikia ahadi na ndoto zao. Na hata sasa vizazi vyao vinakula mema ya nchi zao lakini vinawakumbuka majemedari hao walioumia/kufa kwa ajili ya kizazi kilichopo.
Watanzania tukubali tu, hatuwezi (kama kweli tunataka maendeleo) kuyafikia pasipo kuwa na watu watakaojitoa na hata kufa kwa ajili ya wengine.
Mimi ni mtumishi wa serikali na hata hili la 25% linanigusa na kuniumiza lakini najifariji kwamba hii ndio sacrifice yenyewe ili watoto na wajukuu zangu waje waikute Tanzania ya maziwa na asali huko siku za usoni.
Lakini pia hata maandiko yanatuambia kuwa safari ya mbinguni sio nyepesi, ni yenye tabu na mapito magumu na kwamba watakaostahimili mpaka mwisho ndio watavikwa taji ya uzima.
Binadamu wa ajabu na mpotoshaji uliyetukuka. 25% ya pensheni na zilizobaki zinakwenda kununua wabunge na madiwani wa upinzani ili waunge mkono juhudi? Hivi mtu ukifanya kazi nzuri hata isipoungwa mkono haitaonekana? Mwanafunzi anafanya vizuri darasani lakini wanafunzi wenzake wanamchukia, itamzuia kufaulu?
 
2020 JPM atavunja rekodi atashinda kwa 98%.
Tusubirie tukutane 2020, kwa sasa tusipoteze muda na nguvu zetu kulumbana , tuchape kazi kwa maendeleo yetu na taifa
 
Mafisadi au wanufaikaji wa kazi za mafisadi utawajua tu mwandiko wao.
Hii lugha ya kijuha ndo inanishinda kuelewa inamsaidiaje huyo mkuu wenu wa malaika!! Kila anayekosoa utendaji mbovu na wa kutafuta sifa binafsi wa bosi wenu mnambatiza alikuwa anafaidi ufisadi, mbona mnaounga mkono ndo wengi mlikuwa mnafaidi ufisadi? Chenge anampinga malaika? Ndugai anampinga malaika? Asas anampinga malaika?
 
Usipende kukariri, si wote tunaongozwa na subconscious..!
Muda ndio huleta majibu sahihi.
Tutajua kipi ndio sivyo na kipi ndivyo hivyo.

Nani alikuwa anaongozwa na subconcious mind au nani alikuwa ana insight kubwa ambayo inakuja kuwa reality in future.
Kuamini maisha bila njia za kifisadi na wizi haiwezekani nako ni kufikiri mambo kwa kutumia subconcious mind kama vile ulivyo aminishwa na mafisadi na wanaotaka jamii(nchi) yenu ibaki maskini huku wewe ukionjeshwa raha kidogo na mamilioni wakiangamia.
 
Aliyepo hatumtaki, mnayemtaja hatumwamini. Tuleteeni jina lingine tafadhali...
 
Back
Top Bottom