Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Bahati mbaya ni kwamba hata ukichukiwa vipi hakuna wa kukutoa Tanzania hakuna uchaguzi kuna uchafuzi.
 
Wakuu pole na shughuli za kulijenga taifa.

Wikendi hii nilikuwa Bukoba, sasa ikabidi niende sokoni kununua vitu hasa Samaki nilikuwa nimewamisi kweli.

Sasa katika pitapita yangu sokoni, kila mtu alikuwa anamzungumzia Membe, chakushangaza ata watu kama bodaboda nao eti wanajadili siasa, yaani Rwamishenye, Kashai na Hamugembe kote Membe anazunguzwa tena sio kwa mabaya bali watu wanataka agombee uraisi eti wamechoka na JPM.


CCM tuwe wakweli JPM hapendwi kama zamani, watu wanamchukia balaa, sijui kwa nini.

Ukweli mchungu Membe amepata wafuasi wengi sana, apa Bukoba.
View attachment 954007
ulijaribu kuandika vizuri ila umeharibu pale uliposema JPM siku hizi hapendwi kama zamani,umekosea sana,huyo mtu wenu hajawahi kupendwa popote,na yeyote.
 
Mtamponza mwenzenu!
Demokrasia hiyo. Mzee meko aachie ngazi mana analalamika sana urais ni mgumu.

Membe anatufaa sanaa.

IMG_20181201_162833.jpg
 
Membe ni janga la taifa na wala hatufai hata kidogo. Kumchagua huyu ni sawa tu na kumchagua tena JK, rais wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Membe na Zitto ni watu ambao wanabidi wapotee kisiasa, hawana mvuto kwa jamii na akili ya kuiongoza Tanzania tuitakayo. Hapa ni Magufuli tu mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom