Urais 2020: Msigwa kuongea na waandishi wa habari Jumapili ya Juni 14 mjini Dodoma

Urais 2020: Msigwa kuongea na waandishi wa habari Jumapili ya Juni 14 mjini Dodoma

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
1591986980371.png
 
Karibu msigwa tunataka ufunike ile hotuba ya Facebook

Mtu anataka Urais anahutubia dkk 30 tu km sio utani ni nini
 
Na yeye itakuwa ni live ama kimtandao zaidi?
 
Msigwa baada ya uchaguzi aanzishe biashara ya juice ya miwa,yote maisha bwana.
 
chadema kila mtu ni msemaji wa chama, mwachieni hiyo kazi tumaini makene,kama hatoshi mtoeni
 
Back
Top Bottom