Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

HII NI NDOTO AMBAYO HAIJI KUTOKEA. MEMBE HANA UWEZO WA KUSHINDA. NA HAKUNA WABUNGE WA NAFIKI KAMA WA TANZANIA HASA WA CCM. SIJUI WEWE UMEONA WANASHIRIKIANA KUFANYA NINI HAO WA KUSINI.

HEBU ACHENI MZAHA.MTUHESHIMU WATANZANIA.MEMBE MCHAGUENI AWE RAIS WA CHAMA CHA USHIRIKA WA KOROSHO AU RAIS WA FAMILIA ZENU.


Kwa kutazama ushirikiano walionao watu wa mikoa yote ya kushi kama ilivyo desturi yao ya kuungana kwenye mambo muhimu kama walivyo ndugu zetu wa mikoa ya Mwanza,Shinyanga na Geita.

Huyu ndugu anaungwa mkono na ndugu zake wote toka mikoa ya kusini, tuliona wakianza wabunge wao kuungana pamoja kwenye suala la korosho. Hata hivyo wabunge hao wote ndio maswahiba zake toka akiwa mbunge kwenye jimbo la Mtama.

Hiyo ni nguvu ya wananchi wa mikoa ya kusini, bado wafuasi na wapenzi wa siasa zake toka mikoa mbali mbali nchini. Wengi tunahisi kua hili jambo ni gumu lakini tukumbuke huyu ndugu baada ya kuangushwa 2015, alianza kushughulika madhaifu yake muda huo huo.

Kazi aliyonayo sasahivi ni kuona namna gani anapenya ndani ya chama chake na ndio mkakati mkubwa uliopo hivi sasa.
 
Nimeipenda hoja yako.
1. CCM ina utaratibu wake wa ndani kuwa rais aliyepo haruhusiwi kupingwa kabla hajakamilisha kipindi chake cha miaka 10, hivyo hakuna mwanachama yoyote anaruhusiwa kujaza fomu. Fomu hazitolewi.
2. Hata ingekuwa rukhsa watu wa Kusini have never been a determinant ya urais wa nchi hii kwa sababu they are too poor to make informed decisions.
Rejea

Kwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?! - JamiiForums

Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali? - JamiiForums

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! - JamiiForums
P
 
Nimeikuta sehemu tu jamani
Adobe_Post_20181202_225653.jpeg
 
Membe ni ndoto ya mchana kuwa Rais wa Tanzania. Ni bora nimpitie Kampeni Magufuli abaki katika Urais hata miaka 20 zaidi lakini si mtu kama membe.

Huyu mnamgombanisha bure na chama. Pia mnatudharau sisi wenye akili.kampeni hii ime fail mapema sana.na wapinzani wanapoteza credibility kumshabikia membe badala ya kutafuta mtu wao sahihi.

Membe ni kilaza mwingine kama kikwete ila ni katili zaidi na mwenye chuki.ktk siasa ni kilaza tu.


View attachment 953822

Rais ajae anatoka jimbo la Mtama

Ntwara kumekucha
 
Membe ni ndoto ya mchana kuwa Rais wa Tanzania. Ni bora nimpitie Kampeni Magufuli abaki katika Urais hata miaka 20 zaidi lakini si mtu kama membe.

Huyu mnamgombanisha bure na chama. Pia mnatudharau sisi wenye akili.kampeni hii ime fail mapema sana.na wapinzani wanapoteza credibility kumshabikia membe badala ya kutafuta mtu wao sahihi.

Membe ni kilaza mwingine kama kikwete ila ni katili zaidi na mwenye chuki.ktk siasa ni kilaza tu.
Ana haki kama raia na sisi tunampa support. Hakuna aliyepima IQ ya Magufuli na Membe hata awe kilaza ni chaguo letu.
 
Kichwa wa JF usie endeshwa na mihemuko ya kisiasa.
Nimeipenda hoja yako.
1. CCM ina utaratibu wake wa ndani kuwa rais aliyepo haruhusiwi kupingwa kabla hajakamilisha kipindi chake cha miaka 10, hivyo hakuna mwanachama yoyote anaruhusiwa kujaza fomu. Fomu hazitolewi.
2. Hata ingekuwa rukhsa watu wa Kusini have never been a determinant ya urais wa nchi hii kwa sababu they are too poor to make informed decisions.
Rejea

Kwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?! - JamiiForums

Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali? - JamiiForums

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! - JamiiForums
P
 
Hii hali ya uchumi inafanya watu wawe machizi.maana mleta uzi hajitambui na wachangiaji wengi hawajitambui.kumuondoa rais yeyote madarakani munaota kama vile kwenda chooni kunya tu? Endeleeni kupiga kerere sisi wengine watazamaji! Mtu hata jimbo la mtama hajui lipo mkoa gani! Alafu analeta stori za vijiweni sehemu kama hii!
 
😂😂😂 nmetoa ushauri mfanyeni awe rais wa familia zenu. Urais wa tanzania asahau.siku akiwa rais mimi nahama nchi hii nahamia sudan kusini.

HE WILL NEVER BE A PRESIDENT OF TANZANIA MPAKA KIAMA. MARK MY WORDS. ccm wanawachezesha ngoma wapinzani nao wanacheza.wanashindwa tafuta mtu makini wa kuwafaa 2020 wanafuata na membe sijui wapi ambaye ni mwana ccm.wakija kushtuka muda umeenda ni wakati wa kampeni

Ana haki kama raia na sisi tunampa support. Hakuna aliyepima IQ ya Magufuli na Membe hata awe kilaza ni chaguo letu.
 
Kwa kutazama ushirikiano walionao watu wa mikoa yote ya kushi kama ilivyo desturi yao ya kuungana kwenye mambo muhimu kama walivyo ndugu zetu wa mikoa ya Mwanza,Shinyanga na Geita.

Huyu ndugu anaungwa mkono na ndugu zake wote toka mikoa ya kusini, tuliona wakianza wabunge wao kuungana pamoja kwenye suala la korosho. Hata hivyo wabunge hao wote ndio maswahiba zake toka akiwa mbunge kwenye jimbo la Mtama.

Hiyo ni nguvu ya wananchi wa mikoa ya kusini, bado wafuasi na wapenzi wa siasa zake toka mikoa mbali mbali nchini. Wengi tunahisi kua hili jambo ni gumu lakini tukumbuke huyu ndugu baada ya kuangushwa 2015, alianza kushughulika madhaifu yake muda huo huo.

Kazi aliyonayo sasahivi ni kuona namna gani anapenya ndani ya chama chake na ndio mkakati mkubwa uliopo hivi sasa.
Chama dola huwezi ukakishinda kwenye sanduku la kura, kamuulize E.L alizani mchezo ushindi saa 4, tuache tu hiki chama labda kipasuke chenyewe
 
Hii hali ya uchumi inafanya watu wawe machizi.maana mleta uzi hajitambui na wachangiaji wengi hawajitambui.kumuondoa rais yeyote madarakani munaota kama vile kwenda chooni kunya tu? Endeleeni kupiga kerere sisi wengine watazamaji! Mtu hata jimbo la mtama hajui lipo mkoa gani! Alafu analeta stori za vijiweni sehemu kama hii!
Kerere !
 
Waambie maana wanafikia hatua ya kutufanya wote tuonekane vilaza kama wao. Yaani mtu anaibuka tu na kusema membe anakuwa rais wa nchi hii 2020? Watanzania wengi ni vilaza.hawajui hata urais una hatua gani.mwenye hata elimu ya siasa ya uraia ya darasa la 5 atafaham ni ndoto membe kuwa rais 2020.

Hii hali ya uchumi inafanya watu wawe machizi.maana mleta uzi hajitambui na wachangiaji wengi hawajitambui.kumuondoa rais yeyote madarakani munaota kama vile kwenda chooni kunya tu? Endeleeni kupiga kerere sisi wengine watazamaji! Mtu hata jimbo la mtama hajui lipo mkoa gani! Alafu analeta stori za vijiweni sehemu kama hii!
 
Back
Top Bottom