Urais 2020: Msigwa kuongea na waandishi wa habari Jumapili ya Juni 14 mjini Dodoma

Karibu msigwa tunataka ufunike ile hotuba ya Facebook

Mtu anataka Urais anahutubia dkk 30 tu km sio utani ni nini
 
Na yeye itakuwa ni live ama kimtandao zaidi?
 
Msigwa baada ya uchaguzi aanzishe biashara ya juice ya miwa,yote maisha bwana.
 
Embu nivute picha msingwa ndo kawa raisi...
 
Embu nivute picha msingwa ndo kawa raisi...
 
chadema kila mtu ni msemaji wa chama, mwachieni hiyo kazi tumaini makene,kama hatoshi mtoeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…